Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huwezi huwezi kulinganisha hizo ajira na loss tonayopata kwenye tax exemption. Soma part ya hiyo study hapo chini, nimeinyofoa mahali, then compare.
1. A significant amount of revenue is forgone.
The amount of money Tanzania gives away in tax exemptions has always been substantial but has increased rapidly in the middle of this decade. At its peak growth, tax exemptions almost doubled in one year, rising from TZS 459 billion in 2004/05 to TZS 772 billion in 2005/06. In 2009/10 tax exemptions amounted to TZS 695 billion. This amount is more than half the TZS 1.3 trillion the Government planned to borrow from commercial sources for infrastructure financing in 2010/11. Had it been collected, it would have provided 40 percent more resources for education or 72 percent more resources for health in 2009/10
2. Tanzania grants more tax exemptions compared to its neighbours
The level of tax exemptions in Tanzania is high. This can be seen by comparing the level of exemptions granted in Tanzania with that in Uganda and Kenya. In Tanzania, between 2005/6 and 2007/08 tax exemptions averaged 3.9 percent of GDP. In 2008/9 tax exemptions were 2.8 percent of GDP and in 2009/10, 2.3 percent. In comparison, in Kenya and Uganda exemptions amounted to 1 percent and 0.4 percent of GDP respectively. If Tanzania would harmonize its tax exemptions with the level achieved in Kenya, more than TZS 600 billion would have been saved in 2007/08 alone.
3. Under President Kikwete exemptions have grown rapidly
A significant growth in tax exemptions occurred in the last five years. During President Kikwete's five year term (2006-2010), tax exemptions were about 1 percent of GDP (or 40 percent) higher than during President Mkapa's second five year term (2001-2005).
4. Large, multi-national investors receive most exemptions
TRA revenue reports show that a wide range of items and organizations are tax exempt. Three groups gain most of the exemptions. These are companies with certificates of incentives provided under the Tanzanian Investment Act and Zanzibar Investment Promotion Act; recipients of Value Added Tax exemptions under Cap. 220, 223 and 224; and mining companies under the Mining Act. At the bottom of the list of beneficiaries are purchases made at duty free shops and import related exemptions granted to religious institutions. Most of the exemptions granted through the investment promotion agencies, as well as those granted to mining companies accrue to multinational companies.
5. Exemptions on imported goods constitute 75% of all exemptions
Exemptions processed by the TRA fall into two main categories: exemptions on customs related taxes (import duty and excise taxes) and exemptions under the Value Added Tax (VAT) codes. In the last two years, import taxes and excises on imports have constituted the bulk of tax exemptions. On the other hand, VAT and tax exemptions permitted by way of purchases from duty free shops together made up 25 percent of all the exemptions granted in the last two years.
6. Reducing exemptions would reduce dependence on aid
One reason Tanzania continues to rely heavily on foreign aid is because it fails to raise sufficient revenue. However, by comparing amounts of exemptions granted each year with grants received to fill the resource gap in the budget, it is evident that dependence on aid could be reduced
significantly if exemptions were granted more prudently.
Source: Twaweza
The worst part ni jinsi wazawa wanavyodharauliwa wakidhani foreigners wana interest ya kutuendeleza! Ivi hawa wajinga wana akili kweli? Kama hutamsaidia mama Ntlie akuze biashara yake na kujifunza, unategemea nini? Lazima tujifunze kwanza kuwa na uchumi unaotutegemea sisi, sio wao!
WIZI MTUPU!!! Na hawa nao ikifika 2016 wataamua "kuiuza" kwa "mwekezaji" mwingine kumbe wanakwepa kulipa kodi. Hawa wanaojiita Viongozi wanauona wizi huu wa mchana kweupe lakini hawachukui hatua zozote!!!
...hii imekaa vizuri japo haijatupa picha halisi. Jambo la kujiuliza ni je?...Kwanini Serikali inatoa hizo Tax Exemptions za miaka mitano mitano kwa wawekezaji wa kigeni?
Hebu turudi kwenye suala zima la uwekezaji. Je uchumi wa Tanzania unaruhusu muwekezaji kutochambua risks mfano; Competency ya waajiriwa, Raw materials i.e Upatikanaji wa Mazao ya chakula, nyama na samaki Vilivyo kwenye Viwango na ubora wa kimataifa kulingana na matakwa ya wateja wao? Vipi suala la upatikanaji Maji safi, Umeme, nk? Investments sio kuleta jina la Kempinski/au Grand Hyatt pekee.
Heri hata tungekuwa tunagawana mapato 50/50. But kwa sasa we get nothing because of tax exemption. Kila mwezi tuna lose out sh 700 billion kwenye tax exemption. Ina maana unataka kusema kuwa faida tunayopata kwa mwezi kutokana na tax exemption ni sh 700 billion na ushee? Sijui una maana gani kwa long term, lakini unajua tax exemptions zimeanza lini? Tokea zianze mwanzoni kabisa ya miaka ya 1990s tumenufaika na nini? Angalia kwa mfano kwenye migodi, what benefits are we getting from them kama sio haya makampuni kutuachia ardhi tupu iliyojaa mashimo baada ya miaka mitano?Kempinski/Sheraton/Hilton/Grand Hyatt/Movenpick/Marriot/Serena... zote hizo ni "BRAND" tu zinazotambulisha huduma zinazopatikana kwenye hoteli husika. Brand sio jina pekee useme labda ni kama Coca Cola, au AZAM, nk...A Brand is your customers' experience and the expectation you set when doing business with your company. Brand is a promise. No wonder utakuta wana aina fulani ya vitanda, mito, Linen, aina fulani ya Restaurants, Service, ...management nk..Dar es salaam tunahitaji hizo Reputable chain of hotels wawekeze, hata kama mapato tutakuwa tunagawana 50:50. Kuna faida kubwa kuwa na mahoteli yenye hadhi hizo in a long term, faida zake zitakuja jionyesha baadae.
Serikali itakuambia misamaha ya kodi huchochea ukuaji wa uchumi, huongeza uwekezaji, ajira, ukuaji wa pato na hivyo kuleta mapato zaidi ya kodi katika muda mrefu. Lakini ukweli ni kwamba sababu mojawapo ya Tanzania kuwa na utegemezi mkubwa wa misaada toka kwa wahisani na kushindwa kuwekeza kwa haraka zaidi katika maendeleo yake ni ukusanyaji mdogo wa mapato yatokanayo na kodi.
Ukweli utabakia kuwa misamaha ya kodi Tanzania ni mikubwa ukilinganisha na ile ya jirani zake, Kenya na Uganda na kwa kiasi kikubwa inawafaidisha wawekezaji wakubwa wenye vyeti vya kupatiwa motisha kutoka vituo vya kukuza uwekezaji. Manufaa tunayoyapata kutokana na misamaha ya kodi ni madogo mno.
Una maana kuwa madhumini ya tax exemptions ni kusaidia wawekezaji kwenye hayo uliyoyataja? Kuwa watatumia hizo fedha walizo save kwenye tax exemption kupata nyama na samaki wenye ubora wa kimataifa, nk? Nyama na Samaki wa Kilimanjaro hotel wananunuliwa wapi? Ukienda kuagiza wali maharage pale, unafikiri yanatoka wapi? Mbona Kenya na Uganda nchi ambazo tuko eneo moja, hawatoi misamaha mikubwa kama tunayotoa? Ina maana upatikanaji wa raw materials huko ni rahisi zaidi kuliko Tanzania?
Kuhusu suala la upatikanaji maji safi na umeme kwani wawekezaji ndio pekee wanaoathirika? Kwa nini wawekezaji wa ndani nao wapiwe hizo exemptions? Wao pia wanaathirika na tatizo la umeme. In deed, kila mtu anaathirika na tatizo la umeme whether or not ni muwekezaji. Huoni kama hizo fedha tunazopoteza kwenye tax exemption zingeweza kutumika na kutatua tatizo la umeme altogether kwa faida ya wawekezaji na wasio wawakezaji?
Heri hata tungekuwa tunagawana mapato 50/50. But kwa sasa we get nothing because of tax exemption. Kila mwezi tuna lose out sh 700 billion kwenye tax exemption. Ina maana unataka kusema kuwa faida tunayopata kwa mwezi kutokana na tax exemption ni sh 700 billion na ushee? Sijui una maana gani kwa long term, lakini unajua tax exemptions zimeanza lini? Tokea zianze mwanzoni kabisa ya miaka ya 1990s tumenufaika na nini? Angalia kwa mfano kwenye migodi, what benefits are we getting from them kama sio haya makampuni kutuachia ardhi tupu iliyojaa mashimo baada ya miaka mitano?
Tatizo lingine ni usiri ulioko kwenye hii misamaha. Ni vigumu kujua ni kwa kiasi gani viwango vikubwa vya misamaha inayotolewa vinawafaidisha wananchi. Kwa kuwa na uwazi zaidi, kwa mfano, kwa kuweka bayana taarifa kuhusu makampuni yanayopokea misamaha ya kodi na viwango vya msamaha kwenye mtandao, uchambuzi kama huu unawezekana. Taarifa hizi kwa sasa hazipatikani kwa ukamilifu kwa umma, pamoja na kwamba misamaha ya kodi ni sawa tu na aina nyingine ya matumizi ya serikali. Kama ilivyo kwa matumizi ya afya, maji au elimu, inatakiwa misamaha ya kodi ipitiwe na kuchanganuliwa na Bunge, pamoja na walipa kodi.
The government Better Regulation Unit (BRU) manages the implementation of the World Bank- supported Business Environment Strengthening for Tanzania (BEST) program, which aims to reduce the regulatory and administrative burden. In 2007, the World Bank's "Doing Business" report listed Tanzania as among the top ten reformers. In response to subsequent slippage in the comparative rankings since then, the GOT has consolidated in the Prime Minister's Office responsibility for key reform programs requiring inter-ministerial action. The stated goal is to implement "quick wins" that will significantly improve Tanzania's ranking.
This "Road Map" to a better business environment has already started
Jamani Nimesikia pia MOven Pick imeshauzwa kwa watu wengine na soon the name will be changed to certain arabic name, HUU NI WIZI.
badala ya kulalama ni vema mgepiga kelele serekali iwasiadie wajasiriamali wa ndani kama Ndugu Mfugale na Peacock Hotel, Mrema wa Impala wapanua mahateli yao. Hii itasaidia walau kwenye swala la kodi.Na mahoteli hayatabadilishwa majina baada ya miaka mitano. Kuna uzembe, rushwa, kutokuwasikiliza wataalam, na ubinafsi mkubwa ndani ya wizara ya utalii. hili ndio linaifanya hili taifa kuwa kama shamba la bibi
Mataifa mengine yanawashawishi hawa brand OWNER Kama Hilton na wengine kuwekeza nchini kwao na sio kupitia kwa mtu wa pili kama wanavyofanya hapo Tanganyika. Wakijenga hotel yao wao wenyewe hawataweza kuondoka kurahisi, baadhi ya maofisa serekalini wakipewa rushwa kidogo tu wanakubali huu upuuzi wa kubadilishwa majina na uuzwaji wa haya mahoteli kiholela bila kuangalia faida na hasara.
Imefika mahali sasa wananchi tuamke tuwaambi basi. Sekta ya utalii inazo changamoto nyingi saana, na wamekuwa wakizifumbia macho mfano, hatuna wataalamu wa kati. Chuo Cha Taia Cha Utalii, kilitakiwa kiwe mstari wa mbele kuzalisha hawa wataalamu, Kwa kuwa Luhanjo tangu akiwa maliasili kwa sababu anazojua mwenyewe wamewachanganya wafaransa waliotoa msaada wa kujenga chuo kimpya mpaka leo hakijaanza ilihali pesa walitoa tangu mkapa akiwa madarakani( SOmeni Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 1995 na ya 2000). ndio maana hata leo ukiwaambia watupe mchango wa haya mahoteli hawawezi. Ni haya haya mahoteli yanaagiza sukari, chumvi, maji kutoka nje wakati hivi vitu vinaweza kupatikana hapa nchini kama watu watawezeshwa
Swala la Kilimanjaro kempinski na Movenpick kubadili jina subirini baada ya miaka mitano mtasikia tena wamebadili majina. Binafsi naamini hili taifa lingekuwa chini ya Ukoloni wa Waingereza tungekuwa na maendeleo zaidi. kuliko hawa watawala weusi ambao wanajali matumbo yao na familia zao. naamini ipo siku watafikishwa mahakamani kama Mubarak
.....................Haha inaitwa taking advantage of realities.
Mie ninaomba mwenye hiyo policy/regulation au sijui nini kuhusu hiyo tax holiday atuwekee hapa sie vilaza wengine tuisome tuelewe maana haiingii akilini eti mtu afanye bashara miaka mitano pasipo kulipa kodi kisha akaacha wakati we all know kuwa biashara za hotel kama hiyo inalipa hapa nchini kwetu. Naingiwa na hisia kuwa kuna kitu ambacho hakiko wazi as to why serikali yetu (ingawa Mh. Nyalandu alisema kuwa hii tax Holoday haifanyiki Tanzania peke yake) inalifumbia macho suala hili.......... Najiuliza maswali makuu mawili
1. Hawa wawekezaji wanapokuja kuwekeza nchini mwetu hawanaga masharti yoyote ambayo kwa namna moja au nyingine yanatufunga kuwabana ipasavyo? (Ukizingatia tunawabembeleza kuja kuwekeza andn knowing the poor negotiation sills we have na marushwa - inawezakana nao wanatubanaga kona flani ambayo mwisho wa siku tunajikuta hatuna la kufanya zaidi ya kuwa wapole kama tunanyolewa nywele na kinyozi)
2. Mkataba/sijui sheria inasemaje juu ya hii 'tax-holiday' thing? sababu gani inakubalika kwa mwekezaji ambaye amepewa grace period ya kutokulipa kodi anaruhusiwa kukubaliwa kiutoendelea kuwekeza? je ni biashara kuto kulipa (Kwamba biashara haina faida ndo maana nimeamua kuuza mtaji baada ya kumaliza grace period ya tax free au?)
Mtanisamehe pengine yalishajibiwa haya na hiyo sheria kuwekwa but naombeni mnitoe tope hili la macho,
EMT, hebu upitie tena huu ukurasa halafu tuangalie "siri-kali" yetu imefungwa wapi mikono
kwenye suala zima la uwekezaji wa kigeni. Tanzania
Bado naamini utegemezi wetu ndio unaotulazimu kukubaliana na masharti ya World Bank,
IMF na donors wengine ambao indirectly wana recoup fedha zao through hizo channels za wawekezaji.
Au wewe unaonaje? ...tulishalikoroga since zama za ujamaa na kujitegemea. Kwenye zama hizi za soko huria, tunalazimika kumeza 'some bitter pills' tupate unafuu. Miongoni mwa hizo tembe ndio hizi Exemptions kwa Foreign Investors.
Mkuu hii ya JK kusema "ukitaka kula lazima uliwe" mbona wenzetu Wakenya na waganda wanakula bila kuliwa? Hata kama msemo wake una maana yoyote, tunakula kidogo sana kuliko tunavyoliwa.JK alipata kutamka, "ukitaka kula lazima uliwe!..."
Hivi, bora ni nini? Kuwa na Investors wenye tax Exemptions na kufaidika angalau na kipato cha ziada,
au kukosa kabisa Investors kwa sababu ya mazingira yetu?
Nazungumzia zaidi kwenye hii sector ya Mahoteli na Utalii.
Tunanufaika vipi na wawekezaji hawa?
Huwa najiuliza ni kwa nini hata magoteli makubwa ya kitalii kila ikifika miaka 5 ya kufanyakazi hufunga virago na kuwauzia wengina ambao nao wakichuma shamba la bibi baada ta miaka 5 nao huwapa wengine ni kama vile mbio za kupokezana vijiti kila baada ya miaka 5 hupokea wengine au kuna ujanja fulani ndani yake ,au hawa jamaa hupata holiday tax ya miaka 5,wenye kujua tujuzeni hii si bure banaBaada ya miaka mitano kumalizika, Kempinski Hotels wameamua kumaliza mkataba wa kuendesha Kilimanjaro Hotel Kempinski na Bilila Lodge Kempinski kuanzia mwishoni mwa mwezi huu.
Kuanzia Agosti mosi hoteli hizi mbili za kitalii zitakuwa zinaendeshwa na kampuni ya ASB Tanzania Limited ambayo ni partner wa Kempinski Hotels. Wanaenda kufungua 5 stars hoteli Dubai, Kempinski Resort huko Seychelles na hoteli nyingine huko Namibia.
Mkuu MBU
Uko sawa kabisa kwa miundombinu, waingereza hawakuleta kitu, lakini naamini wangekuwa wanatutawala KUNGEKUWA NA UTAWALA wa Sheria, tungekuwa tunalipa kodi hata kama ni ya kichwa lakini, ingetumika kusafisha mitaa, kutupatia maji safi ya kunjwa, kujenga barabara,( Huduma za jamii kwa ujumla wake)
Inasikitisha saana, nii hii hii serekali ya wakolini weusi mtu hana vigezo, hana uelewa, hana elimu kwa kuwa ni nyumba ndogo ya Mkubwa anapewa majukumu na kufanya maamuzi ambayo yanaligarimu hili taifa kwa miaka
Kuna uzembe, ufisadi, kupendeleana, kutojali katika idara ya utalii, bodi ya utalii, TIC, Huwezi amini mkuu wa Idara anaweza kuwa na nguvu kuliko katibu mkuu, kuna jamaa moja kwa kuwa alikuwa analinda mslahi ya wazee alikuwa anampiga Mkwara waziri, Haikuchukua Muda waziri yule alibadilishwa. Sasa hapa huu upuuzi wa kubadilisha majina kila baada ya miaka mitano
Wizara ya Utalii na idara zake zingesimamiwa kwa uadilifu na umakini ingeweza kutokaribia robo ya mapato ya serekali lakini kinachofanyika ni usanii mtupu, Kuna wakuu wa idara na vitengo wanawapeleka ma secretary ulaya, madereva kwa kisingizio cha kwenda kutangaza utalii, vitalu wanagawa kwa rushwa ya hali ya juu. Kama tungekuwa na mkoloni sidhani kama wangeruhusu huu upuuzi
.....................Haha inaitwa taking advantage of realities.
Mie ninaomba mwenye hiyo policy/regulation au sijui nini kuhusu hiyo tax holiday atuwekee hapa sie vilaza wengine tuisome tuelewe maana haiingii akilini eti mtu afanye bashara miaka mitano pasipo kulipa kodi kisha akaacha wakati we all know kuwa biashara za hotel kama hiyo inalipa hapa nchini kwetu. Naingiwa na hisia kuwa kuna kitu ambacho hakiko wazi as to why serikali yetu (ingawa Mh. Nyalandu alisema kuwa hii tax Holoday haifanyiki Tanzania peke yake) inalifumbia macho suala hili.......... Najiuliza maswali makuu mawili
1. Hawa wawekezaji wanapokuja kuwekeza nchini mwetu hawanaga masharti yoyote ambayo kwa namna moja au nyingine yanatufunga kuwabana ipasavyo? (Ukizingatia tunawabembeleza kuja kuwekeza andn knowing the poor negotiation sills we have na marushwa - inawezakana nao wanatubanaga kona flani ambayo mwisho wa siku tunajikuta hatuna la kufanya zaidi ya kuwa wapole kama tunanyolewa nywele na kinyozi)
2. Mkataba/sijui sheria inasemaje juu ya hii 'tax-holiday' thing? sababu gani inakubalika kwa mwekezaji ambaye amepewa grace period ya kutokulipa kodi anaruhusiwa kukubaliwa kiutoendelea kuwekeza? je ni biashara kuto kulipa (Kwamba biashara haina faida ndo maana nimeamua kuuza mtaji baada ya kumaliza grace period ya tax free au?)
Mtanisamehe pengine yalishajibiwa haya na hiyo sheria kuwekwa but naombeni mnitoe tope hili la macho,
Huwa najiuliza ni kwa nini hata magoteli makubwa ya kitalii kila ikifika miaka 5 ya kufanyakazi hufunga virago na kuwauzia wengina ambao nao wakichuma shamba la bibi baada ta miaka 5 nao huwapa wengine ni kama vile mbio za kupokezana vijiti kila baada ya miaka 5 hupokea wengine au kuna ujanja fulani ndani yake ,au hawa jamaa hupata holiday tax ya miaka 5,wenye kujua tujuzeni hii si bure bana
MwanajamiiOne nitaweza information kuhusiana na uliyouliza baadae. In mean while tafakari haya.
IMF/World Bank ambao wana support foreign investment wanasema hii misamaha ya kodi kwa wawekezaji ni too much. Mpaka Mr John Wakeman-Lynn, the IMF resident representative, mwenyewe amekiri kuwa it would be in the public interest to scale down the level of exemptions. Anasema "we think it should be part of the new government's agenda."What the government did ni kujaribu kufuta misamaha ya kodi kwa NGOs na vyombo vya dini bila kuwagusa wawekezaji. NGOs na vyombo vya dini vinafanya biashara gani ya kutozwa kodi?
Nikupe mchanganuo wa utafiti mmoja juu ya misamaha ya kodi. Kwa mfano, mwaka 2008/9, misamaha ya kodi ilikuwa asilimia 2.8 ya GDP na mwaka 2009/10, asilimia 2.3. Ukilinganisha na Kenya na Uganda misamaha ya kodi ilikuwa ilikuwa asilimia 1 (Kenya) na asilimia 0.4 (Uganda) ya GDP. Mwaka 2008/09 and 2009/10, serikali ilishindwa kufikia target ya makusavyo ya kodi kwa kiasi cha Tsh453 billion ($302 million) kwa wastani. Katika kipindi hicho hicho, misamaha ya kodi kwa wastani ilikuwa Tsh724 billion ($483 million) kwa mwaka. Kama tungefuata system ya misamaha ya kodi Kenya tunge save Tsh484 billion ($323 million) kwa mwaka 2008/9 na Tsh302 billion ($201 million) kwa mwaka 2009/10.
MwanajamiiOne nitaweza information kuhusiana na uliyouliza baadae. In mean while tafakari haya.
IMF/World Bank ambao wana support foreign investment wanasema hii misamaha ya kodi kwa wawekezaji ni too much. Mpaka Mr John Wakeman-Lynn, the IMF resident representative, mwenyewe amekiri kuwa it would be in the public interest to scale down the level of exemptions. Anasema "we think it should be part of the new government's agenda."What the government did ni kujaribu kufuta misamaha ya kodi kwa NGOs na vyombo vya dini bila kuwagusa wawekezaji. NGOs na vyombo vya dini vinafanya biashara gani ya kutozwa kodi?
Nikupe mchanganuo wa utafiti mmoja juu ya misamaha ya kodi. Kwa mfano, mwaka 2008/9, misamaha ya kodi ilikuwa asilimia 2.8 ya GDP na mwaka 2009/10, asilimia 2.3. Ukilinganisha na Kenya na Uganda misamaha ya kodi ilikuwa ilikuwa asilimia 1 (Kenya) na asilimia 0.4 (Uganda) ya GDP. Mwaka 2008/09 and 2009/10, serikali ilishindwa kufikia target ya makusavyo ya kodi kwa kiasi cha Tsh453 billion ($302 million) kwa wastani. Katika kipindi hicho hicho, misamaha ya kodi kwa wastani ilikuwa Tsh724 billion ($483 million) kwa mwaka. Kama tungefuata system ya misamaha ya kodi Kenya tunge save Tsh484 billion ($323 million) kwa mwaka 2008/9 na Tsh302 billion ($201 million) kwa mwaka 2009/10.
Hiyo report iliwakilishwa kwa watawalala lakini wameweka masikio yao gundi
Mbali na hiyo report Mfano Kuna baadhi ya wataalamu wa idara ya Utalii walishauri Watawala kwamba kwakuwa vivutio vyetu vya utalii ni vya hali ya juu, hususan Ngorongoro, Serengeti serekali iondoe kabisa Misamaha ya kodi kwa wanaoitwa wawekezaji kwani hayo maeneo yanajiuza yenyewe. Hawa wapuuzi walichokifanya ni kuwahamisha wengine wakashushwa vyeo. Haya mambo saanyingine yanakatisha tamaa saana.mijitu hii hii imesoma kwa kodi za watanzania, badala ya kulitumikia hili taifa wamehamua kuliuza