saudari
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 2,655
- 2,783
Unamfaham Tutor au unamsikia.
A=kumfahamu B=kumsikia.
A na B ni sawa.
Unamfaham Tutor au unamsikia.
Mbwembwe meeeeeeeeeeeeen na ikifika bathday yangu nikikosa wakunirusha roho nafwa kabisa ajitolee mtu humu tr 17 june .HB LF
Mbwembwe meeeeeeeeeeeeen na ikifika bathday yangu nikikosa wakunirusha roho nafwa kabisa ajitolee mtu humu tr 17 june .HB LF
Usijali pacha
A=kumfahamu B=kumsikia.
A na B ni sawa.
Mbwembwe meeeeeeeeeeeeen na ikifika bathday yangu nikikosa wakunirusha roho nafwa kabisa ajitolee mtu humu tr 17 june .HB LF
Kumbe ulimkutana na shem ladyfurahia kule sitimbi!!!!
Hebu nikuulize maswali la kizushi
1.Je muonekano wa Lady kwa sasa na wazamani ukoje? Je kwasasa anaonekana amerizaka na mapendo ya kapera Mentor au tu ni yale mambo ya bora liende?
2.Unaikumbukaje siku ya kwanza kukutana na Lady?
3. Hivi ni Happy Bith Day au Happy Bith Date?
Kumbe ulimkutana na shem ladyfurahia kule sitimbi!!!!
Hebu nikuulize maswali la kizushi
1.Je muonekano wa Lady kwa sasa na wazamani ukoje? Je kwasasa anaonekana amerizaka na mapendo ya kapera Mentor au tu ni yale mambo ya bora liende?
2.Unaikumbukaje siku ya kwanza kukutana na Lady?
Hivi ni Happy Bith Day au Happy Bith Date?
1. Amekuwa mzuri zaidi ya nilipomuona. Hasa uzuri wa ndani...kama hujaoa huwezi kuelewa jibu hili. Uliza mainfii kina shem Kaizer na babu Asprin.
2. Nilikuwa naenda kuosha gari baada ya kumshusha bosi mara ghafla mbele yangu akapita binti mrembo kuliko wote niliowahi kuwatia machoni. Amebeba maparachichi na magimbi. Sijui ujasiri ule ulitokea wapi...but siku ile ile nilhakikisha nimeeleweka...
3. Happy birthday...we dont celebrate the date, rather commemorate the day.
Mentor
nadhani wife huko anafurahia Happy birthday to her
hb my lovely friend!
ukija nitafute
Mbwembwe meeeeeeeeeeeeen na ikifika bathday yangu nikikosa wakunirusha roho nafwa kabisa ajitolee mtu humu tr 17 june .HB LF
Hongera ladyfurahia
naomba niwe mimi. Nimejtolea bure kabisa.
Hongera ladyfurahia
ladyfurahia, kwanza nikupe hongera kwa kuendelea kula chumvi nyingi hapa duniani, na kukutakia kila lililo jema maishani mwako na kipenzi cha moyo wako jirani yangu Mentor(jirani wapi keki leo; kijiji beach au mikadi beach?).Itabidi tuwaombe wanaume wa humu mjengoni nawe wakutoe ikifika zamu yako mie mume wangu amelitambua hilo acha nikuitie hawa wanaume wa humu mjengoni wakutoe mwaya si unataka kutolewa siku ya 17 June jamani wanaumeeeeeeeeee kujeni huku Nivea anataka kutolewa siku yake jamani watu8, Filipo, Chimbuvu, Erickb52, Ruttashobolwa, stevoh, mamamia, Mr. Rocky, KakaKiiza, Kipaji Halisi, mpenda Yesu, Mtambuzi, The hammer, @Jouswe, Mwita Maranya