Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho

Chuda Kashara

JF-Expert Member
Sep 5, 2016
849
554
Wakuu wa baraza heshima kwenu,

Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho kupita kiasi. Niwe mitaani, barabarani, sokoni au sehemu yoyote watu wananishangaa bila kujua nini sababu. Watoto, wazee, watu wa rika langu, watu wazima na wa jinsia zote wamekuwa wakinikodolea macho sana. Wengine wanakodoa kwa kujificha na wengine waziwazi.

Nashtushwa na hiyo hali cause nikipita sehemu na kuwa kama mzimu uliofufukia kwenye mtaa uliozikwa kutokana na jinsi wanavyonishangaa. Sometimes inanilazimu kuingia chimbo kujikagua kama zipu ipo sawasawa au ndege ameninyea bila kujua ila najikuta nipo sawa. Nimevumilia ila nikaona si vibaya kuja kuuliza nini sababu ya watu kuwashangaa watu wengine pindi wawapo kwenye mishe mishe zao? Kama umewahi kumkodolea macho mtu mwingine sababu inakuwa ni kitu gani?

Asanteni!
 
sidhan kama JF kuna mtu ana taswira ya umbo lako ili kukupa huo msaada wa kujua una kasoro gan?
Option 1: Weka picha yako tuiangalie tukupe kasoro
Option 2: Mtafute mtu yoyote wa karibu yako muulize kama una kasoro yoyote
Hitimisho inaweza isiwe ni maumbile yako yalivyo tabia na miendeno yako inaweza kusababisha watu wawe wanakuangalia kila ukipita
 
sidhan kama JF kuna mtu ana taswira ya umbo lako ili kukupa huo msaada wa kujua una kasoro gan?
Option 1: Weka picha yako tuiangalie tukupe kasoro
Option 2: Mtafute mtu yoyote wa karibu yako muulize kama una kasoro yoyote
Hitimisho inaweza isiwe ni maumbile yako yalivyo tabia na miendeno yako inaweza kusababisha watu wawe wanakuangalia kila ukipita
Nimeuliza watu kama nina kasoro but hakuna aliyesema ndiyo.Kingine hata watu tusiofahamiana wananishangaa.
 
Wakuu wa baraza heshima kwenu,

Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho kupita kiasi. Niwe mitaani, barabarani, sokoni au sehemu yoyote watu wananishangaa bila kujua nini sababu. Watoto, wazee, watu wa rika langu, watu wazima na wa jinsia zote wamekuwa wakinikodolea macho sana. Wengine wanakodoa kwa kujificha na wengine waziwazi.

Nashtushwa na hiyo hali cause nikipita sehemu na kuwa kama mzimu uliofufukia kwenye mtaa uliozikwa kutokana na jinsi wanavyonishangaa. Sometimes inanilazimu kuingia chimbo kujikagua kama zipu ipo sawasawa au ndege ameninyea bila kujua ila najikuta nipo sawa. Nimevumilia ila nikaona si vibaya kuja kuuliza nini sababu ya watu kuwashangaa watu wengine pindi wawapo kwenye mishe mishe zao? Kama umewahi kumkodolea macho mtu mwingine sababu inakuwa ni kitu gani?

Asanteni!
Hali hii tangu utoto au ghafla ukiwa mtu mzima?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom