Kilimanjaro Kempinski yabadilishwa jina

mkuu prodigal son asante saana...

tatizo wabongo wengi tunaamini ufisadi kiasi kwamba hata logic hatutaki kuitumia

hizo hoteli za sheraton mfano
zipo dunia nzima,sasa iweje tanzania tu ndo ziwe za kifisadi??????


na zipo katka nchi zingine ambazo kodi ni kubwa kuliko zetu........

ukweli ni kuwa hizo brand hotels nazo zinakuwa makini mno na kuchafuka majina
iwapo zitahusishwa na ufisadi

wabongo wengi hatutaki kutazama matatizo ya sekta ya utalii kwa upana wake

mfano hakuna airport ya kiwango huko serengeti,

na gharama za kutoka dar kwenda arusha au mwanza ni kubwa mno kuliko
gharama za kutoka london kwenda amsterdam,au beijing kwenda kuala lumpur
hatutazamii hayo

Mkuu tatizo ni mfumo wetu wa uongozi na utumishi wa umma ndio unaleta ufisadi na kutofautisha yale yanayojiri katika nchi nyingine nyingi. Refer to what is happening with Barrick under African Barrick Gold, Barrick ni kampuni kubwa sana ya uchimbaji wa dhahabu duniani, lakini matatizo ya kiufisadi ndio yanasikika hapa TZ kuliko sehemu zingine Barrick walipo na uwekezaji. Mbona hujiulizi kwanini?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
.....................Haha inaitwa taking advantage of realities.

Mie ninaomba mwenye hiyo policy/regulation au sijui nini kuhusu hiyo tax holiday atuwekee hapa sie vilaza wengine tuisome tuelewe maana haiingii akilini eti mtu afanye bashara miaka mitano pasipo kulipa kodi kisha akaacha wakati we all know kuwa biashara za hotel kama hiyo inalipa hapa nchini kwetu. Naingiwa na hisia kuwa kuna kitu ambacho hakiko wazi as to why serikali yetu (ingawa Mh. Nyalandu alisema kuwa hii tax Holoday haifanyiki Tanzania peke yake) inalifumbia macho suala hili.......... Najiuliza maswali makuu mawili

1. Hawa wawekezaji wanapokuja kuwekeza nchini mwetu hawanaga masharti yoyote ambayo kwa namna moja au nyingine yanatufunga kuwabana ipasavyo? (Ukizingatia tunawabembeleza kuja kuwekeza andn knowing the poor negotiation sills we have na marushwa - inawezakana nao wanatubanaga kona flani ambayo mwisho wa siku tunajikuta hatuna la kufanya zaidi ya kuwa wapole kama tunanyolewa nywele na kinyozi)

Masharti nini sisi wenyewe inabidi tutoe. Kwa mfano kwenye sekta ya madini hatuitaji kuwapa hayo makampuni tax holidays. Nchi yenye utajiri wa madini haina haja ya kuwapa mwekezaji kwenye madini tax holidays. Makampuni ya kimataifa yakishaona sehemu kuna madini lazima waje bila hata tax exemptions. Mining sector itself is attractive. Angalia hata huko Congo, Sierra Leone na Angola, pamoja vita vya wenyewe kwa wenyewe, makampuni ya madini yalijikita huko. Sumbuse Tanzania nchi ya amani? They are likely to come to Tanzania at any event, assuming that they bear a reasonable tax burden.

Tukija kwenye suala la mahoteli, wanasema hii ni "foot-loose short-term investments" ambayo haiitaji tax holidays because they are very dynamic na wanatengeneza faida kwa muda mfupi sana. Kwa mantiki hiyo, wanaweza kufungasha virago au kuanzisha kampuni nyingine baada ya tax holiday ku expire because hawatapa hasara na pia tax holidays reward formation of new companies. Kitu kingine foot-loose short-term investments are likely to come in Tanzania irrespective of tax incentives. Short-term profits associated with them should be enough to attract the investment to the country. Hakuna haja ya kuwapa tax holidays.

2. Mkataba/sijui sheria inasemaje juu ya hii 'tax-holiday' thing? sababu gani inakubalika kwa mwekezaji ambaye amepewa grace period ya kutokulipa kodi anaruhusiwa kukubaliwa kiutoendelea kuwekeza? je ni biashara kuto kulipa (Kwamba biashara haina faida ndo maana nimeamua kuuza mtaji baada ya kumaliza grace period ya tax free au?) Mtanisamehe pengine yalishajibiwa haya na hiyo sheria kuwekwa but naombeni mnitoe tope hili la macho,

Kimsingi huwezi kumlazimisha mwekezaji aendelee kuwekeza kama hataki. Wala sijui sheria kama hiyo ingesaidia. Tatizo kubwa tulilo nalo ni effectiveness ya tax incentives tulizonazo kwa sasa. Ni ukweli mtupu kuwa misamaha ya kodi inai cost sana serikali. Serkali inapoteza mapato mengi sana. Inabidi uiangalie hii misamaha ya kodi kama sehemu ya matumizi ya serilkali ndio utajua hasara tunayopata.

Kuna umuhimu mkubwa wa ku reconsider investments ambazo zina qualify for tax holidays na ambazo hazi qualify. Tuna vitu vingi vinavyoweza ku attract investors bila kuwa na tax holidays kubwa. Hata basi tukiamua kuwapa tax incentives, return kwa taifa iwe more than offsetting the costs of the tax incentives. Lakini tukienda kwa mantiki ya Rais Kikwete kuwa "ukitaka kula lazima uliwe" hatutafika mahali popote. Trust me.

Kuna umuhimu wa ku set a new criteria ya misamaha ya kodi ambayo itabidi iende beyond the monetary size of the investment. Ukiangalia criteria tunayotumia sasa ina base on monetary value. Hii criteria inatu cost sana kama taifa. Kuna umuhimu wa kutumia pia non-monetary criteria kujua nani ana qualify na nani ha qualify for tax incentives.

 
Kuna sehemu nilisikia kuwa hii tax- holiday (ambayo ndio inafahamika zaidi kwa watanzania wegi-kuhusiana na mahotel) kuwa iko more linked na uanzishaji wa 'Enterprises" ambazo hazitambuliki au haziko katika level ya 'invenstment' ....sikuelewa pengine ina maanisha hotels kama Kempinski, Moven Pick zinafall kwenye Enterprises zaidi ya Investments kama kina Barrick............kama kuna mtu anaeelewa juu ya tofauti hii naombeni msaada pengine itanipa mwongozo kwenye kutoa hoja juu ya 'wawekezaji ' wanvyootunyonya na hasara tuipatayo maana kwenye haya mambo mie ni mweupe kabisa ingawa napenda kuyafahamu kwa undani.

Mwanajamii One, all these go back to the criteria used to determine who qualify for tax incentives. Sisi tunaangalia monetary size ya investment. So, long una fedha zinazo meet kiwango kilichowekwa then, una qualify regardless investment yako ni ya aina gani. Lakini kama tungetumia pia non-monetary criteria, tungejua ipi ni investment na ipi ni enterprise.

Pia monetary criteria tunayoitumia ina put off investors ambao hawana fedha nyingi za ku invest kwa mkupuo lakini wana excellent idea ambayo inaweza kutatua matatizo yanayotukabili na kupata faida pindi investment ikikua. Kwa mfano yule mwanafunzi Mkenya ambaye amegundua njia ya kupunguza malaria kwa kuua mbu (sio Mbu wa hapa JF lol) kwa kutumia harufu ya soksi, unafikiri tukitumia monetary criteria, ataweza kupata tax incentives na ku invest his excellent and very simple idea?
 
EMT aksante sana sasa umenifungua macho pamoja na kunichanganya hapo kwenye mahesabu.....mwe najuta kukimbia hisabati.

Samahani kwa kukuchanganya na figures. Labada nijaribu kuweka simple. misamaha ya kodi Tanzania ni mikubwa ukilinganisha na ile ya Kenya na Uganda. Kwa kiasi kikubwa inawafaidisha wawekezaji wakubwa kuliko taifa. Kwa mfano, mwaka wa fedha wa 2009/10 peke yake, asilimia 2.3 ya pato la taifa au TZS 695 bilioni zilitolewa kama misamaha ya kodi. Ukubwa wa kiwango cha fedha kinachohusishwa ndicho kinaibua maswali kuhusu makusudi ya hii misamaha ya kodi.

Sasa kwa uelewa mdogo nilionao bado ninaamini kabisa kuwa tuna tatizo sehemu. Kwani naelewa kuwa hizi tax incentives ambazo zimekuwa zikiwekwa lengo na nia ni kuvutia wawekezaji sawa, lakini tax holiday pekee ni muhimu but haitoshi kuwavutia........ kuna swala zina la miundo mbinu ambalo imfortunately bado linalega lega (sijui serikali yetu ni vivu kwa kukimbilia njia rahisi ya kuvutia wawekezaji na ku'minyia' nyingine??

Kilichofanyika hapa ni serikali kuwapa wawekezaji misamaha ya kodi kwa ku import vitu kama oil za kuendeshea majenereta ya kuzalisha umeme. Kilichokuwa kinafanyika hasa kwa makampuni ya madini nikuwa serikali na haya makampuni walikuwa ana sign a separate agreement (tofauti na ule wa kuchimba madini) kuingiza mafuta nchini bila kulipa tax. Serikali imesema these separate agreements no longer exist, japokuwa wengi wanapinga kwa sababu ya usiri wa serikali juu ya hii mikataba.

Hata hivyo kuna kampuni moja ya madini imesema kwenye vyombo vya habaro vya kimataifa hivi karibuni kwamba wana negotiate na TRA ili warudishiwe tax walizolipa kununua mafuta. Pia mwaka jana kulikuwa na majadiliano kati ya serikali na makampuni ya madini kufuta kodi on imported fuel for the operations of the mining companies in Tanzania. Sijui mazungumzo yameishia wapi.

2. Kitu muhimu kinachotakiwa ni kujiuliza tangu hii tax-holiday imeanza kutolewa, je imetimiza lengo?? i.e. lengo ni kuvutia wawekezaji - je wawekezaji wengi wameongezeka (na wamekuwa wakiinvest kwenye sustainable investments?? yaani investment ambayo inadumu?- sasa sijui hizi za miaka mitano mitano tunawezaita ni za kudumu au vipi?

Sidhani. Tafiti nyingi zinaonyesha wanaofaidika zaidi ni wawekezaji. Pia sidhani kama issue tuna wawekezaji wangapi. Ni heri tume na mwekezaji mmoja kuliko mia, lakini tunufaike. Misamaha ya kodi imeongezeka kwa kiwango kikubwa kati ya mwaka 2006 na 2010. Ni kipindi hicho hicho ambacho mapato ya serikali yamepungua.

3. Tax-holoday inatakiwa kutolewa iwapo the targeted Investment (Investor) ana contribute in one way or another (sio kwa njia ya tax) in country's development- sasa hawa investors wanacontribute nini na vipi kwenye maendeleo yetu ya nchi mfano employment ni;
-% ngapi ya walioajiriwa wako kwenye hizi tax-fee enterprises/investments??
- je mishahara yao, inakatwa kodi?
-kodi hiyo inatumikaje kuleta maendeleo ya nchi kwa ujumla??

Ni kweli kabisa misamaha ya kodi ni kuchochea ukuaji wa uchumi, uwekezaji, ajira, ukuaji wa pato na hivyo kuleta mapato zaidi ya kodi katika muda mrefu. Lakini ukingalia uchumi wa nchi haujakua. Ajira bado ni tatizo. Ukuaji wa pato la serikali ndio kabisa umedorara. Serikali imeshindwa hata kufikia target iliyojiwekea. Misamaha ya kodi iliongezeka takribani mara mbili ndani ya mwaka mmoja. Na kama ulikuwa hujui misamaha ya kodi inayotolewa na TRA Zanzibar ni mara mbili ya misamaha ya kodi inayotolewa Tanzania bara. Kuna uwekezaji gani huko Zanzibar?

Najua kuna kil ekitu kinaitwa Corporate Social responsibility ( ambayo nayo ina makasheshe kibao) but najiuliza maswali mengi sana juu ya utendaji kazi wa serikali yetu, systems gani tunatumia kumonitor na kuevaluate impacts za sheria zetu- nakumbuka recently nilitembelea Hotel ya The Double Tree by Hilton pale Masaki, kusema ukweli ile barabara ya kuingilia pale ilinipa mtihani mkubwa but kwa kuwa haya mambo siyajui sana nikaishia kunyamaza tu.

Corporate social responsibility? Labda hii video itajibu swali lako nisije nikaambiwa natia chumvi.

 
Last edited by a moderator:
Wameipa jina la THE KILIMANJARO HYATT HOTEL, naona bongo the famous HYATT chain of hotels wameshapiga hodi.
 
Kale katabia za kuila Nchi yetu kameshika kasi sasa .Kilimanjaro Kempiski inabadilishwa jina rasmi na wanakula miaka mingine 5 kama kawaida .Habari za uhakika zimenifikia wakati nakunywa chai hapa leo hii kwamba management una badilika ila mfumo unabakia kuwa ule ule na owner wa hotel atabakia kuwa yule yule .Jina jipya nitaliweka hapa mudaa mfupi ila ukweli ni kwamba hali ndiyo hiyo watu wanaendelea kuitfuna Tanzania yetu .

Source ni mimi mwenye Lunyungu na ukweli utasimama kama nilivyo uweka hapa .
 
wantanzania wote hamna akili especially waliopata ubunge wanawake kwa kuvua chupi, siku mswaada wa tax exemption unapitishwa na tindu lissu na wenzie walikuwa wanapinga ila mizuzu ya ccm ikapitisha kwa ushabiki misenge yoteeee na kushangilia kuonesha jinsi isivyokuwa na akili mishenzi hiyo
 
kwanini Tanzania inatoa msaada wa kodi kwenye Hotel!!! hii haina maana yeyote. Je Watanzania wanaojenga Hotel za kitalii Arusha na wenyewe wanapewa msamaa wa kodi au ni kwa wageni tu!!!. Hii nchi watu wanafanywa wajinga kwelikweli!!!!
Ni kwasababu ya umimi, watu wanapewa vidola na wawekezaji na kuuza nchi bila kusahau kuwa hata kama wanavidola bado wanaishi kwenye inchi yenye vumbi, madimbwi barabarani maji mvua zikinyesha na kudharauliwa na hao hao wawekezaji.
 
Mkuu nchi hii ni shamba la bibi. INAUMA SANA unanikumbusha those dayz Mzee Mengi vs Masilingi
 
Ama kweli hapa ndipo tulikofikishwa na sheria zinazolitesa TAIFA kiuchumi hebu niambieni ni mdudu gani anayeitwa TAX HOLIDAY ???????????????
 
Mbaya zaidi siku ya uzinduzi wa jina jipya mgeni atakuwa mzee wa magogoni kilaza kweli atakuwa anacheka cheka tu
 
sijawaelewa wote mliocomment hapa inamana mlikua hamtaki iuzwe,ibadilishwe jina au mkataba usiishe? Muwe mnafikiria mara mbili sio kila kitu kulaumu na shutuma.ile ni biashara na katika biashara kuna mikataba,faida na hasara
 
This is what they said when Kikwete when they launched the five-star lodge in Serengeti National Park in July 2009.

=============================

The Kempinski Hotels Company has launched a five-star lodge in Serengeti National Park with a promise from its developer to invest in more luxury hotels in Tanzania. The chairman of the hotel developer, Ali Saeed Albwardy of ASB Tanzania Limited, promised that there is more to come. "We promise to build more hotels in Tanzania," he told President Jakaya Kikwete who inaugurated the US$50 million Bilila Lodge Kempinski. "We are ready to invest in more hotels because the investment atmosphere is right. We have been in Tanzania for five years and already we have invested in Kilimanjaro Hotel, Kempinski in Dar es Salaam and Zamani Hotel in Zanzibar," he added.

allAfrica.com: Tanzania: Kempinski Launches Lodge in Serengeti

hii inamaliza ubishi kwamba hata aliyepewa ni yule yule
au ndio mambo ya serikali kutofuata mambo ya media kumbe ni kichaka wamejificha
duh
 
Tunapoteza mapato mengi sana.jamaa wamekaa miaka5 then wanaondoka bila kulipa kodi yetu hata shilingi.inauma sana.
 
Pamoja na kuwaruhusu wabadilishe jina kutoka Kempinski Hotel kuwa Hyatt Regency, kama haitoshi serikali sasa ipo kwenye process ya kuwapa jengo letu la kihistoria zamani lilikuwa Forodhani Hotel sasa linamilikiwa na Mahakama ya Rufaa Tanzania walivunje na kuongeza ukubwa ya Hyatt Regence. Bofya liyo link kwa habari zaidi Daily News | Court building to be demolished "Court building to be demolished"

Tunapoelekea ni pabaya hata hauthamini historia yetu....tusisahau Jengo la salamanda walishalivinja kwa kisingizio cha uwekezaji, sasa jingine ilo linafuata.
 
Pamoja na kuwaruhusu wabadilishe jina kutoka Kempinski Hotel kuwa Hyatt Regency, kama haitoshi serikali sasa ipo kwenye process ya kuwapa jengo letu la kihistoria zamani lilikuwa Forodhani Hotel sasa linamilikiwa na Mahakama ya Rufaa Tanzania walivunje na kuongeza ukubwa ya Hyatt Regence. Bofya liyo link kwa habari zaidi Daily News | Court building to be demolished "Court building to be demolished"

Tunapoelekea ni pabaya hata hauthamini historia yetu....tusisahau Jengo la salamanda walishalivinja kwa kisingizio cha uwekezaji, sasa jingine ilo linafuata.
08_11_nh9y18.jpg
 
Ni huyo Ali Al-Bawardy, rafiki mkubwa wa mpangaji wetu Magogoni.

Basi kama ndio hivyo hesabu imekua rahisi zaidi ya tulivyofikiri, Jibu lishapatikana, iliyobaki ni kuhakikisha tu kama ndilo lenyewe na kupigia mstari.

Jamaa kamegewa na pande na Mshikaji wa pale Feri, then exempted tax inakua "shared" between them
 
Baada ya miaka mitano kumalizika, Kempinski Hotels wameamua kumaliza mkataba wa kuendesha Kilimanjaro Hotel Kempinski na Bilila Lodge Kempinski kuanzia mwishoni mwa mwezi huu. <br />
<br />
Kuanzia Agosti mosi hoteli hizi mbili za kitalii zitakuwa zinaendeshwa na kampuni ya ASB Tanzania Limited ambayo ni partner wa Kempinski Hotels. Wanaenda kufungua 5 stars hoteli Dubai, Kempinski Resort huko Seychelles na hoteli nyingine huko Namibia.
<br />
<br />
mimi nawashangaa sana watu wa nchi hii.. Haya ngoja niwaulize,hivi ina maana libya,tunisia,malawi na misri ndio walikuwa na matatizo mengi zaidi,angalau tungeadapt sera za Gaddafi tungekuwa na ahueni.. Tunalalamika weeee,yan sisi ni kulalamika tu.. Tunisia chanzo cha yale yote,kuna jembe au 2xeme mmachinga kapigwa na polisi tu yakatokea Yale. Matatizo yte haya ni sera za serikali,kama hamuipendi mbna hatuoni mabadlko kwnye kura, kama mnahc znachkchliwa kuna mtu alyelazmshwa kwenda??kma mnaona hamcklzw c Muingie mtaan na mkubali kufa kwa ajili ya haki,.,kama mnashndwa fungen mabakuli yenu..
 
PLANS are underway to demolish the historical building now housing the Court of Appeal in Dar es Salaam, to pave way for the expansion of former Kilimanjaro Kempinski Hotel, which was recently renamed Hyatt Regency, sources say. Sources told the 'Daily News' that the government has de-gazetted the building which first appeared in the Government Notice (GN) 498 of 1995 as an historical building. The revelation comes few days after the weeklong celebrations of the 50 years of the Ministry of Natural Resources and Tourism which, among others things, unveiled the Dar es Salaam City Tourism Exploration Trail that include the ancient building. The building protected under the Antiquities Act No. 10 0f 1964 and its amendments No. 22 of 1979 is among landmark features along the trail.

Conservationists have expressed concerns over the move, saying it will ruin the Kivukoni Front view where several historical buildings including the High Court, Tanzania Bureau of Statistics and the High Court Commercial Division are located. "The government has exchanged the building with the Kempinski Hotel's (Hyatt Regency) owner who will have it demolished and erect a new structure as part of the hotel expansion," said an official with the Ministry of Natural Resources and Tourism who preferred anonymity. It is said that the new structure will comprise several presidential suites. The hotel owner is to build a new building in the city where the Court of Appeal will relocate, the sources said.

Some officials have called the decision inconsiderate as it did not respect the fact that the building is regarded as one of the city's landmarks. "If the matter is expansion of the hotel, let it be done somewhere else, the building should not be tampered with," said another source. The Permanent Secretary in the Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development, Mr Patrick Rutabanzibwa, admitted to have heard the plans, but said his office was not officially informed. "I heard that there were talks between the government and the Kempinski (Hyatt Regency) owner over the change in the use of the building but I am not aware on the conclusion," he said.

Mr Rutabanzibwa noted that the building's location suits the city's plans, adding that any move to demolish the structure will interfere with the plans. "It would be better that the building remains the same with or without changes in the use because that is how it is supposed to be according to the city plan," he said. Another official in the ministry noted that if the trend was to be entertained, all historical buildings in the city would be demolished. The Salamander building was also a historical building, but an investor pulled it down. "The Court of Appeal building, former Forodhani Hotel, housed the first hotel in the city before independence. It was then known as Dar es Salaam Club," said the ministry's official.

The Minister for Natural Resources and Tourism, Mr Ezekiel Maige, said all the information on the matter would be given by the ministry's Permanent Secretary, Ms Maimuna Tarishi. When reached for comments, Ms Tarishi promised to respond on the matter in writing. The Hotel's Communication Officer identified by one name as Nasra declined to comment on the matter, saying she has no authority to speak on the iisue.

Daily News | Court building to be demolished
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom