Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
... safari nyingine mwezi wa 10 ndipo atakapo onana na Obama na kuweza kujitambulisha kwake!
Mwezi wa kumi? Na mwezi wa tisa si huwaga wanakwenda UN? Kwa hiyo kama asipotuma ujumbe UN mwezi wa tisa na kwenda yeye mwenyewe basi ina maana atakwenda Nyamewzi mwezi wa tisa na wa kumi? Man oh man...