Flexi lady
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 298
- 208
Utakua na chura wa maana tu..
Sasa unakuja kutuuliza sisi kwani sisi tulikuepo huko?
Mungu anakuonaUtakua na chura wa maana tu..
Sasa unakuja kutuuliza sisi kwani sisi tulikuepo huko?
Mungu anakuona0713 ni ya kupitishia mashudu na dona tu0713 Siyo papuchi, ile ni sehemu inayojitegemea..........acha kusema unazo mbili kisa una matundu mawili.
Nakupongeza sana tena sana mno.Umeelezea vizuri kuliko ambavyo ningeweza.Wengne wananishangaa kwa kuwa wameona wengine wakifanya hivyo.Japokuwa mada isha fika mbali kuchangiwa, ngoja na mimi nitoe mchango wangu katika mtazamo tofauti kidogo, kama utafanya utafiti kidogo kwa watu wanao kushangaa, mfano wako watu watatu wakakushangaa, ukiwauliza hakuna hata mmoja atakuwa na sababu direct au wanaweza wakawa na sababu tofauti tofauti, katika mada moja humu nilichangia kuhusu Body energy, sasa inawezeka kukawa na leakage from your body energy amabayo inakuwa visible, jua kuwa katika kundi la watu wakushangaao sio wote wanaokushangaa wewe, wengi wanashangaa kwamaana wenzao wanashangaa wengi hawajui wanashangaa nini ila wachahe wajuao hawawezi elezea kwa maana hawana uelewa wa elimu hii.
Wakati mwingine inaweza kuwa una very bright au powerful energy amabayo inakuwa visible.
cc MziziMkavu , mshana jr , MSEZA MKULU merengo90 Divine...
Nitaendelea wakati mwingine.
Ahaa, lakini huo upenyo mwingine ni wa kulamba sivyo?0713 ni ya kupitishia mashudu na dona tu
tamu sanaaaa uwiiAhaa, lakini huo upenyo mwingine ni wa kulamba sivyo?
kwani mleta uzi ni me au keBila shaka utakua una chura mkubwa anarukaruka nyuma yako
hajapambanua,ila nahisi atakua ke maana ni nadra me akipita watu wamkodolee mimacho kwa nyumakwani mleta uzi ni me au ke
Hapana mimi ni wa kiumeUna jinsia tofauti n wanadamu
Huna dalili za kuota mapembe?Wakuu wa baraza heshima kwenu,
Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho kupita kiasi. Niwe mitaani, barabarani, sokoni au sehemu yoyote watu wananishangaa bila kujua nini sababu. Watoto, wazee, watu wa rika langu, watu wazima na wa jinsia zote wamekuwa wakinikodolea macho sana. Wengine wanakodoa kwa kujificha na wengine waziwazi.
Nashtushwa na hiyo hali cause nikipita sehemu na kuwa kama mzimu uliofufukia kwenye mtaa uliozikwa kutokana na jinsi wanavyonishangaa. Sometimes inanilazimu kuingia chimbo kujikagua kama zipu ipo sawasawa au ndege ameninyea bila kujua ila najikuta nipo sawa. Nimevumilia ila nikaona si vibaya kuja kuuliza nini sababu ya watu kuwashangaa watu wengine pindi wawapo kwenye mishe mishe zao? Kama umewahi kumkodolea macho mtu mwingine sababu inakuwa ni kitu gani?
Asanteni!
Hata kimoja kati ya ulivyovitaja sina.Kama wewe ni jinsia ya kike basi jambo hilo ni kawaida.
Lakini Kama ni ME basi huenda una muonekano ufuatao;
1. Unatembea Kama demu labda kutingisha matako au kiuno au kutanguliza kifua mbele huku makalio ukiyaacha nyuma.
2. Unaswaga za kike Kama kuvaa mavazi yasio yakiume, kuvaa mavazi yanayong'aa.
3. Huenda unajichubua au unavaa hereni.
4. Labda unaumbo Fulani au kiungo Fulani ambacho wanaume au watu wengi hawana.
Kwa mfano unamakalio makubwa, au unasura nzuri kupitiliza Kama demu. Unamacho ya kurembua n.k.
Kama huna niliyoyataja basi jiamini.
Lakini hayo niliyoyataja hata uje kukanusha ni lazima moja au mawili uwe unayo.
Hapana.Huna dalili za kuota mapembe?
Utakua na chura wa maana tu..
Sasa unakuja kutuuliza sisi kwani sisi tulikuepo huko?


jibuu xurii sa mtuu wamshsngae hukoo ,atuulizee cyee inahuuu! Au sifaa mental disorder kwa kwliiHivii akilii yakooo, IPO sawa sawaa kweliiiWakuu wa baraza heshima kwenu,
Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho kupita kiasi. Niwe mitaani, barabarani, sokoni au sehemu yoyote watu wananishangaa bila kujua nini sababu. Watoto, wazee, watu wa rika langu, watu wazima na wa jinsia zote wamekuwa wakinikodolea macho sana. Wengine wanakodoa kwa kujificha na wengine waziwazi.
Nashtushwa na hiyo hali cause nikipita sehemu na kuwa kama mzimu uliofufukia kwenye mtaa uliozikwa kutokana na jinsi wanavyonishangaa. Sometimes inanilazimu kuingia chimbo kujikagua kama zipu ipo sawasawa au ndege ameninyea bila kujua ila najikuta nipo sawa. Nimevumilia ila nikaona si vibaya kuja kuuliza nini sababu ya watu kuwashangaa watu wengine pindi wawapo kwenye mishe mishe zao? Kama umewahi kumkodolea macho mtu mwingine sababu inakuwa ni kitu gani?
Asanteni!






Ipo sawa saa zote boss.Hivii akilii yakooo, IPO sawa sawaa kweliii![]()