Kilimanjaro Kempinski yabadilishwa jina

Haiuzwi. Wanabadili jina ili wakwepe kodi kama ilivyokuwa Sheraton, Royal Palms na sasa Movenpick. Wakibadili jina wanapata tax exempt for 5 years. Miaka 5 ikipita wanabadili jina tu. Wajinga ndio tuliwao

Highly misleading. Hawa wanaojiondoa ni managers tu ambao hawa-enjoy tax holidays. It is the owners who enjoy the holidays.
 
hapo hoja si kubadilishwa jina bt KUKWEPWA KWA USHURU! majamaa yanakwepa ushuru kwa upuuzi wetu ktk mikataba!
 
Hii Biashara ya kubadili majina ya Hotel itaisha lini? Mchakato wa kusamehe kodi ulishafutwa au ndo, walitaka kununua Court of Apeal kama funika kombe mwanga apite?? Nchii hii kweli haina mwenyewe AKA shamba la bibi!
 
Itakwisha CCM ikiondoka madarakani na kupatikana katiba ya ukweli, kamchezo ni kala kale celtel,zain,airtel, hata Hospital zimeanza kubadilishwa majina kuwafurahisha wazungu(WEILL BUGANDO).
nadhani baadae hata nchi yaweza kubadilishwa jina na kuitwa Ameri-Tanzania, au EuroTanza.kimsingi usemi wa wajinga ndio waliwao ndo unaotutesa watz,saa ya kuamka usingizini imefika,
 
Jina Kilimanjaro linaanza kufutika taaaratiiibu kwenye majina ya vitu nchini mwetu. Huenda mwisho wa siku tukabaki na jina hilo kwenye bia tu manake na mlima huenda ukapata mwekezaji akaubadili na jina.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa pale wanamapinduzi wakweli walipo amua kutumia njia ya Passive resistance kufikisha ujumbe kwa jamii yote ya Tanzania. Hamna mtu atakaye andamana ila watavaa nguo nyeusi siku hiyo ya jumatatu kulaani mambo mengi yanayotendeka na hii serikali likiwemo , kukosekana kwa umeme, mikataba mibovu, huduma duni za maji, afya na elimu, Umaskini ulio kithiri, Wingi wa safari za mkuu wa kaya pasipo tija, uzembe na kutowajibika kwa watendaji:

Be part of the change, sms zinazunguka japo Mod anaibania kuiweka kwenye jamii forum wingi wa nguo nyeusi utamaanisha wingi wa wataka mabadiliko the time is now or Never!

Changes always honours the mind that is prepared! Lets do Let go for change! Neither Chadema nor CCM will bring the change that we people of Tanzania can bring. Black garmet is to send the message to the Government!
 
Jina Kilimanjaro linaanza kufutika taaaratiiibu kwenye majina ya vitu nchini mwetu. Huenda mwisho wa siku tukabaki na jina hilo kwenye bia tu manake na mlima huenda ukapata mwekezaji akaubadili na jina.

Kimbuga, you're telling the truth, with the same chairman of TANAPA, waziri ma malia asili, TCAA inayoruhusu ndege za jeshi ziibe wanyama wetu, acha tu....
 
Wajinga ndio waliwao.. Mamlaka zinazohusika hawajastukia huu mchezo mchafu!?.
 
Naomba mnieleweshe wakuu. Binafsi nachojua ni kwamba jamaa wanapomaliza mkataba wao wa bure wa miaka m5 si mchakato unaanza upya wa kumpata mwekezaji mwingine-nikimaanisha tender inatangawzwa upya ili kumpata mwekezaji anayefaa. nakumbuka hii hotel ndiyo iliyomkosti sana masilingi baada ya kuchokoana sana na mzee Mengi. Binafsi nilidhani mchakato kama ule ungefuatwa tena, kumbe ni tofauti?

Kama ni hivyo basi, nomaaaaaaaa, maana na hao watakamua miaka mi5 tena bila kulipa kodi, then wanatamabaa kivyao, the cycle begins again.......... Buzz, mobitel, tigo,..........sheraton, movenpick.........., celtel, zain, airtel,........... jamani ongezeeni mengine mie nimeyasahau
 
Mh! mrahaba mwingine wa miaka mitano huooo, ama kweli cha mlevi huliwa na mgema
 
Naomba mnieleweshe wakuu. Binafsi nachojua ni kwamba jamaa wanapomaliza mkataba wao wa bure wa miaka m5 si mchakato unaanza upya wa kumpata mwekezaji mwingine-nikimaanisha tender inatangawzwa upya ili kumpata mwekezaji anayefaa. nakumbuka hii hotel ndiyo iliyomkosti sana masilingi baada ya kuchokoana sana na mzee Mengi. Binafsi nilidhani mchakato kama ule ungefuatwa tena, kumbe ni tofauti?

Kama ni hivyo basi, nomaaaaaaaa, maana na hao watakamua miaka mi5 tena bila kulipa kodi, then wanatamabaa kivyao, the cycle begins again.......... Buzz, mobitel, tigo,..........sheraton, movenpick.........., celtel, zain, airtel,........... jamani ongezeeni mengine mie nimeyasahau

Mkuu hakuna cha tenda hapo kwa sababu hoteli hamilikiwi tena na serikali. Hoteli ya mtu binafsi/private company.
 
Wamevuna na sasa wanenda kupanda sehemu nyingine, Watanzania tutaendelea kunyonywa kwa sababu ya kuchagua viongozi wanaojali maslai yao.
 
Binafsi sishangai sana na kubadilika kwa uendeshaji wa mahoteli. Hiki ni kitu ninachokiiona au kukisikia sehemu nyingi duniani. Sielewi kwa nini Tanzania tukose mapata kila kunapotokea mabadiliko ya uendeshaji wa Hoteli.

Kikubwa ni wenye uelewa kamili wa swala hili kutuelewesha, na bahati ni nadra sana kupata ufafanuzi kutoka serikalini, TRA na TIC. Ukimya wa vyombo hivi hausaidii bali unazidi kuchochea uvumi kuhusu Tanzania kupoteza mapato. Binafsi sidhani kabisa kuwa uongozi wa Movenpick Royal Palm Hotel ukitolewa na uongozi mpya ukatoka Hilton Hotels basi wamiliki wa ile Hotel watakuwa wameiuza Hilton Hotels. Wamebadilisha uongozi tu. Hotel bado ni yao.

Sikatai kuwa Hotel haiwezi kuuzwa. Inawezekana kabisa. Lakini sidhani hilo linaihusisha serikali zaidi ya serikali kudai kodi ya kuuza hiyo Hotel.

Naomba wajuzi wa hili swala watueleweshe vizuri. Nimechoka kusikia vitu ambavyo siviamini.
 
Itakwisha CCM ikiondoka madarakani na kupatikana katiba ya ukweli, kamchezo ni kala kale celtel,zain,airtel, hata Hospital zimeanza kubadilishwa majina kuwafurahisha wazungu(WEILL BUGANDO).
nadhani baadae hata nchi yaweza kubadilishwa jina na kuitwa Ameri-Tanzania, au EuroTanza.kimsingi usemi wa wajinga ndio waliwao ndo unaotutesa watz,saa ya kuamka usingizini imefika,

Airtel Zambia haikuwa ikilipa kodi. Hili jambo limefichuliwa na serikali ya upinzani iliyoingia madarakani na wameahidi kwamba kampuni hii itaanza kulipa kodi ikiwa ni pamoja na waliyokwepa kulipa miaka yote waliokwepa kuanzia wakati wakiitwa Celtel, zain na sasa Airtel.
Sijui kama hapa kwetu hii kampuni inalipa kodi.
.
 
Kilimanjaro should have stayed with Kempinski, Tanzania should have atleast one kempinski hotel. Hyatt Regency is not Kempinski.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom