Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
...kama ushamjua ni muongo si umpotezee tu?..au ukiona jina tu kuna vitu vinakunyevua...Muongo tu huyo hana lolote.
Kuna siku alikuja na picha humuhumu JF akidanganya kuwa kaipiga yeye hapo njia ya kwenda Ikulu, kumbe ile picha ipo kwenye mitandao kwa miaka kadhaa, nikamuumbuwa uongo wake kwa kuileta source nyingine kabisa ya ile picha, basi toka siku hiyo kajenga chuki kwangu.
Huu anaoleta humu ni uongo tu hajuwi lolote huyo.
Wajinga Ndiyo Waliwao.
Tulirejea nyamisati jioni tukalala pale, rasta nyoka hakuwepo tena hatukupeana namba sikumuona na somu hakupenda tupige picha hata moja
Kuna mengi sikuyasimulia hapa nimetii agizo , ila hapo Nyamisati Gezani , kilwani na visiwa vinginevyo Kuna siri kubwa kuhusiana na rasta nyoka...ukibahatika kwenda huko jaribu kumuulizia
...kama ushamjua ni muongo si umpotezee tu?..au ukiona jina tu kuna vitu vinakunyevua...
..kama vipi mtunuku akuchape nao akusuuze,muwasho utaisha!
.wajipa tabu ya nini
....kufumba macho sio kujificha bhana;Unaonesha mzoefu wa kuchapwa nao.
Hongera.
Unataka mtu anasema uongo jukwaa la wazi halafu tunaojuwa kuwa huo ni uongo tumezee tu?
Hilo haliwezekani.
funguka mkuu,ulipotea na ndege?,Naam mkuu,mbona umekatisha,,,Binafsi nilishawahi kupotea wakanitafuta nikarudi baada ya maombi mazito na wao kufunga...nataka nilinganishe kama hii inafanana na hiyo.
bibi vipi mbona unatokwa na povu sana au wewe ndo rasta nyokaUnaonesha mzoefu wa kuchapwa nao.
Hongera.
Unataka mtu anasema uongo jukwaa la wazi halafu tunaojuwa kuwa huo ni uongo tumezee tu?
Hilo haliwezekani.
nakwambia ni medhamiria kumuangusha hata kwa stahili hii maana yeye simjanja ukibisha na wewe ntakujumuishaFuata ushauri wangu.
Mkuu huyo muache, ni kama mbio za sakafuni tu!dawa yangu hujanipatia basi naomba unielekeze kwa rasta nyoka maana kazi yangu ni moja kumuadabisha huyu mwakanza ya ziwa wa magogoni
Mkuu Mimi wala sihusiki, naomba nisamehe.nakwambia ni medhamiria kumuangusha hata kwa stahili hii maana yeye simjanja ukibisha na wewe ntakujumuisha
kwao nimafundi sana najua ila nishaamua kupambana nae kindakindaki,kama vipi ntaenda gambosiMkuu huyo muache, ni kama mbio za sakafuni tu!
Inaendelea
Kiukweli ni kwamba nilisizi, Lakini Sikuwa pekeyangu karibia wapangaji kama wane hivi walitoka vyumbani mwao
Mimi sikurudi tena kulala mule ndani nilichukua kibegi changu na kwenda kukesha Ibiza mpaka alfajiri nilipotimkia bandarini
Tukiwa kwenye boat kurejea Nyamisati story zilikuwa za ile gesti na vituko walivyokumbana navyo usiku mzima, hasa ile harufu ya udongo mbichi na mchele, kuna baadhi walijiapiza kuwa hawatakaa warudi Mafia
Tulifika Nyamisati saa tatu hivi asubuhi bila kituko chochote....nilipumzika mpaka mchana tulipokodi fiber boat kwenda kwenye visiwa vilivyo karibu na hapo Nyamisati
=wanawafuataWacha porojo wewe, utadanganya manyumbu tu humu. Nilishakubamba uongo wako siku nyingi sana.
Nyie ndiyo mara mnatangaza "Mimi nabii" na misukule wamo wanawafata tu.
Ndio mkuu ya kwanza kabla ujaingia mjiniSi ndio ya kwanza kwanza ukiingia Nyami mjini?
=wanawafuata
Halafu hukulazimishwa kufuatilia huu uzi..
Rufiji ndani ndani ....hapo nyamisati ndio kuna local port ya kwenda MAFIA.Nyamisati ndo wapi ile na wengine twende sawa
Na wewe huoni kama hizi kauli zako zinaashiria chuki dhidi yake?