Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,804
- 110,034
Ni wazi kilichomuondoa Gekul ni kukosa backup ya mtu wa karibu na mama au kutokuwa mtoto wa fulani ndani ya chama. Ni kama wanatafutwa mno watu wa dizaini yake ili kutolewa kafara. Hata kina Ally Hapi walikosa tu backup wakaondolewa..japo walideliver sana.
Kama alikuwa anajua hana backup, kwa nini afanye 'ufaler' kama ule?
Kama mambo anayotuhumiwa ni hakika, watu aina yake hawapaswi kuwepo katika jamii kabisa...
Hata huo uwakilishi wa wananchi kupitia ubunge ni bisara akatemeshwa tu, afilisiwe fidia apewe muathirika wa ukatili...
Nchi hii watu wanacheka sana na wahalifu ndio maana maovu hayapungui...