Kilimanjaro Kempinski yabadilishwa jina

Couple of things:

The so called GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakuja hapa na allegations kuwa kodi itapotea hawa jamaa wakibadilisha majina pasipo kuleta ushahidi wowowte ule wa ku substantiate hizi conspiracy zao

Nawahikikishia thread itafika pages 4 na kitakachoongelewa ni theories na hisia tena kwa ku refer habari zilizoandikwa na mwandishi ambaye hawezi kuandika jina la TREVOR!

I cant wait kuwaona GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakavyokuja kujadili hili jambo tena najua wengine wata refer majina ya makampuni ya simu yaliyobadilishwa lakini hakuna takaye leta ushahidi wowote toka TRA au mamlaka yoyote ile husika

JF ya 2011 imejaa wababaishaji tuu ambao hawana tofauri sana na akina John Mashaka na yule "DR" feki SHAYO.

lakini it takes all sorts to make this forum ya GREAT THINKERS

First of all that "Great Thinkers" gimmick is such a fad. And some of us do not tout ourselves as such.

Back to the issue.

"Tuliliangalia suala la kodi kwa kina na kujiridhisha kuwa halitaathiriwa kwa namna yoyote kwa kubadilishwa jina kutoka Kempinski kwenda Hyatt.Kitakachobadilika ni kampuni inayoshughulika na masuala ya uongozi wa hoteli hiyo kutokana na kumalizika kwa mkataba wake na wamiliki," alisema Mkurugenzi huyo.

Sitaki kuwa overly cynic, lakini sitaki kuanguka katika kitu kinachoitwa "trusting the experts syndrome" kwa sababu the same experts are the ones who have fvcked up so much in the past.

Waliliangalia swala la kodi kwa kina gani? Wawekezaji wa sasa wanatoa kodi kiasi gani? Rekodi zao za kod zinapatikana wapi? Tukitaka kulinganisha figures za kodi zitakavyokuwa na zilivyo sasa tutapata wapi hizi figures?

I am afraid the above quote is not satisfying and leaves a lot to be desired.
 
Kwanini Mahoteli ya Kenya - Kama Nairobi Hilton haijabadilisha Jina - Toka nikiwa mtoto hadi sasa na Uzee bado ni Nairobi Hilton... kwanini Hoteli zetu tunazowapa wawekezaji zinabadilishwa badilishwa?
Kempinski itakuwa Hyatt. Hyatt ni kampuni mpya Tanzania na kwa sababu ni mpya na kwa sababu ya sheria zetu za kijinga kuhusu kodi hii kampuni sitashangaa kama itaomba msamaha wa kodi wa miaka mitano na kuridhiwa. I stand to be corrected.
 
Arigold una matatizo makubwa sana. Wewe unatuambia tusijadili kwa sababu unaamini hatujui kitu on tax bila kutueleza unachojua wewe!
Huo ndo unafiki wa WaTz, u think u know, and what u managed to provide is a qoute from former VETA boss and now EPZ Boss. What a weak urguement.

Tunataka kusikia sheria za uwekezaji na kodi zinasemaje.

Lakini swali linaloulizwa kila siku na waTz ni kanini wawekezaji hawa wanabadili majina kwa kisingizio cha kuuza investment zao after every 5yrs?
 
Couple of things:

The so called GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakuja hapa na allegations kuwa kodi itapotea hawa jamaa wakibadilisha majina pasipo kuleta ushahidi wowowte ule wa ku substantiate hizi conspiracy zao

Nawahikikishia thread itafika pages 4 na kitakachoongelewa ni theories na hisia tena kwa ku refer habari zilizoandikwa na mwandishi ambaye hawezi kuandika jina la TREVOR!

I cant wait kuwaona GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakavyokuja kujadili hili jambo tena najua wengine wata refer majina ya makampuni ya simu yaliyobadilishwa lakini hakuna takaye leta ushahidi wowote toka TRA au mamlaka yoyote ile husika

JF ya 2011 imejaa wababaishaji tuu ambao hawana tofauri sana na akina John Mashaka na yule "DR" feki SHAYO.

lakini it takes all sorts to make this forum ya GREAT THINKERS
arigold, its true, jf means the home of great thinkers, lakini sio kila member humu ni great thinker.

Nikija kwenye issue at hand, conspiracy theories lazima zije from every right thinking members of the society kama unaleta changes bila kusema the reasons behind or the underlying causes, unatueleza only the outcome, lazima tujiulize why?.

Tumeona hostile take over ya the Kibo Breweries pale Moshi, kiwanda kikafungwa no one said a thing!.

Ilianza kama Celtel ikajikinyonga into Zain, now Airtel, imechange hands bila malipo yoyote ya corporate tax, because they are taking us for a ride!.

Ilikuja kama Sheraton, then ikachange name into Royal Palm, then Moven pick, now sijui what and the list goes on, why?. Kama there is changing hands, corporate tax inalipwa?. Kama its only changing names due management change, then tell us what are the reasons behind.

Nilipomsoma Prof. Chachage "Makuwadi wa Soko Huria", sikuamini baadhi ya makuwadi hao ni wenzetu humu humu nchini wakiiwakuwadia wazungu kuzidi kui rape nchi yetu huku wakiwa proud kwa jinsi wanavyojua spelling za majina ya mabwana zao!.

Nilidhani vibaraka walikuwepo enzi za ukoloni tuu, kumbe tungali nao mpaka kesho!.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Pasco (not a great thinker! only a comon man, and to be more specific, a lumpen!)
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Couple of things:The so called GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakuja hapa na allegations kuwa kodi itapotea hawa jamaa wakibadilisha majina pasipo kuleta ushahidi wowowte ule wa ku substantiate hizi conspiracy zaoNawahikikishia thread itafika pages 4 na kitakachoongelewa ni theories na hisia tena kwa ku refer habari zilizoandikwa na mwandishi ambaye hawezi kuandika jina la TREVOR!I cant wait kuwaona GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakavyokuja kujadili hili jambo tena najua wengine wata refer majina ya makampuni ya simu yaliyobadilishwa lakini hakuna takaye leta ushahidi wowote toka TRA au mamlaka yoyote ile husikaJF ya 2011 imejaa wababaishaji tuu ambao hawana tofauri sana na akina John Mashaka na yule "DR" feki SHAYO.lakini it takes all sorts to make this forum ya GREAT THINKERS
Mkuu inaonyesha una visasi na watu humu au?! Unapoattack forum hii na wewe ukiwemo unamaanisha nini?! Wewe umeleta ushahidi gani kutoka TRA kuwa kodi inalipwa? Watanganyika wameshadanganywa mara kibao na watu wa aina ya Hosea, we unataka tu ukisema tukuamini? Kwako wewe mwandishi akijua kuandika jina la kigeni ndo utakubaliana naye?! Hao jamaa ulowataja hapo juu siwajui ila navyojua kikwete ndiye "Dk" feki namba moja hapa Tanganyika.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
How long will this Foreigners play our brains out and abuse our Tax Codes? why R they keeping changing Names to abuse our Taxes?

Sasa watajuta kwanini hawakumpa Reginald Mengi, wakakimbilia 10%; Shame on our GVT

** LOOK @ THIS THOSE COMPANY HYATT & KEMPINSKI ATE THE SAME COMPANY called ONE VISION

1visionlogo_white_sml.jpg

Hyatt Hotels and the Kempinski Group of Hotels select ONEvision as their system of choice At essense, our focus is helping the hospitality and leisure industry to improve business outcomes and guests' experiences through the leveraging of technology, people and processes. Central to increasing your guests' in-room experience is the ONEvision IPTV system. ONEvision has been embraced as the system of choice by HYATT HOTELS, the KEMPINSKI HOTEL GROUP as well as various other Hotel Groups and individual Hotels.

Mkuu, hakuna cha kujuta hapa. Tunachohitaji ni mtu anayekuja na mtaji wake kuwekeza, kuajiri wazawa na kulipa kodi bila ya kuathiri mali ya asili na uchumi wa nchi. Ningemuona Reginald Mengi mtu wa maana sana kama angepigana vikumbo na Barrick kununua migodi ya dhahabu.
 
Imeandikwa na Namsembaeli Mduma; Tarehe: 25th July 2011

HOTELI kubwa mbili za kitalii jijini Dar es Salaam zenye hadhi ya juu nchini zitabadilishwa majina yake ya sasa kwa mara nyingine kutokana na kuuzwa kwa mojawapo na nyingine kwa sababu ya kubadilisha kampuni inayosimamia masuala ya uongozi.

Hoteli hizo, Kilimanjaro Kempinski na Royal Movenpick ndizo zinazoelezwa kuwa mbioni kubatizwa majina mapya ifikapo Agosti mosi mwaka huu.

Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi wa Utalii nchini, Ibrahim Musa alisema taarifa rasmi alizonazo ni za kubadilishwa kwa jina la Hoteli ya Kilimanjaro Kempinski kuwa Kilimanjaro Hyatt mwezi ujao.

Musa alisema suala la Movenpick bado lipo mikononi mwa wenye hoteli wenyewe na kwamba ni vigumu kwake kulizungumzia kwa sasa kwa sababu taarifa rasmi hazijaifikia meza yake.

"Nitazungumzia Kempinski pekee kwa sasa kwa sababu hiyo ya Movenpick bado wenyewe hawajatuletea taarifa rasmi kuihusu. Nina taarifa ya kuwepo kwa mazungumzo kati ya wanaoendesha Movenpick na wadau wengine, lakini siwezi kuyasema kwa kuwa sio rasmi," alisema Mkurugenzi wa Utalii.

Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya Mkurugenzi wa Utalii, gazeti hili lilipata taarifa za kuwepo kwa mpango wa kubadilishwa jina kwa hoteli hiyo ya Movenpick kuwa Serena endapo wauzaji (Movenpick) na wanunuzi (Serena) watafikia makubaliano.

Aidha, imefahamika kuwa pande hizo mbili zipo katika mazungumzo ya mwisho kuhusu kuuziana hoteli hiyo ili utekelezaji wake ufanikishwe ifikapo mwanzoni mwa mwezi ujao.

Akifafanua kuhusu Hoteli ya Kempinski, Mkurugenzi huyo alisema kitakachofanyika hakitakuwa na athari zozote katika uwekezaji wala ulipaji wa kodi kwa sababu umiliki unakuwa bado ni wa mhusika wa awali.

"Tuliliangalia suala la kodi kwa kina na kujiridhisha kuwa halitaathiriwa kwa namna yoyote kwa kubadilishwa jina kutoka Kempinski kwenda Hyatt. Kitakachobadilika ni kampuni inayoshughulika na masuala ya uongozi wa hoteli hiyo kutokana na kumalizika kwa mkataba wake na wamiliki," alisema Mkurugenzi huyo.

Alisema kampuni hiyo mpya iitwayo Hyatt ni ya Kimarekani na kwamba wamekubaliana nao wasiondoe jina la Kilimanjaro ili kulinda historia ya Mlima wa Kilimanjaro ambao ni fahari ya Tanzania.

"Pamoja na kuangalia masuala ya kodi, pia tuliwaomba wahusika wasiliondoe jina hilo Kilimanjaro kama njia moja ya kulinda historia ya mlima wetu. Walikubali kwa kweli na kutufahamisha kuwa jina hilo litaendelea kutumika kwa kuwa ndio linalowavutia wateja wengi wanaofika kupata huduma katika hoteli hiyo," alisema.

Juhudi za kumpata Meneja wa Hoteli wa Kempinski aliyejulikana kwa jina moja la Trevo, ziligonga mwamba baada ya Ofisa wa Mapokezi aliyejitambulisha kwa jina Oswald Akyoo, kumzuia mwandishi wa habari hizi kumwona kwa maelezo kuwa haikuwa siku ya kazi. Kuhusu uwezekano wa kuwepo athari katika makusanyo ya kodi kutokana na kuuzwa kwa Hoteli ya Movenpick endapo suala hilo litatekelezwa, Mkurugenzi wa Utalii nchini alisema itakuwa vema likizungumzwa wakati litakapotokea.

"Kwa kuwa wapo kwenye mazungumzo, hatuwezi kusema imeuzwa, tusubiri watupe taarifa ndio tuzungumzie suala hilo. Lakini kwa vyovyote, Serikali haiwezi kuruhusu athari katika uchumi wake hivyo sitegemei zitokee," alifafanua Musa.

Kumekuwa na hofu miongoni mwa Watanzania kuhusu kubadilishwa kwa majina ya hoteli nchini huku wengi wakidhani ni njama za kukwepa kulipa kodi katika miaka mitano ya uwekezaji wa kwanza.

Lakini Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ukanda wa Uwekezaji (EPZA), Dk. Adelhelm Meru aliwahi kusema mabadiliko ya majina ya uwekezaji pekee hayana athari katika kodi.

Hizi ni porojo, kuna kitu hapo kinapikwa. Historia inatuonyesha hivyo. We Musa/Adelhelm, acha porojo. Hapo kuna ufisadi unapikwa na umeiva tayari.
 
Mkuu, hakuna cha kujuta hapa. Tunachohitaji ni mtu anayekuja na mtaji wake kuwekeza, kuajiri wazawa na kulipa kodi bila ya kuathiri mali ya asili na uchumi wa nchi. Ningemuona Reginald Mengi mtu wa maana sana kama angepigana vikumbo na Barrick kununua migodi ya dhahabu.
matangazo yote ya uwekezaji kwenye sector ambazo vilaza wa nchi hii wanahitaji rushwa wanayatangaza ughaibuni 2! Ndo mana mkuu wako wa kaya anahangaika kila cku nje kwenda kutaft wamachinga waje kuwekeza huku.c anajua wa.......kama nyie mnaofikiria leo 2 mtakaa kimya.
 
Wakubwa hivi hili mpaka lini?Sheria zetu Watawala siku zote zitasurubu sisi wenyewe mpaka lini?.Tulio wapa dhamana ya kututawala mnajisikiaje wawekezaji wanapoingia Nchini baada ya miaka mitano ndani ya kampuni husika walioinvest wanaamua kuuza,ambayo sio kweli wanauza wanachofanya ni kubadilisha jina la kampuni inayokuja kuchukua umilki lakini jina la mmilki akiwa ni yuleyule wa Kwanza.

Sawa tumeshindwa kweli kuwa na ubunifu wa kutayarisha vijana hata miaka mitano ya utawala wa Rais mmoja kuchukua vijana waliomaliza Form SIX,nakuwapeleka the best Collage or University iwe Misri,USA,au Uk popote dunia kujifunza mikataba na terms zake kisha waludi nyumbani wakiludi wakiwa na jukumu moja kuangalia kil kifungu [Article and Clause] za mikataba yote Serikali inayoingia na Investor yoyote yule.

Sawa Ubunifu huo hawana?Ninaimani iko siku Mungu atawakuza na kuwanyanyua vijana wa Kitanzania Wakiume na Wakike msiota wawajibike kwa faida ya Taifa lao la vizazi vyao
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Couple of things:

The so called GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakuja hapa na allegations kuwa kodi itapotea hawa jamaa wakibadilisha majina pasipo kuleta ushahidi wowowte ule wa ku substantiate hizi conspiracy zao

Nawahikikishia thread itafika pages 4 na kitakachoongelewa ni theories na hisia tena kwa ku refer habari zilizoandikwa na mwandishi ambaye hawezi kuandika jina la TREVOR!

I cant wait kuwaona GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakavyokuja kujadili hili jambo tena najua wengine wata refer majina ya makampuni ya simu yaliyobadilishwa lakini hakuna takaye leta ushahidi wowote toka TRA au mamlaka yoyote ile husika

JF ya 2011 imejaa wababaishaji tuu ambao hawana tofauri sana na akina John Mashaka na yule "DR" feki SHAYO.

lakini it takes all sorts to make this forum ya GREAT THINKERS

@Arigold, watu wakiongea kwa hisia/theories ni sawa kwa sababu huko nyuma mchezo umekuwa ni around 5 years tax-free holiday. Na kwa bahati mbaya hata pale wananchi wanauliza maswali ya msingi kuhusu kodi na ubadilishwaji huo wa majina serikali imekuwa na usiri mkubwa! In that case we have no option but to thoerise. It is good that huyu bwana Utalii anaonekana kuliongelea hilo but from history we will need much more information to be convinced. Ila kitu kinachonishanga hata mimi ni kwa nini majina yanabadilika kila baaday ya miaka 5? Sheraton, Royal Palm, Movernpick kuna nini hapo? Hakuna faida? au faida ni kubwa sana hivyo investors wamepanga foleni for a take-over? again, why every 5 years?

NB: Hyatt wanatoka kule kule wanyamapori watu walikopelekwa kupitia KIA!
 
Kwa kufuata historia ya ya Nchi yetu, hapo kuna jambo na kuna watu wanahusika, tena wakubwa tu. Hivi umesha wahi kuona wapi ktk vitabu vyovyota vya mahesababu na hasa kodi, anayetakiwa kulipa kodi awe na jina jingine na Biashara anafanya mwenye jina jingine? Inawezekana vipi? Kwani ukibadilisha rangi ya gari na dreva, utabadilisha hata utumiaji wake wa mafuta? Haiingii akilini kuwa Kilimanjaro Kempinski ikiwa sawasawa na Kilimanjaro HYATT ingawa ni the same buidling. Haiwezekani kabisa. Tunaomba wataalamu wa Kodi mtujuze hapa, tena sio TRA, kwani nao wanamambo yao.

Yatakuwa yaleyale, Kagoda, Meremeta, Richmomd, Dowans, Caspian etc, (Kumbe wahusika walewale).
 
  • Thanks
Reactions: EMT
@Arigold, watu wakiongea kwa hisia/theories ni sawa kwa sababu huko nyuma mchezo umekuwa ni around 5 years tax-free holiday. Na kwa bahati mbaya hata pale wananchi wanauliza maswali ya msingi kuhusu kodi na ubadilishwaji huo wa majina serikali imekuwa na usiri mkubwa! In that case we have no option but to thoerise. It is good that huyu bwana Utalii anaonekana kuliongelea hilo but from history we will need much more information to be convinced. Ila kitu kinachonishanga hata mimi ni kwa nini majina yanabadilika kila baaday ya miaka 5? Sheraton, Royal Palm, Movernpick kuna nini hapo? Hakuna faida? au faida ni kubwa sana hivyo investors wamepanga foleni for a take-over? again, why every 5 years?NB: Hyatt wanatoka kule kule wanyamapori watu walikopelekwa kupitia KIA!
Wakuu kwanza tuweke msingi kwa kujua wamiliki wa hizi hotel,serikali iliuza hisa zote? Je kwanini hoteli hazikuuzwa kwa wataalamu maarufu wa biashara za mahoteli moja kwa moja badala ya wao kuja kama uongozi na mmiliki ni mwingine anaebadili uongozi kila kukicha na kuruhusu uongozi mpya kuja na jina lao? Kabla hata ya kujadili tax loop holes tulizonazo nafikiri tukomeshe mtindo huu kwa kujadili kwa uwazi historia za umiliki wa hizi hoteli,tukifanikiwa kuweka ownership principle vizuri nafikiri yote yataisha.pia tujiuliza mfano nairobi hilton hoteli ambayo ni kongwe inamilikiwa kwa mtindo huu wa kilimanjaro na movenpick?mwisho inakuwaje serikali inajadiliana maswala ya jina la hoteli na uongozi badala ya mmiliki walieingia nae mkataba? Kwanini jina la kilimanjaro kama tunaona umuhimu wake hatukuweka claus kwenye mkataba ili lisiondolewe kuepusha mmiliki kuweka jina atakalo?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kwa kufuata historia ya ya Nchi yetu, hapo kuna jambo na kuna watu wanahusika, tena wakubwa tu. Hivi umesha wahi kuona wapi ktk vitabu vyovyota vya mahesababu na hasa kodi, anayetakiwa kulipa kodi awe na jina jingine na Biashara anafanya mwenye jina jingine? Inawezekana vipi? Kwani ukibadilisha rangi ya gari na dreva, utabadilisha hata utumiaji wake wa mafuta? Haiingii akilini kuwa Kilimanjaro Kempinski ikiwa sawasawa na Kilimanjaro HYATT ingawa ni the same buidling. Haiwezekani kabisa. Tunaomba wataalamu wa Kodi mtujuze hapa, tena sio TRA, kwani nao wanamambo yao. Yatakuwa yaleyale, Kagoda, Meremeta, Richmomd, Dowans, Caspian etc, (Kumbe wahusika walewale).
Tatizo la ukwepaji kodi linaanzia na jinsi tulivyouza hisa za makampuni yetu na tuliweka misingi gani kwa hao wawekezaji.tulitaka mwekezaji wa aina gani na afanye nini na matokeo ya umiliki ktk kodi ni nini! Tax holidays si kitu kibaya kama mnaingia vizuri mikataba ya ownership huku umakini mkubwa ukiwepo kwenye how transfer of ownership can affect our tax laws? Hii itasaidia kuweka vipengele vya kutulinda ikitokea transfer of ownership.ila hapa tatizo inaonesha ni management changes and not ownership transfer! Fun enough every management comes with their names! Nina tatizo na ufahamu wangu juu ya jinsi tulivyouza hoteli zetu.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kempinski itakuwa Hyatt. Hyatt ni kampuni mpya Tanzania na kwa sababu ni mpya na kwa sababu ya sheria zetu za kijinga kuhusu kodi hii kampuni sitashangaa kama itaomba msamaha wa kodi wa miaka mitano na kuridhiwa. I stand to be corrected.

Jasusi you're correct.

TIC na TRA wanajua kabisa kuna kitu inaitwa GRACE PERIOD ya 5 years kwa wawekezaji hapa Tanzania.
Kwamba they come to invest in our country na wanapewa MSAMAHA WA KUTOLIPA KODI KWA MIAKA 5 ili waweje kurudisha gharama zao. Baada ya hiyo miaka 5 ndiposa wanaruhusiwa kuanza kulipa kodi.

TRA na TIC chini ya serikali ya Chama Cha Magamba-CCM wanalijua hili. Sababu wanazozitoa ni kwamba WAMEFANYA HIVI MAKUSUDI ili KUVUTIA WAWEKEZAJI!!!!!!??????

Na hili si kwa wawekezaji wa Mahoteli tu baali ni kwa wawekezaji wa aina zote wakiwemo wa MIGODI,MAWASILIANO(kwa maana ya simu/mitandao),VIWANDA,KILIMO na MABENKI!!!

Ama kweli Tanzania ni SHAMBA LA BIBI,kila mtu anayejisikia njaa anaingia kuvuna na kuishia zake na hakuna wa kumuuliza.

Nchi hii IMELAANIWA
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Couple of things:

The so called GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakuja hapa na allegations kuwa kodi itapotea hawa jamaa wakibadilisha majina pasipo kuleta ushahidi wowowte ule wa ku substantiate hizi conspiracy zao

Nawahikikishia thread itafika pages 4 na kitakachoongelewa ni theories na hisia tena kwa ku refer habari zilizoandikwa na mwandishi ambaye hawezi kuandika jina la TREVOR!

I cant wait kuwaona GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakavyokuja kujadili hili jambo tena najua wengine wata refer majina ya makampuni ya simu yaliyobadilishwa lakini hakuna takaye leta ushahidi wowote toka TRA au mamlaka yoyote ile husika

JF ya 2011 imejaa wababaishaji tuu ambao hawana tofauri sana na akina John Mashaka na yule "DR" feki SHAYO.

lakini it takes all sorts to make this forum ya GREAT THINKERS

Hahaha...ivi unaweza kuniambia mara ya mwisho hii serikali yetu ilituambia kitu cha kweli? Unaiamini kiasi hiki? Eti kwa vile Mkurugenzi wa Utalii kasema ivi basi tumwamini. Huyo mkurugenzi wa utalii ni nani kwanza? Ofisi yake ina-deal na nini? Ndio inasimamia ulipaji kodi? Tuambie kodi iliyokuwa ikilipa Kempsin na itakayolipa hii nyingine basi...
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Tiba,

Jina la hiyo hotel iliyoitwa Sheratonkwanza, hapo katikati ikaitwa Royal Palm kabla ya kubandikwa la sasa la Movenpick.

Kwangu Serena ni jina maarufu tayari katika hotel industry. Sina uhakika na Hyatt. Ni ubabaishaji tu!

Mnyalu
 
kila kitu ni sawa kwa serikari ya ccm, unahitaji kumpikia mpangaji wako aliyehamia kwenye nyumba yako kwa miaka mitano, kisha akimaliza miaka yake mitano anamkaribisha rafiki yake na kusema sasa yeye ndiye mpangaji wako yeye anahamia sehemu ingine. Na huyo wa pili naye unampikia kwa miaka mitano kama kawaida.
That is best practice 'Ngasongwa''
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom