Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho

Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho

Vipi hauna tabia au kuwa na ndugu washirikina au wachawi?
 
Basi utakuwa umepewa au kurushiwa vitu vya kishirikina bila ya wewe kujijua
 
mmh kungekuwa na picha ingekuwa poa sana ila kupata majibu sahihi inakuwa vigumu sana
sababu hatuna kigezo stahiki
 
Vumilia tu bibie.

Wanawake wenye Chura huwa wanapata tabu za namna hiyo siku zote.
 
8cb96d1461d9bfe8165f834d5bbd8907.jpg


Usijali, unawadatisha kwa shape adimu
 
Japokuwa mada isha fika mbali kuchangiwa, ngoja na mimi nitoe mchango wangu katika mtazamo tofauti kidogo, kama utafanya utafiti kidogo kwa watu wanao kushangaa, mfano wako watu watatu wakakushangaa, ukiwauliza hakuna hata mmoja atakuwa na sababu direct au wanaweza wakawa na sababu tofauti tofauti, katika mada moja humu nilichangia kuhusu Body energy, sasa inawezeka kukawa na leakage from your body energy amabayo inakuwa visible, jua kuwa katika kundi la watu wakushangaao sio wote wanaokushangaa wewe, wengi wanashangaa kwamaana wenzao wanashangaa wengi hawajui wanashangaa nini ila wachahe wajuao hawawezi elezea kwa maana hawana uelewa wa elimu hii.
Wakati mwingine inaweza kuwa una very bright au powerful energy amabayo inakuwa visible.
cc MziziMkavu , mshana jr , MSEZA MKULU merengo90 Divine...
Nitaendelea wakati mwingine.
 
Back
Top Bottom