Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,552
Serikali wilayani Mwanga, mkoani Kilimanjaro, imesitisha shughuli zinazofanywa na shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na vijana la Kilimanjaro Youth Network baada ya kubainika kufundisha na kufungisha vijana ndoa za mapenzi ya jinsia moja tofauti na usajili wa shirika hilo.
Chanzo: ITV
My take: "Msifikiri Mnapendwa Sana"
JPM
Chanzo: ITV
My take: "Msifikiri Mnapendwa Sana"
JPM