Kikwete ni Masiha

Kaka mm nimekusoma hiyo imetulia sana ukiisoma kwa umakini unapata nn unataka kusema.big up kaka.sio mda mrefu ya tunisia yanatokea hapa dar tujiandae
 
Umechemka kabisa sehemu hii. Hakuna ufanano wowote baina ya Kikwete na Yesu Kristo. Kama hujui Mwandishi wa Biblia anasema nini pale anaposema baba kikombe hiki kiniepuke bora unyamaze. Je unataka kuniambia kwamba Kikwete ana ujasiri kuliko Yesu Kristo? shut up? Sipendi watu kutoa comment za kipagani.
Jina lako tu tosha. Sijasema Yesu na JK wanafanana bali mifano inafanana japo inatofautiana. Umiza kichwa kidogo katika kufikiri. Ni ujasiri gani wa JK unaouzungumzia wewe?
 
Masiha? kikwete?
 

Attachments

  • obama kikwete.jpg
    obama kikwete.jpg
    30.1 KB · Views: 53
attachment.php
 

Attachments

  • Barack-Michelle-Obama-Met-New-York-Jakaya-Mrisho-Kikwete-Tanzania.jpg
    Barack-Michelle-Obama-Met-New-York-Jakaya-Mrisho-Kikwete-Tanzania.jpg
    269.3 KB · Views: 96
wapagani ni watanzania tena ni wengi kuliko muendao misikitini na makanisani ila kundi hili la wapagani ni wastaarabu mno ndo maana waweza kuwatukana na hawareact kama nyie waislam na wakristo. Ndilo kundi kubwa linaamini katika amani kuliko makundi yenu yenye asili ya watawala wetu wazungu na warabu. Mna kasumba ya ukoloni nyie mufilisi
Umechemka kabisa sehemu hii. Hakuna ufanano wowote baina ya Kikwete na Yesu Kristo. Kama hujui Mwandishi wa Biblia anasema nini pale anaposema baba kikombe hiki kiniepuke bora unyamaze. Je unataka kuniambia kwamba Kikwete ana ujasiri kuliko Yesu Kristo? shut up? Sipendi watu kutoa comment za kipagani.
 
Kikwete Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tz, ni masiha wa wapuuzi, wapotovu, na watu wenye mawazo yenye matege.
huyo labda ni masiha wa Kifo, na maangamizo.

Tatizo ukatoliki unakusumbua pamoja na Slaa kuliko maslahi ya taifa
 
Inawezekana halijui hilo. Na kama analijua basi ni genious. Ametumwa kuleta mabadiliko katika taifa hili. Kupitia yeye tutaona mengi yakifumka na mengi yakikaa sawa baadae japo 'wino' wa kutosha waweza patikana.

Bagenda nae hakukosea pale alipoandika kuwa Jakaya ni tumaini lililorejea. Matumaini yana namna nyingi ya kuwafikia walengwa. Hata Yona alitaka kumkimbia Mungu alipopewa kazi ya kwenda Ninawi lakini alifika huko via the hard way-alikaa tumboni mwa samaki kwa siku 3!

Ukimya wa Jakaya ni dalili tosha kuwa nguvu ya umma imeachiwa kufanya kazi. Mtauliza iweje achakachue matokeo ya urais ili aendelee kuwepo madarakani. Wakati fulani hata Yesu aliwahi kusema kabla ya mateso kuwa. 'Baba ikiwezekana kikombe hiki nikiepuke, ila si kwa mapenzi yangu bali yako'. Mungu ili lengo lake litimie ilimbidi mapenzi yake yatimie.

Mifano hii inafanana ila inapishana. Yesu alitaka kuyaepuka mateso lakini Jakaya hakutaka kuiachia ikulu, japo wakati unakuja atafanya hivyo. Ni lazima kupitia yeye nchi hii itakaa sawa. Patakuwa na rabsha hapa kati lakini mwisho wa siku mambo yatakaa sawa. Ndio maana tukapewa mfano wa punje ya ngano, kwamba ili ngano izae ni lazima ioze kwanza. Hata Ngugi wa Thiong'o aliwahi kuandika kuhusu A Grain of Wheat. Lakini si ngano pekee huoza ili ipate kuzaa. Ngano ni mfano wa msingi. Nafaka aina zote pamoja na mbegu huoza kwanza ndipo zikazaa zaidi.

Kwa hiyo wana wa nchi tujue kabisa kwamba jakaya ni Tumaini lililorejea, japo si lazima iwe kufumba na kufumbua ndipo tuyaone maisha bora kwa kila mtanzania. Mungu alipowatoa wana wa Israel toka utumwani Misri aliwapitisha katika jangwa penye kila aina ya shuruba na mahangaiko kwa muda wa miaka arobaini! ili kufikia nchi ya asali na maziwa-naam, nchi ya ahadi. Mungu hakushindwa kuwapaisha mara moja ili kufika Kanani bali alitaka wana wa Israel wajue kuwa yeye ndiye ALIYE! Wajue kuwa maisha si lelemama bali ni tibwili zito. Ili mwisho wa siku watu wathamini maisha pamoja na kile walicho nacho. Wamthamini na yeye (Mungu) pia.

Hata dhahabu ili iweze kuitwa dhahabu safi ni lazima ipitie kwenye moto wa nyuzi elf kadhaa ili iwe dhahabu. Tusione vyaeelea bali vimeundwa. Ndivyo wasemavyo wahenga.

Kwa hiyo ndugu watanzania tukae tukijua kabisa kuwa masiha wetu-Jakaya yupo kazini kutimiza kile alichoitiwa kutimiza-Maisha bora kwa kila mtanzania. Na haya maisha bora hayataletwa na CCM bali CCM inatumika kama chombo tu cha mchakato kuelekea hayo maisha bora. Hata Musa aliambiwa na Mungu kuwa nchi ya ahadi ni ile paleeeee lakini hutaikanyaga!

Watanzania tujiendae kuifikia nchi ya ahadi. Nchi ya asali na maziwa

Digested Crap
 
Nimekisoma kitabu cha A Grain of Wheat na nikakielewa, nimeelewa maana ya bandiko lako, ingawa wenzetu baadhi hapo juu hawajaelewa somo, kwamba mwendendo wa Kikwete wa sasa huenda nsio ukawa mwanzo wa mwisho wa chama chake na mwanzo wa mageuzi katika siasa za Tanzania.
 
tutamkumbuka jk tusubiri tutaona. Ana nia ya kweli ila kuna watu kwa makusudi wanajifanya hawaoni. Ni kama WAGALATIA alowashangaa mtume paulo ni nani aliyewaroga
 
....tatizo letu hatutaki kutumia akili zetu vizuri! Mtoa mada ana ujumbe mzito sana aliouandika kwa filosofia ya hali ya juu sana, kama una macho ya nje huwezi kuelewa, lakini kwa wenye macho ya ndani.....ni rahisi kumwelewa Raia fulani!
 
Mimi mtazamo wangu ni huu;
Mhe. Kikwete sivyo mnavyomtafsiri sivyo alivyo; kikwete kiongozi safi sana. Anaipenda nchi yake sana, kuwapenda watanzania. Mimi bado ninampa credit . Kinachomponza ni umaskini wake, yeye si mroho wa kujilimbikizia mali; ninavyomjua mimi ila mfumo wa chama hauna utaratibu mzuri wa vitega uchumi na kwa kuchangisha pesa kwa wanachama wake ili kukidhi mahitaji ya chama, kama vile kampeni na mambo mengine. Hali hiyo inatoa mwanya kwa watu wabaya wasioitakia mema nchi yetu kujichomeka na kujidai kukisaidia chama lakini kwa masharti. Masharti hayo ndio yanayomponza Rais wetu. Mimi naamini Mhe. Rais anaweza kuyaweka mambo sawa, na ndio maana kanyamaza kimya bado anatafakari mambo ya busara; hawezi kukurupuka tu na kuongea hovyo!!! Mimi nashauri tuondoe jazba tumpe muda Rais wetu, bado anayo nafasi nzuri ya kutufanyia mema zaidi kama alivyoahidi kuwa atahakikisha "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" si kitu cha mara moja tu kutekeleza, unahitajika muda wa kutosha!!!!!!!!!!!!Tumuombe MUNGU atupe nyoyo za subira!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama kweli JK yuko tayari kutupeleka kwenye ile nnchi ya Asali na Maziwa iweje mpaka leo hajui ni kwanini watanzania ni masikini? Wacha amalizie ngwe yake tumpate Masiha lakini si JK awe ndie Masiha pole sana Mukulu unakibarua kizito cha kutaka JK ndiye awe masiha.
 
nimekukubali kuwa unajitahidi kwenye falsafa na message yako imekaa vizuri but somewhere somehow began to read more like the mixture of anew and old testament bible,i mean u began to sound like kakobe ,but all in all message is good but it takes people like i and few to get ur philosophy so next time try to get straight to the point thats what these great thinkers want...dont **** around
 
Inawezekana halijui hilo. Na kama analijua basi ni genious. Ametumwa kuleta mabadiliko katika taifa hili. Kupitia yeye tutaona mengi yakifumka na mengi yakikaa sawa baadae japo 'wino' wa kutosha waweza patikana.

Bagenda nae hakukosea pale alipoandika kuwa Jakaya ni tumaini lililorejea. Matumaini yana namna nyingi ya kuwafikia walengwa. Hata Yona alitaka kumkimbia Mungu alipopewa kazi ya kwenda Ninawi lakini alifika huko via the hard way-alikaa tumboni mwa samaki kwa siku 3!

Ukimya wa Jakaya ni dalili tosha kuwa nguvu ya umma imeachiwa kufanya kazi. Mtauliza iweje achakachue matokeo ya urais ili aendelee kuwepo madarakani. Wakati fulani hata Yesu aliwahi kusema kabla ya mateso kuwa. 'Baba ikiwezekana kikombe hiki nikiepuke, ila si kwa mapenzi yangu bali yako'. Mungu ili lengo lake litimie ilimbidi mapenzi yake yatimie.

Mifano hii inafanana ila inapishana. Yesu alitaka kuyaepuka mateso lakini Jakaya hakutaka kuiachia ikulu, japo wakati unakuja atafanya hivyo. Ni lazima kupitia yeye nchi hii itakaa sawa. Patakuwa na rabsha hapa kati lakini mwisho wa siku mambo yatakaa sawa. Ndio maana tukapewa mfano wa punje ya ngano, kwamba ili ngano izae ni lazima ioze kwanza. Hata Ngugi wa Thiong'o aliwahi kuandika kuhusu A Grain of Wheat. Lakini si ngano pekee huoza ili ipate kuzaa. Ngano ni mfano wa msingi. Nafaka aina zote pamoja na mbegu huoza kwanza ndipo zikazaa zaidi.

Kwa hiyo wana wa nchi tujue kabisa kwamba jakaya ni Tumaini lililorejea, japo si lazima iwe kufumba na kufumbua ndipo tuyaone maisha bora kwa kila mtanzania. Mungu alipowatoa wana wa Israel toka utumwani Misri aliwapitisha katika jangwa penye kila aina ya shuruba na mahangaiko kwa muda wa miaka arobaini! ili kufikia nchi ya asali na maziwa-naam, nchi ya ahadi. Mungu hakushindwa kuwapaisha mara moja ili kufika Kanani bali alitaka wana wa Israel wajue kuwa yeye ndiye ALIYE! Wajue kuwa maisha si lelemama bali ni tibwili zito. Ili mwisho wa siku watu wathamini maisha pamoja na kile walicho nacho. Wamthamini na yeye (Mungu) pia.

Hata dhahabu ili iweze kuitwa dhahabu safi ni lazima ipitie kwenye moto wa nyuzi elf kadhaa ili iwe dhahabu. Tusione vyaeelea bali vimeundwa. Ndivyo wasemavyo wahenga.

Kwa hiyo ndugu watanzania tukae tukijua kabisa kuwa masiha wetu-Jakaya yupo kazini kutimiza kile alichoitiwa kutimiza-Maisha bora kwa kila mtanzania. Na haya maisha bora hayataletwa na CCM bali CCM inatumika kama chombo tu cha mchakato kuelekea hayo maisha bora. Hata Musa aliambiwa na Mungu kuwa nchi ya ahadi ni ile paleeeee lakini hutaikanyaga!

Watanzania tujiendae kuifikia nchi ya ahadi. Nchi ya asali na maziwa

Napinga matumizi ya neno "MASIHI" katika bandiko lako.....
 
Kikwete ni sawa na Lucifer yule malaika alieasi akatupwa from mbinguni na tangia hapo ni kilio na kusaga meno. Tnagu aingie madarakani ni kilio na kusaga meno.
 
Back
Top Bottom