Kila aguswaye na pendo

Kila aguswaye na pendo

haa sikujua bestito jamani asante kwa kunitakia kheri na fanaka na afya njema namshuukuru Mungu kuniweka hadi leo kwani wangapi wamekufa wengine ni wadogo kwangu namshkuru Mungu nashkuru kuwa nawe umefurahia kuwepo kwangu duniani asante,

b) Acha nikachukue msumeno wangu nije kukubanjua hapo sikujua kumbe wewe Marriade samahani sana kwani ukunitambulisha hilo siku ile ya kwanza uliponikuta nikifua nguo za shem wako Mentor

c) nitaendelea kumtia moyo naye atapata wake muda si mrefu asipozimia roho awe na subira na uvumilivu kwani ndio silaha kubwa
ladyfurahia, kwanza nikupe hongera kwa kuendelea kula chumvi nyingi hapa duniani, na kukutakia kila lililo jema maishani mwako na kipenzi cha moyo wako jirani yangu Mentor(jirani wapi keki leo; kijiji beach au mikadi beach?).

Pili, ningependa kukufahamisha kuwa i'm married to my sweet wife mwaJ, kwahiyo ningependa uniondoe katika hilo group la wanaume wa JF wanaoweza kumtoa best yangu Nivea.

Tatu, nakutakia kila la kheri wakati wote unapoendelea kumpa kampani Nivea hadi ampate amfaaye kwa dhiki na raha.
 
Last edited by a moderator:
jinsia yoyote sina alegi

hb my lovely friend!
ukija nitafute

ladyfurahia, kwanza nikupe hongera kwa kuendelea kula chumvi nyingi hapa duniani, na kukutakia kila lililo jema maishani mwako na kipenzi cha moyo wako jirani yangu Mentor(jirani wapi keki leo; kijiji beach au mikadi beach?).

Pili, ningependa kukufahamisha kuwa i'm married to my sweet wife mwaJ, kwahiyo ningependa uniondoe katika hilo group la wanaume wa JF wanaoweza kumtoa best yangu Nivea.

Tatu, nakutakia kila la kheri wakati wote unapoendelea kumpa kampani Nivea hadi ampate amfaaye kwa dhiki na raha.

Jirani sherehe kesho kitu cha kipepeo jirani...karibu sana!

RSVP (Rice and Stew Very Plenty):heh:
 
hivi wewe Mentor+ ni pacha na mume wangu Mentor kwani aliniambia kuwa anaye twins sasa sijui ndo wewe naogopa kumuliza tena kswali hili kwani siku ile hakufurahishwa sana nilipomuuliza naomba unijibu wewe
 
Last edited by a moderator:
jamani haya sasa yale makande keki tuliyodesign nani atakula kwani yataaribika mpaka kesho tena?
Jirani sherehe kesho kitu cha kipepeo jirani...karibu sana!

RSVP (Rice and Stew Very Plenty):heh:
 
na mimi nakupa hii hapa shostito
images.jpg
 
Mentor, haya mambo ya kustukizana hayafai kabisa, ungeniambia mapema tungesababisha pale LEO TUPO HAP PUB kwa Mjeda kama siku ileee ya Paloma
 
Last edited by a moderator:
umejikakamua kweli jirani haya bwana nije????????? Au ntaharibu shoo

Nivea

Today 14:46
#54
BannedArray


Join Date : 21st May 2012
Posts : 5,680
Rep Power : 0
Likes Received3132
Likes Given4053


[h=2]
icon1.png
Re: Kila aguswaye na pendo..[/h]


Nivea ar yuuu banned?!?!?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom