Kilimanjaro Kempinski yabadilishwa jina

Boss,
Sheraton hawakuondoka. Walibadilisha tu jina la kampuni lakini wamiliki ni wale wale.

Una uhakika na unalolisema, Swala la Sheraton lilipotoshwa saana na watu tulivyo wavivu wa kufuatilia mambo tunashabikia tu. Ukweli ni kwamba, aliyejenga jengo la iliyokuwa Sheraton alikuwa hana ujuzi wowote na uendeshaji wa hoteli, waliingia mkataba na Sheraton ili waiendeshe ile hoteli, ukumbuke hii mikataba hususani na hotel chain zenye majina inalipiwa pesa nyingi saana, miliki aliona hapati faida akahamua kuwatimua sheraton baadae akawachukua Royal palm ambayo ni hotel chain kutoka south africa, mwana wa mfalme wa Soudia akatembelea tanzania akalipenda jengo akamtafuta miliki akamshawishi amuuzie kwa kuwa jamaa alitoa pesa nzuri jamaa kakubali kuuza, Mwarabu yeye anaaamahoteli sehemu mbalimbali duniani yanayoendeshwa na Movenpich hotels and lodges ya Uswis nda kawaajairi wamuendeshee, na ndio wanaendesha mpaka leo. hiki ndo kitu kilichotokea

Kwa biashara ya mahaoteli hili ni jambo la kawaida saana kwakuwa wabongo hatuko so used na haya mambo ndo maana tunaona ni kitu cha ajabu,, swala la kodi ni kweli serekali ilikuwa inatoa vivutio kwa wawekezaji ila nadhani kwa sasa wameondoa baadhi ya hivyo vivutuo,

kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo, utakumbuka HOLIDAY INN na wao walikuwa wanaiendesha Southern san hotel , walitofautiana miliki wa jengo kawatimua kahamua kuliendesha peke yake wao wakatafuta wahindi wakaindgia maktaba nadhani kwa sasa wanaendesha hoteli karibu na posta mpya. haya ni mambo ya kawaida saana mkubwa

cha msingi ni serekali kujaribu kuwashawishi hizi chain kama Marriots, Hilton, holiday inn, waje wajenge property zao wenyewe hapa nchini kwa kufanya hivyo hutaona kila baada ya muda wanaondoka.
 
Una uhakika na unalolisema, Swala la Sheraton lilipotoshwa saana na watu tulivyo wavivu wa kufuatilia mambo tunashabikia tu. Ukweli ni kwamba, aliyejenga jengo la iliyokuwa Sheraton alikuwa hana ujuzi wowote na uendeshaji wa hoteli, waliingia mkataba na Sheraton ili waiendeshe ile hoteli, ukumbuke hii mikataba hususani na hotel chain zenye majina inalipiwa pesa nyingi saana, miliki aliona hapati faida akahamua kuwatimua sheraton baadae akawachukua Royal palm ambayo ni hotel chain kutoka south africa, mwana wa mfalme wa Soudia akatembelea tanzania akalipenda jengo akamtafuta miliki akamshawishi amuuzie kwa kuwa jamaa alitoa pesa nzuri jamaa kakubali kuuza, Mwarabu yeye anaaamahoteli sehemu mbalimbali duniani yanayoendeshwa na Movenpich hotels and lodges ya Uswis nda kawaajairi wamuendeshee, na ndio wanaendesha mpaka leo. hiki ndo kitu kilichotokea

Kwa biashara ya mahaoteli hili ni jambo la kawaida saana kwakuwa wabongo hatuko so used na haya mambo ndo maana tunaona ni kitu cha ajabu,, swala la kodi ni kweli serekali ilikuwa inatoa vivutio kwa wawekezaji ila nadhani kwa sasa wameondoa baadhi ya hivyo vivutuo,

kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo, utakumbuka HOLIDAY INN na wao walikuwa wanaiendesha Southern san hotel , walitofautiana miliki wa jengo kawatimua kahamua kuliendesha peke yake wao wakatafuta wahindi wakaindgia maktaba nadhani kwa sasa wanaendesha hoteli karibu na posta mpya. haya ni mambo ya kawaida saana mkubwa

cha msingi ni serekali kujaribu kuwashawishi hizi chain kama Marriots, Hilton, holiday inn, waje wajenge property zao wenyewe hapa nchini kwa kufanya hivyo hutaona kila baada ya muda wanaondoka.

Maelezo haya matamu ni cover up tu ya kujisafisha machoni mwa wadanganyika wengi. Nina uhakika na ninachokisema. Hata Andrew Chenge nae ana maelezo matamu tu ya kumfanya Attorney General ama Takukuru wasimkamate.
Kila aina ya ufisadi ufanywao Tanzania una cover up yenye maelezo matamu kama hayo ulioyatoa lakini tunaujua ukweli na ukweli ndio huo wa TAX EXEMPTION.
 
Una uhakika na unalolisema, Swala la Sheraton lilipotoshwa saana na watu tulivyo wavivu wa kufuatilia mambo tunashabikia tu. Ukweli ni kwamba, aliyejenga jengo la iliyokuwa Sheraton alikuwa hana ujuzi wowote na uendeshaji wa hoteli, waliingia mkataba na Sheraton ili waiendeshe ile hoteli, ukumbuke hii mikataba hususani na hotel chain zenye majina inalipiwa pesa nyingi saana, miliki aliona hapati faida akahamua kuwatimua sheraton baadae akawachukua Royal palm ambayo ni hotel chain kutoka south africa, mwana wa mfalme wa Soudia akatembelea tanzania akalipenda jengo akamtafuta miliki akamshawishi amuuzie kwa kuwa jamaa alitoa pesa nzuri jamaa kakubali kuuza, Mwarabu yeye anaaamahoteli sehemu mbalimbali duniani yanayoendeshwa na Movenpich hotels and lodges ya Uswis nda kawaajairi wamuendeshee, na ndio wanaendesha mpaka leo. hiki ndo kitu kilichotokea

Kwa biashara ya mahaoteli hili ni jambo la kawaida saana kwakuwa wabongo hatuko so used na haya mambo ndo maana tunaona ni kitu cha ajabu,, swala la kodi ni kweli serekali ilikuwa inatoa vivutio kwa wawekezaji ila nadhani kwa sasa wameondoa baadhi ya hivyo vivutuo,

kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo, utakumbuka HOLIDAY INN na wao walikuwa wanaiendesha Southern san hotel , walitofautiana miliki wa jengo kawatimua kahamua kuliendesha peke yake wao wakatafuta wahindi wakaindgia maktaba nadhani kwa sasa wanaendesha hoteli karibu na posta mpya. haya ni mambo ya kawaida saana mkubwa

cha msingi ni serekali kujaribu kuwashawishi hizi chain kama Marriots, Hilton, holiday inn, waje wajenge property zao wenyewe hapa nchini kwa kufanya hivyo hutaona kila baada ya muda wanaondoka.

Kwa nani kawafukuza Kilimanjaro Hotel Kempinski?
 
Maelezo haya matamu ni cover up tu ya kujisafisha machoni mwa wadanganyika wengi. Nina uhakika na ninachokisema. Hata Andrew Chenge nae ana maelezo matamu tu ya kumfanya Attorney General ama Takukuru wasimkamate.
Kila aina ya ufisadi ufanywao Tanzania una cover up yenye maelezo matamu kama hayo ulioyatoa lakini tunaujua ukweli na ukweli ndio huo wa TAX EXEMPTION.

Cha msingi ni kuelewa mwenye jengo ni tofauti na anayeliendesha. swala la kodi ni lakitawala zaidi, mwenye jengo anamlipa muendeshaji vigarama vidogovidogo vingi tu. kila kichwa kinacholala kwenye hoteli certain percent inakatwa na kwenda kwa waendeshaji. Wanaoekeza kwa majengo wanajitahidi kutafuta best deal. kumbuka hii mikataba inakuwa ni subject to renewal.muda wa kurenewal unapofika ndo wamiliki wengi wanaona wanaibiwa.na ndo tofauti zinaanza jitokeza.


NILICHOKISEMA NI VEMA KUSHAWISHI HIZI CHAIN KUJENGA MAJENGO YAO KAMA, HILTON, HOLIDAY INN WALIVYOWEKEZA NAIROBI. kwa kufanya hivyo hutasikia majina yanabadilika kila mara.. hii ipo kama mnaokunywa coca kila chupa unayonunua kuna percent inakatwa na kulipwa Atlanta kwa wenye trademark
 
Kwa nani kawafukuza Kilimanjaro Hotel Kempinski?

Mkuu Kempinski hotels ndo alikuwa wanaendesha Kilimanjaro hotel,pamoja na Zamani kempinski na b elila lodge. Mwenye haya majengo ni mwarabu ambaye anapesa kweli. Hapo kuna mawili labda wametofautiana kwa biashara ya tanzania au jamaa anataka kujenga local brand baada ya majengo yake kujulikana duniani. na ukumbuke alikuwa mbioni kujenga lodge nyingine Ngorongoro pamoja na Saadani

tungemshawishi Mfalme wa Thailand ambaye ndo anamiliki share nyingi Kempiski naada ya wajerumani kumuuzia aje ajenge majengo yake na kuyaendesha badala ya kutumia hii system ya Franchising ambayo manaona mnaibiwa kodi zenu.

Kwa taarifa tu kati ya mahoteli wanayolipa wafanyakazi wake vizuri nadahi hawajamaa watakuwa wanaongoza baada ya jamaa wa Singita
 
  • Thanks
Reactions: EMT
mkuu prodigal son asante saana...

tatizo wabongo wengi tunaamini ufisadi kiasi kwamba hata logic hatutaki kuitumia

hizo hoteli za sheraton mfano
zipo dunia nzima,sasa iweje tanzania tu ndo ziwe za kifisadi??????

na zipo katka nchi zingine ambazo kodi ni kubwa kuliko zetu........

ukweli ni kuwa hizo brand hotels nazo zinakuwa makini mno na kuchafuka majina
iwapo zitahusishwa na ufisadi

wabongo wengi hatutaki kutazama matatizo ya sekta ya utalii kwa upana wake

mfano hakuna airport ya kiwango huko serengeti,

na gharama za kutoka dar kwenda arusha au mwanza ni kubwa mno kuliko
gharama za kutoka london kwenda amsterdam,au beijing kwenda kuala lumpur
hatutazamii hayo
 
mkuu prodigal son asante saana...

tatizo wabongo wengi tunaamini ufisadi kiasi kwamba hata logic hatutaki kuitumia

hizo hoteli za sheraton mfano
zipo dunia nzima,sasa iweje tanzania tu ndo ziwe za kifisadi??????

na zipo katka nchi zingine ambazo kodi ni kubwa kuliko zetu........

ukweli ni kuwa hizo brand hotels nazo zinakuwa makini mno na kuchafuka majina
iwapo zitahusishwa na ufisadi

wabongo wengi hatutaki kutazama matatizo ya sekta ya utalii kwa upana wake

mfano hakuna airport ya kiwango huko serengeti,

na gharama za kutoka dar kwenda arusha au mwanza ni kubwa mno kuliko
gharama za kutoka london kwenda amsterdam,au beijing kwenda kuala lumpur
hatutazamii hayo

MKUU BOSS

uko sawa kabisa, hata majuzi hoteli iliyoshambuliwa Kabul ni Hilton ya wamarekani, mkuu sekta ya utalii kutokana na rasilimali tulizonazo ingeweza ikalisha nji nzima. Tatizo kubwa kuna umafia mkubwa saana unaoendelea mkubwa mpaka hizi chain kubwa zinaogopa kuja na kuwekeza. kuna ma king makers lazima utimize masharti yao lasivyo huwezi fanya lolote mkubwa. kutokana na hii hali ndo maana tunaambulia wawekezaji uchwara. Kinachosikitisha wakati watawala wanapigania kujenga barabara serengeti ili kurahisisha usafiri kwenye mahoteli yao yaliyopo ndani ya hifadhi, Sudan sasa wanajitahidi kuanzisha mbuga ambayo wanyama wanahama kama waserengeti
hebu angalia hii link In Sudan, an Animal Migration to Rival Serengeti - New York Times soon tutakuwa nawashindani, wanasiasa wetu wanapigania matumbo yao tu
 
MKUU BOSS

uko sawa kabisa, hata majuzi hoteli iliyoshambuliwa Kabul ni Hilton ya wamarekani, mkuu sekta ya utalii kutokana na rasilimali tulizonazo ingeweza ikalisha nji nzima. Tatizo kubwa kuna umafia mkubwa saana unaoendelea mkubwa mpaka hizi chain kubwa zinaogopa kuja na kuwekeza. kuna ma king makers lazima utimize masharti yao lasivyo huwezi fanya lolote mkubwa. kutokana na hii hali ndo maana tunaambulia wawekezaji uchwara. Kinachosikitisha wakati watawala wanapigania kujenga barabara serengeti ili kurahisisha usafiri kwenye mahoteli yao yaliyopo ndani ya hifadhi, Sudan sasa wanajitahidi kuanzisha mbuga ambayo wanyama wanahama kama waserengeti
hebu angalia hii link In Sudan, an Animal Migration to Rival Serengeti - New York Times soon tutakuwa nawashindani, wanasiasa wetu wanapigania matumbo yao tu

mkuu inasikitisha mnno
utalii ungetosheleza bajeti yetu tungekuwa makini
south africa wanapata dola bilioni kumi kila mwaka kwa utaliii

na wanatumia zaidi ya dola milioni 50 kwa matangazo kila mwaka

sisi hatujawahi kutumia hata dola milioni mbili tu kwa matamngazo

na bado utaliii ndio sekta inayoleta fedha za kigeni kuliko sekta zote

yaani tunababaisha na bado tunapata faida,
jiulize tungekuwa serious?????????
 
mkuu inasikitisha mnno
utalii ungetosheleza bajeti yetu tungekuwa makini
south africa wanapata dola bilioni kumi kila mwaka kwa utaliii

na wanatumia zaidi ya dola milioni 50 kwa matangazo kila mwaka

sisi hatujawahi kutumia hata dola milioni mbili tu kwa matamngazo

na bado utaliii ndio sekta inayoleta fedha za kigeni kuliko sekta zote

yaani tunababaisha na bado tunapata faida,
jiulize tungekuwa serious?????????

Mkuu Boss
swala la kutangaza vivutio vyetu nje na ndani la lenyewe, ni kichekesho kweli. Bodi ya utalii kwabla ya huyu CEO wa sasa walikuwa wanafanya vituko kweli. Walikuwa wanatuma ma secretary na hata dereva wa CEO kuna kipindi walikuwa wanajumuishwa kwenye misafara ya kwenda kuitangaza tanzania nje, hapo hujahesabu wajumbe wa bodi, TANAPA, Ngorongoro, kuna kipindi nishakutana na Mahita nadahni alikuwa mjumbe wa bodi ya Tanapa UK ilibidi niondoke tu, hao wanaotumwa kwenda kutangaza utalii wanaishia kwenda kufanya shopping tu mkuu. inasikitisha saana

Wenzetu Wakenya wanajua matatizo yetu wote ndo maana wanatumia kama advantage, hata ukiwapa pesa TTB hawataleta mabadiliko yoyote kwani bodi imejaa watoto wa wazee wengine shule zao zipo kwenye mabano.
 
mkuu prodigal son asante saana...

tatizo wabongo wengi tunaamini ufisadi kiasi kwamba hata logic hatutaki kuitumia

hizo hoteli za sheraton mfano
zipo dunia nzima,sasa iweje tanzania tu ndo ziwe za kifisadi??????

na zipo katka nchi zingine ambazo kodi ni kubwa kuliko zetu........

ukweli ni kuwa hizo brand hotels nazo zinakuwa makini mno na kuchafuka majina
iwapo zitahusishwa na ufisadi


wabongo wengi hatutaki kutazama matatizo ya sekta ya utalii kwa upana wake

mfano hakuna airport ya kiwango huko serengeti,


na gharama za kutoka dar kwenda arusha au mwanza ni kubwa mno kuliko
gharama za kutoka london kwenda amsterdam,au beijing kwenda kuala lumpur
hatutazamii hayo

Ufisadi Tanzania umekuwa wa wazi wazi na wa wizi wa mchanaa kweupee hadi wabongo wanashindwa kujua nani ama kipi cha kuamini, so huweziwalaumu

Hata kampuni kubwa kama British Aerospace Systems ambayo ni kubwa na inaworth hundreds of billions of sterling pounds nayo ilihusishwa na rushwa na nchi yetu tena scandal ya kipuuzi na ya kijinga sembuse Sheraton? Kama kampuni kubwa kama Goldman Saach, Barrick Gold zimehusishwa na ufisadi why not Sheraton?

Sio wabongo wa kulaumu kuhusu mtazamo wa utalii na mapana yake bali ni serikali haiko wazi na uwekezaji ktk sekta hiyo, wanyama hai wanaibiwa kila usiku wa mungu mwisho wataisha, mbuga zinauzwa, beach plots zimeuzwa, wanazuiwa kuingia baadhi ya hotels kisa ni weusi...sasa utawalaumu watanzania?

Serikali inalijua hilo la kujenga airport Serengeti, mbona haijengi?
Narudia tena, nina uhakika na ninachokisema na ushahidi siku moja utaanikwa kila mahali na I can guarantee your jaw will drop wide!!!. Rushwa inanuka kwenye ubadilishaji wa majina mara sijui Sheraton, Royal Palms na Movenpick. Kuna fununu wanataka waachane na Movenpick wahamie Hyatt!!
Msiwalaumu wabongo for being too suspicious of anything serikali na majizi mafisadi ndio yamesababisha hivi.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
[h=2]Tanzanian Lodge Named Best Hotel in The World[/h]
Tanzanian Lodge Named Best Hotel in The World

singita.jpg

Singita Game Reserves
After receiving a score of 98.44 out of 100 on a list based on reader surveys, Travel + Leisure, named Singita Grumeti Reserves in Tanzania's Serengeti National Park as the best hotel in the world.

The hotel, singita.com, which is made up of two lodges and a tent camp, offers unparalleled luxury in the thick of the wild.

It is located on the migratory route traversed annually by more than a million wildebeest, providing guests with incredible photo opportunities from their bedroom windows.

Despite its remote location, Singita's guests are treated to five-star service and accommodations.

Rooms in the tents and villas start at around $1,095 per person per night; rates include daily game drives, food, and drink.

Two other Tanzanian hotels, Kirawira Luxury Tented Camp and -Serengeti Migration Camp all located in the Serengeti National Park, scored 96.71 and 96.50 respectively to make it in the top ten.


source: businessinsider



"I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not h
 
Imeandikwa na Namsembaeli Mduma; Tarehe: 25th July 2011

HOTELI kubwa mbili za kitalii jijini Dar es Salaam zenye hadhi ya juu nchini zitabadilishwa majina yake ya sasa kwa mara nyingine kutokana na kuuzwa kwa mojawapo na nyingine kwa sababu ya kubadilisha kampuni inayosimamia masuala ya uongozi.

Hoteli hizo, Kilimanjaro Kempinski na Royal Movenpick ndizo zinazoelezwa kuwa mbioni kubatizwa majina mapya ifikapo Agosti mosi mwaka huu.

Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi wa Utalii nchini, Ibrahim Musa alisema taarifa rasmi alizonazo ni za kubadilishwa kwa jina la Hoteli ya Kilimanjaro Kempinski kuwa Kilimanjaro Hyatt mwezi ujao.

Musa alisema suala la Movenpick bado lipo mikononi mwa wenye hoteli wenyewe na kwamba ni vigumu kwake kulizungumzia kwa sasa kwa sababu taarifa rasmi hazijaifikia meza yake.

“Nitazungumzia Kempinski pekee kwa sasa kwa sababu hiyo ya Movenpick bado wenyewe hawajatuletea taarifa rasmi kuihusu. Nina taarifa ya kuwepo kwa mazungumzo kati ya wanaoendesha Movenpick na wadau wengine, lakini siwezi kuyasema kwa kuwa sio rasmi,” alisema Mkurugenzi wa Utalii.

Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya Mkurugenzi wa Utalii, gazeti hili lilipata taarifa za kuwepo kwa mpango wa kubadilishwa jina kwa hoteli hiyo ya Movenpick kuwa Serena endapo wauzaji (Movenpick) na wanunuzi (Serena) watafikia makubaliano.

Aidha, imefahamika kuwa pande hizo mbili zipo katika mazungumzo ya mwisho kuhusu kuuziana hoteli hiyo ili utekelezaji wake ufanikishwe ifikapo mwanzoni mwa mwezi ujao.

Akifafanua kuhusu Hoteli ya Kempinski, Mkurugenzi huyo alisema kitakachofanyika hakitakuwa na athari zozote katika uwekezaji wala ulipaji wa kodi kwa sababu umiliki unakuwa bado ni wa mhusika wa awali.

“Tuliliangalia suala la kodi kwa kina na kujiridhisha kuwa halitaathiriwa kwa namna yoyote kwa kubadilishwa jina kutoka Kempinski kwenda Hyatt. Kitakachobadilika ni kampuni inayoshughulika na masuala ya uongozi wa hoteli hiyo kutokana na kumalizika kwa mkataba wake na wamiliki,” alisema Mkurugenzi huyo.

Alisema kampuni hiyo mpya iitwayo Hyatt ni ya Kimarekani na kwamba wamekubaliana nao wasiondoe jina la Kilimanjaro ili kulinda historia ya Mlima wa Kilimanjaro ambao ni fahari ya Tanzania.

“Pamoja na kuangalia masuala ya kodi, pia tuliwaomba wahusika wasiliondoe jina hilo Kilimanjaro kama njia moja ya kulinda historia ya mlima wetu. Walikubali kwa kweli na kutufahamisha kuwa jina hilo litaendelea kutumika kwa kuwa ndio linalowavutia wateja wengi wanaofika kupata huduma katika hoteli hiyo,” alisema.

Juhudi za kumpata Meneja wa Hoteli wa Kempinski aliyejulikana kwa jina moja la Trevo, ziligonga mwamba baada ya Ofisa wa Mapokezi aliyejitambulisha kwa jina Oswald Akyoo, kumzuia mwandishi wa habari hizi kumwona kwa maelezo kuwa haikuwa siku ya kazi. Kuhusu uwezekano wa kuwepo athari katika makusanyo ya kodi kutokana na kuuzwa kwa Hoteli ya Movenpick endapo suala hilo litatekelezwa, Mkurugenzi wa Utalii nchini alisema itakuwa vema likizungumzwa wakati litakapotokea.

“Kwa kuwa wapo kwenye mazungumzo, hatuwezi kusema imeuzwa, tusubiri watupe taarifa ndio tuzungumzie suala hilo. Lakini kwa vyovyote, Serikali haiwezi kuruhusu athari katika uchumi wake hivyo sitegemei zitokee,” alifafanua Musa.

Kumekuwa na hofu miongoni mwa Watanzania kuhusu kubadilishwa kwa majina ya hoteli nchini huku wengi wakidhani ni njama za kukwepa kulipa kodi katika miaka mitano ya uwekezaji wa kwanza.

Lakini Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ukanda wa Uwekezaji (EPZA), Dk. Adelhelm Meru aliwahi kusema mabadiliko ya majina ya uwekezaji pekee hayana athari katika kodi.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
How long will this Foreigners play our brains out and abuse our Tax Codes? why R they keeping changing Names to abuse our Taxes?

Sasa watajuta kwanini hawakumpa Reginald Mengi, wakakimbilia 10%; Shame on our GVT

** LOOK @ THIS THOSE COMPANY HYATT & KEMPINSKI ATE THE SAME COMPANY called ONE VISION

1visionlogo_white_sml.jpg

Hyatt Hotels and the Kempinski Group of Hotels select ONEvision as their system of choice At essense, our focus is helping the hospitality and leisure industry to improve business outcomes and guests’ experiences through the leveraging of technology, people and processes. Central to increasing your guests’ in-room experience is the ONEvision IPTV system. ONEvision has been embraced as the system of choice by HYATT HOTELS, the KEMPINSKI HOTEL GROUP as well as various other Hotel Groups and individual Hotels.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hivi hayo wanayosema ukusanyaji wa kodi hautahathirika ni ya kweli? Si kweli kwamba mnunuzi anapewa hadhi ya mwekezaji na hivyo kuanza kupata 5 years tax holidays? Hiyo hotel ya Movenpick hii sijui itakuwa ni mara ya ngapi kubadilishwa jina, Tulianza na sheraton, likaja lingine hapo katikati hata sikumbuki jina tena and then Movenpick sasa inataka kuwa Serena.

Siamini kwamba hii haifanyiki kwa lengo la kukwepa kulipa ushuru!!!

Tiba
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Imeandikwa na Namsembaeli Mduma; Tarehe: 25th July 2011

HOTELI kubwa mbili za kitalii jijini Dar es Salaam zenye hadhi ya juu nchini zitabadilishwa majina yake ya sasa kwa mara nyingine kutokana na kuuzwa kwa mojawapo na nyingine kwa sababu ya kubadilisha kampuni inayosimamia masuala ya uongozi.

Hoteli hizo, Kilimanjaro Kempinski na Royal Movenpick ndizo zinazoelezwa kuwa mbioni kubatizwa majina mapya ifikapo Agosti mosi mwaka huu.

Akizungumza na gazeti hili jana, Mkurugenzi wa Utalii nchini, Ibrahim Musa alisema taarifa rasmi alizonazo ni za kubadilishwa kwa jina la Hoteli ya Kilimanjaro Kempinski kuwa Kilimanjaro Hyatt mwezi ujao.

Musa alisema suala la Movenpick bado lipo mikononi mwa wenye hoteli wenyewe na kwamba ni vigumu kwake kulizungumzia kwa sasa kwa sababu taarifa rasmi hazijaifikia meza yake.

"Nitazungumzia Kempinski pekee kwa sasa kwa sababu hiyo ya Movenpick bado wenyewe hawajatuletea taarifa rasmi kuihusu. Nina taarifa ya kuwepo kwa mazungumzo kati ya wanaoendesha Movenpick na wadau wengine, lakini siwezi kuyasema kwa kuwa sio rasmi," alisema Mkurugenzi wa Utalii.

Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya Mkurugenzi wa Utalii, gazeti hili lilipata taarifa za kuwepo kwa mpango wa kubadilishwa jina kwa hoteli hiyo ya Movenpick kuwa Serena endapo wauzaji (Movenpick) na wanunuzi (Serena) watafikia makubaliano.

Aidha, imefahamika kuwa pande hizo mbili zipo katika mazungumzo ya mwisho kuhusu kuuziana hoteli hiyo ili utekelezaji wake ufanikishwe ifikapo mwanzoni mwa mwezi ujao.

Akifafanua kuhusu Hoteli ya Kempinski, Mkurugenzi huyo alisema kitakachofanyika hakitakuwa na athari zozote katika uwekezaji wala ulipaji wa kodi kwa sababu umiliki unakuwa bado ni wa mhusika wa awali.

"Tuliliangalia suala la kodi kwa kina na kujiridhisha kuwa halitaathiriwa kwa namna yoyote kwa kubadilishwa jina kutoka Kempinski kwenda Hyatt.
Kitakachobadilika ni kampuni inayoshughulika na masuala ya uongozi wa hoteli hiyo kutokana na kumalizika kwa mkataba wake na wamiliki," alisema Mkurugenzi huyo.

Alisema kampuni hiyo mpya iitwayo Hyatt ni ya Kimarekani na kwamba wamekubaliana nao wasiondoe jina la Kilimanjaro ili kulinda historia ya Mlima wa Kilimanjaro ambao ni fahari ya Tanzania.

"Pamoja na kuangalia masuala ya kodi, pia tuliwaomba wahusika wasiliondoe jina hilo Kilimanjaro kama njia moja ya kulinda historia ya mlima wetu. Walikubali kwa kweli na kutufahamisha kuwa jina hilo litaendelea kutumika kwa kuwa ndio linalowavutia wateja wengi wanaofika kupata huduma katika hoteli hiyo," alisema.

Juhudi za kumpata Meneja wa Hoteli wa Kempinski aliyejulikana kwa jina moja la
Trevo, ziligonga mwamba baada ya Ofisa wa Mapokezi aliyejitambulisha kwa jina Oswald Akyoo, kumzuia mwandishi wa habari hizi kumwona kwa maelezo kuwa haikuwa siku ya kazi. Kuhusu uwezekano wa kuwepo athari katika makusanyo ya kodi kutokana na kuuzwa kwa Hoteli ya Movenpick endapo suala hilo litatekelezwa, Mkurugenzi wa Utalii nchini alisema itakuwa vema likizungumzwa wakati litakapotokea.

"Kwa kuwa wapo kwenye mazungumzo, hatuwezi kusema imeuzwa, tusubiri watupe taarifa ndio tuzungumzie suala hilo. Lakini kwa vyovyote, Serikali haiwezi kuruhusu athari katika uchumi wake hivyo sitegemei zitokee," alifafanua Musa.

Kumekuwa na hofu miongoni mwa Watanzania kuhusu kubadilishwa kwa majina ya hoteli nchini huku wengi wakidhani ni njama za kukwepa kulipa kodi katika miaka mitano ya uwekezaji wa kwanza.

Lakini Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ukanda wa Uwekezaji (EPZA), Dk. Adelhelm Meru aliwahi kusema mabadiliko ya majina ya uwekezaji pekee hayana athari katika kodi.


Couple of things:

The so called GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakuja hapa na allegations kuwa kodi itapotea hawa jamaa wakibadilisha majina pasipo kuleta ushahidi wowowte ule wa ku substantiate hizi conspiracy zao

Nawahikikishia thread itafika pages 4 na kitakachoongelewa ni theories na hisia tena kwa ku refer habari zilizoandikwa na mwandishi ambaye hawezi kuandika jina la TREVOR!

I cant wait kuwaona GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakavyokuja kujadili hili jambo tena najua wengine wata refer majina ya makampuni ya simu yaliyobadilishwa lakini hakuna takaye leta ushahidi wowote toka TRA au mamlaka yoyote ile husika

JF ya 2011 imejaa wababaishaji tuu ambao hawana tofauri sana na akina John Mashaka na yule "DR" feki SHAYO.

lakini it takes all sorts to make this forum ya GREAT THINKERS
 
Couple of things:

The so called GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakuja hapa na allegations kuwa kodi itapotea hawa jamaa wakibadilisha majina pasipo kuleta ushahidi wowowte ule wa ku substantiate hizi conspiracy zao

Nawahikikishia thread itafika pages 4 na kitakachoongelewa ni theories na hisia tena kwa ku refer habari zilizoandikwa na mwandishi ambaye hawezi kuandika jina la TREVOR!

I cant wait kuwaona GREAT THINKERS wa JAMII FORUMS watakavyokuja kujadili hili jambo tena najua wengine wata refer majina ya makampuni ya simu yaliyobadilishwa lakini hakuna takaye leta ushahidi wowote toka TRA au mamlaka yoyote ile husika

JF ya 2011 imejaa wababaishaji tuu ambao hawana tofauri sana na akina John Mashaka na yule "DR" feki SHAYO.

lakini it takes all sorts to make this forum ya GREAT THINKERS
Kwanini Mahoteli ya Kenya - Kama Nairobi Hilton haijabadilisha Jina - Toka nikiwa mtoto hadi sasa na Uzee bado ni Nairobi Hilton... kwanini Hoteli zetu tunazowapa wawekezaji zinabadilishwa badilishwa?
 
Hii ni kwasababu ya kodi je ni kwanini Tanzania inatoa msaada wa kodi kwenye Hotel!!! hii haina maana yeyote. Je Watanzania wanaojenga Hotel za kitalii Arusha na wenyewe wanapewa msamaa wa kodi au ni kwa wageni tu!!!. Hii nchi watu wanafanywa wajinga kwelikweli!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom