onechromosome
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 1,243
- 780
Nililo andika nimeandika,pasuka sasa.Wewe ni msukule sio bure
Nililo andika nimeandika,pasuka sasa.Wewe ni msukule sio bure
niliporejea JF baada ya kujiweka kando kwa mda wa mwaka mmoja,nilitegemea ningekuta umebadilika kimaadili na kuwa mtu mstaarabu.Unaweza kuthibitisha hilo? Au na wewe ndio msukule kwenye ile misukule yake?
Huu ushauri ungempa huyo Mungu wako wa kishirikina au ingekua umejishauri wewe mwenyewe ingependeza zaidi,niliporejea JF baada ya kujiweka kando kwa mda wa mwaka mmoja,nilitegemea ningekuta umebadilika kimaadili na kuwa mtu mstaarabu.
badilika ndg...umri unaenda huo,hujachelewa.
Kwahiyo kwako wewe mtu mwenye maadili na mwenye ustaarabu ni yule anayekubaliana na mada za huyo Mungu mtu wako? Mtu akipingana nae anakua hana maadili?niliporejea JF baada ya kujiweka kando kwa mda wa mwaka mmoja,nilitegemea ningekuta umebadilika kimaadili na kuwa mtu mstaarabu.
badilika ndg...umri unaenda huo,hujachelewa.
Ifahamu siri ya mchezo observe dead silence!you will drive them like crazyniliporejea JF baada ya kujiweka kando kwa mda wa mwaka mmoja,nilitegemea ningekuta umebadilika kimaadili na kuwa mtu mstaarabu.
badilika ndg...umri unaenda huo,hujachelewa.
mkuu mshana jr ka story umekaandika kivivu sana haka.[/QUOhaya mkuu mshana jr,nakuelewaa
Nyamisati to gezani?Nimetamani kusimulia hiki kisa muda sasa lakini waungwana walikuwa hawajatoa ruhusa bado.
Nilipotea kwa vipindi viwili vyenye jumla ya siku 23, kati ya siku hizo ni siku chache sana nilikuwa nje ya Tanzania, nyingine zote nilikuwa hapa hapa ila kwenye dunia isiyoaminika na wengi, dunia ya ushirikina na uchawi katika uhalisia wake.
Nitangulie kuomba radhi sitaandika kila kitu bali yale ya muhimu tu nitakayoona ni muhimu kuandika.
Nilitoka Dar kwa dharura kuelekea sehemu ambako nitapata kile kinachonipeleka huko, safari yangu ikanipeleka mpaka Nyamisati, nikalala pale.
Siku ya pili asubuhi nikadamkia bandari bubu iitwayo gezani.... vituko vilianzia hapo.
Ooh OK nikajua hata kwa bus unaweza kufika kama njia hii[/QUOTE pale mafia mgeni unapewa mchuzi wa pweza lita 2 yaani hiyo karibu mgeni![]()
Ooh OK nikajua hata kwa bus unaweza kufika kama njia hii[/QUOTE pale mafia mgeni unapewa mchuzi wa pweza lita 2 yaani hiyo karibu mgeni![]()
Ujinga ni pale ulipojiaminisha kuwa mshana ni muongo ili hali bado unaendelea kutoa comment zako nying za kuonesha unachuki nae juu ya post zake. Ujinga ni kutumia ID kibao ili umshambulie mshana ili hali Tayar umejua kama eti ni uongo.
Ujinga ni kusubscribe huu Uzi wakat unajua kuwa ni story ya kutunga. Ujinga ni kuendelea kuufuatilia Uzi ambao tayar umeamini kuwa ni story ya kutunga.
Siku mtu akijitambua hana ujinga basi kwa kuwa anaamini kuwa ni story ya kutunga na ya uongo ataacha kuufatilia huu Uzi.
Ujinga ni pamoja na kuendeleza chuki dhidi ya mshana Jr kwenye story zake bila kujali kama ni za kutunga au za kweli.
Nategemea baada ya post hii wajinga na mshana Jr haters watakuja kujawa na povu ila kwa kuwa najiandaa kufua itakuwa vema maana watakuwa wamenifanya kuelewa kuwa kumbe ni dhabiri ni wajinga kwa kusubscribe huu Uzi ili hali wanajua ni wauongo.
Nimekuelewa mshana Jr.