Justify, nenda mahakamani Mkuu.Na rais mwenyewe ana skendo ya mwanae kufanya mazungumzo nchi za nje kama mwakilishi wa serikali bila kuwa nobody humo serikalini!
Justify, nenda mahakamani Mkuu.Na rais mwenyewe ana skendo ya mwanae kufanya mazungumzo nchi za nje kama mwakilishi wa serikali bila kuwa nobody humo serikalini!
kaonewa??? alichofanya ni sawa?Gekul ameonewa na kutolewa kafara tu.
Mahakama zile zilizopewa sifa nzuri na rostam, au kuna nyingine?Justify, nenda mahakamani Mkuu.
Kauli yako inatupelekea tuamini kwamba mama ana upendeleo....Ingekuwa mawaziri na baadhi ya viongozi wanachomolewa kwa sababu ya skendo basi wengi wangekuwa wametoka. Hakuna serikali ambayo viongozi wana maskendo kama hii awamu ya sita. Kuanzia ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha za uma na matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo kutoa kauli chafu kwa wananchi.
Lakini kwa sababu wengi wao wanaokumbwa na skendo wana backup ya watu fulani basi mama huishia kumung'unya maneno, akiwaka sana ataishia kusema STUPID.
Ni wazi kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup ya mtu wa karibu na mama au kutokuwa mtoto wa fulani ndani ya chama. Ni kama wanatafutwa mno watu wa dizaini yake ili kutolewa kafara. Hata kina Ally Hapi walikosa tu backup wakaondolewa..japo walideliver sana.
Uzuri kina Seleman Jaffo wanalijua hili ndio maana wamekaa zao kimya. Siku nao wakiguswa tu na wabaya wao basi hawafiki saa kumi jioni.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kitendo cha kiongozi sio kufanya bali kutuhumiwa na kashfa hiyo alipaswa awajibike.Weka ushahidi wa tuhuma zako mkuu,vp ripoti ya CAG haikuja na ushahidi wa ubadhirifu wa mali za watanzania nani alichukuliwa hatua?
Mkuu lisaidie taifa.Mahakama zile zilizopewa sifa nzuri na rostam, au kuna nyingine?
Kafanya au alimtishua tu? Anyway hata lkama kafanya. Akina Makonda makalio makubwa wameua watu mbona wanapewa vyeo?kaonewa??? alichofanya ni sawa?
Ilikuwaje akamsokomeza chupaTatizo kamsokomeza chupa kwa mwenzake, hiyo ni mbaya sana
Ova
Sakata zao zinatofautianaAkamuone Dkt Dugange Ampe Mbinu Kwenye Sakata Lake La V8 Na Yule Mwanachuo Mpaka Akalimaza Kibabe
Haujamulewa mtoa hoja. Soma umuelewe. Una rash kama unakwenda kuzima moto!?Unasema hakuna viongozi wenye tuhuma kama hii awamu, kwasababu vyombo vya habari vipo huru kueleza lolote.
Kilicho muondoa huyo best yako ni matendo yake, hivi wewe au mmeo/mkeo au mtoto wako asokomezewe chupa ungekuja hapa na hizi ngojera zako, shame on you!
Mbona hajatetea ujinga!?Wewe muache aendelee kuropoka tu ujinga wake. Sijuwi kama angeandika hayo kama yule mtoto angekuwa mwanaye.
Mkuu leta report ya daktari kuthibitisha kuwa kosokomezwa na chupa!Unasema hakuna viongozi wenye tuhuma kama hii awamu, kwasababu vyombo vya habari vipo huru kueleza lolote.
Kilicho muondoa huyo best yako ni matendo yake, hivi wewe au mmeo/mkeo au mtoto wako asokomezewe chupa ungekuja hapa na hizi ngojera zako, shame on you!
Mkuu that will wait until proven guilty in the court of law, as of now she is innocent!She deserve punishment, if.....!
Kibaya ni mwanamama, mzazi, chupa iingizwe kule...., I can't explain, na alikuwa kwenye sheria.
Mtoa mada nimekuelewa.Ingekuwa mawaziri na baadhi ya viongozi wanachomolewa kwa sababu ya skendo basi wengi wangekuwa wametoka. Hakuna serikali ambayo viongozi wana maskendo kama hii awamu ya sita. Kuanzia ubadhirifu,matumizi mabaya ya fedha za uma na matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo kutoa kauli chafu kwa wananchi.
Lakini kwa sababu wengi wao wanaokumbwa na skendo wana backup ya watu fulani basi mama huishia kumung'unya maneno, akiwaka sana ataishia kusema STUPID.
Ni wazi kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup ya mtu wa karibu na mama au kutokuwa mtoto wa fulani ndani ya chama. Ni kama wanatafutwa mno watu wa dizaini yake ili kutolewa kafara. Hata kina Ally Hapi walikosa tu backup wakaondolewa..japo walideliver sana.
Uzuri kina Seleman Jaffo wanalijua hili ndio maana wamekaa zao kimya. Siku nao wakiguswa tu na wabaya wao basi hawafiki saa kumi jioni.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Mkuu uchunguzi haujakamilika na mahakama kuthibitisha hilo. Mpaka sasa ni tuhuma tu.Tatizo kamsokomeza chupa kwa mwenzake, hiyo ni mbaya sana
Ova