Kikwete ni Masiha

Kikwete ni Masiha

May be Masihi wako, na watu wa aina yako; kwa Watanzania wengi, your comments are not only irritating but offending....masihi, you you even know what the meaning of Messiah is? The "anointed" of the Lord, used particularly for Christ; you you confer Christ's title to JK? What an abomination....Mwombe Mungu akusamehe kwa kufuru hizo...Wewe kweli unafaidi vya wafisadi, ndio maana hata unazungumzia juu ya ahadi, nchi yetu tunayo, na maziwa na asali wanakula watu kama wewe na those of the likes of huyo unayemfagilia...you provoke others to the limits, stop such nonsense
hata HITLA kuna watu watu walikuwa wana muona vivyohivyo inategemea uko upande gani.kwahiyo sishangai kuona watu wa aina yako wakikesha wakiomba abaki milele ili na wao wafaidi milele.kuna watanzania maelfu kwa maelfu wanakula mlo mmoja tena wa kubahatisha chini ya utawala huu halafu wewe unaleta masihara? iko siku.
 
Kuna masiha wa kweli wa kuteuliwa na Mwenyezi Mungu mwenyewe;na kuna masiha wa Uongo wasioteuliwa na Bwana Mungu wa wote wenye mwili ! Tafakari mwenyewe, kwamba Kikwete yupo kundi gani la masiha ?
 
This is Jf, bwaaaah! Watu wakielemewa na mastress yao wanakuja kuanzisha thread hapa kuwaongezea wengine stress zao matokeo yake wote mnabaki pale pale na kumtafuta mtu wa kumtwisha uvivu wenu. Mtu huyo anaweza kuwa mungu, kikwete, nyerere and what ever lakini ukweli unabaki pale pale wamatumbi nyie fanyeni kazi kwa ubunifu na juhudi kubwa mtatoka tu, mkitegemea raisi aje awaondolee ugumu wa maisha yenu bado sana hata raisi awe nani hawezi mko wengi mno na kila kukicha mnaongezeka jifunzeni kutoka China, India na Brazil.

Ubunifu huu wa thread bora mngeweka katika uzalishaji mali hatua ingepigwa.
 
mzee wa miba na songambele na wengine, msilolijua ni kama usiku wa kiza. Au msome tena ujumbe kwa uzuri
 
ni masiha kwa upeo wako mdogo,mimi namwona ni kilaza fulani tu,labda kama ni masiha wa mafisadi kwani aliwapa kila watakacho baada ya wao kumpisha kwa mtandao wa kishetani hapo chimwaga hall 2005.

its been a long time but upeo wangu mdogo utadhihirika
 
Halafu eti humu kuna watu wanajiita Great Thinkers wakati uwezo wao wakufikiri ni mdogo, mtoa mmada ana ujumbe mzito hata kama presentation amekosea kuipanga lakini kwa mtu yeyote anaesoma na kutafakari kabla hajacoment kitu atakubaliana na mada hii.
Hata mimi nimeanza kuamini kwamba kikwete ni chaguo la mungu kwa sababu hizi hapa;
1. ndio kiongozi dhaifu kuwahi kutokea hapa Tanzania huenda mungu ukombozi wetu anauleta kwa kumtumia kikwete ili muone ishara zote kwamba ccm haina tena uhalali wa kutawala, ili tuiondoe kwa amani kupitia masanduku ya kura.
2. Mzee mwinyi aliwahi kuonesha ujasiri na maamuzi magumu kwa kumfukuza kazi Augustino Mrema, lakini kikwete hilo kwake sahau.
3. kuendelea kumvumilia makamba kuwa katibu mkuu wa ccm wakati ccm imesheni wasomi na watu makini wenye vission, hiyo ni ishara ya nyakati kwamba mungu anamtumia kikwete na makamba ili Watanzania wairudishe nchi yao mikononi mwao na tuanze kujitawala wenyewe.
Ushauri: tujifunze kwanza kujuwa mwandishi wa hoja yeyote ana maudhui gani kabla ya kubwabwaja bila kujuwa

Huyu kweli ni masiha wa familia ya Mwangosi. Ni masiha Mkubwa sana kwa wagonjwa na madaktari hasa tukikumbuka Dr. Ulimboka. Ni masiha wa wamama wanaojifungulia kule Mananyamala na mhimbili tena chini huku wenzao wakichekiwa afya zao India. Ebu muone yule binti wa miaka 65 anapopiga ile suti na masiha wakienda India kuchekiwa meno wanavyopendeza huku watoto wetu wakifia maleria pale Mhimbili, Bugando, na KCMC? Ni masiha wa tembo waliomalizika porini pamoja na simba. Sasa tunaambiwa hata punda haoo China. Ni masiha wa watu wa Mtwara na gesi yao si unakumbuka jeshi lilivyowadhibiti? Uzuri ni kuwa walishasahau siku nyingi wala hawakumbuki kitu maana masiha akipita hao wamejipanga kama kwamba hakuna mkataba mbovu hata mmoja uliokwisha signiwa kuihujumu nchi hii. Tumshukuru huyu masiha kwa dhati kwani ametuamsha toka usingizini na sasa upepo unageuka haraka kuliko alivyotegemea. Ukiona Darisalaaama wenyeji wamejikakamua ujue masiha yuko bandarini na ukombozi waja. Usisahau yale mabomu kule Arusha maana wale hata ukiuwa hapo nusu waliosalia bado wanaendelea na safari. Hata kifo hakiwazuii wale kabisaaa. Ni unawalenga risasi, mabomu, wapi masiha wanamwona na wala hawamwogopi kamwe. Ni masiha wa Wamasai. Ukiona Mmasai amechoma kadi ya chama chake jua masiah yuko karibu ya hakuna rangi ya ukombozi hutana.
 
Huyu kweli ni masiha wa familia ya Mwangosi. Ni masiha Mkubwa sana kwa wagonjwa na madaktari hasa tukikumbuka Dr. Ulimboka. Ni masiha wa wamama wanaojifungulia kule Mananyamala na mhimbili tena chini huku wenzao wakichekiwa afya zao India. Ebu muone yule binti wa miaka 65 anapopiga ile suti na masiha wakienda India kuchekiwa meno wanavyopendeza huku watoto wetu wakifia maleria pale Mhimbili, Bugando, na KCMC? Ni masiha wa tembo waliomalizika porini pamoja na simba. Sasa tunaambiwa hata punda haoo China. Ni masiha wa watu wa Mtwara na gesi yao si unakumbuka jeshi lilivyowadhibiti? Uzuri ni kuwa walishasahau siku nyingi wala hawakumbuki kitu maana masiha akipita hao wamejipanga kama kwamba hakuna mkataba mbovu hata mmoja uliokwisha signiwa kuihujumu nchi hii. Tumshukuru huyu masiha kwa dhati kwani ametuamsha toka usingizini na sasa upepo unageuka haraka kuliko alivyotegemea. Ukiona Darisalaaama wenyeji wamejikakamua ujue masiha yuko bandarini na ukombozi waja. Usisahau yale mabomu kule Arusha maana wale hata ukiuwa hapo nusu waliosalia bado wanaendelea na safari. Hata kifo hakiwazuii wale kabisaaa. Ni unawalenga risasi, mabomu, wapi masiha wanamwona na wala hawamwogopi kamwe. Ni masiha wa Wamasai. Ukiona Mmasai amechoma kadi ya chama chake jua masiah yuko karibu ya hakuna rangi ya ukombozi hutana.
Tuko pamoja sana. Heri wanaosoma wakaelewa maana si lazima kuwaandikia kama taarifa ya habari. JK anakwenda kudhihirisha kuwa yeye ni mjumbe wa mabadiliko. Ni 'masiha' wa maisha bora kwa kila mtanzania.
 
Watanzania wengi ni wavivu wa kusoma has a tena inapokuja mada ndefu au iliyoandikwa kwenye muundo wa Sana'a(usanii). Mwandishi ametumia ulumbi ufundi wa maneno kufikisha ujumbe hivyo kama Somo la kuchambua vitabu kidato cha tatu limekushinda shuleni huwezi kumuelewa hivyo usimulaumu
 
Daaaa ni message ya 2011 lakini imetimia sasa, kweli kupitia JK ndio LOWASA. ametuwa ukawa na maisha bora yanakwenda kupatikana sasa. ...Ahsante mh Dr Kikwete
 
Inawezekana halijui hilo. Na kama analijua basi ni genious. Ametumwa kuleta mabadiliko katika taifa hili. Kupitia yeye tutaona mengi yakifumka na mengi yakikaa sawa baadae japo 'wino' wa kutosha waweza patikana.

Bagenda nae hakukosea pale alipoandika kuwa Jakaya ni tumaini lililorejea. Matumaini yana namna nyingi ya kuwafikia walengwa. Hata Yona alitaka kumkimbia Mungu alipopewa kazi ya kwenda Ninawi lakini alifika huko via the hard way-alikaa tumboni mwa samaki kwa siku 3!

Ukimya wa Jakaya ni dalili tosha kuwa nguvu ya umma imeachiwa kufanya kazi. Mtauliza iweje achakachue matokeo ya urais ili aendelee kuwepo madarakani. Wakati fulani hata Yesu aliwahi kusema kabla ya mateso kuwa. 'Baba ikiwezekana kikombe hiki nikiepuke, ila si kwa mapenzi yangu bali yako'. Mungu ili lengo lake litimie ilimbidi mapenzi yake yatimie.

Mifano hii inafanana ila inapishana. Yesu alitaka kuyaepuka mateso lakini Jakaya hakutaka kuiachia ikulu, japo wakati unakuja atafanya hivyo. Ni lazima kupitia yeye nchi hii itakaa sawa. Patakuwa na rabsha hapa kati lakini mwisho wa siku mambo yatakaa sawa. Ndio maana tukapewa mfano wa punje ya ngano, kwamba ili ngano izae ni lazima ioze kwanza. Hata Ngugi wa Thiong'o aliwahi kuandika kuhusu A Grain of Wheat. Lakini si ngano pekee huoza ili ipate kuzaa. Ngano ni mfano wa msingi. Nafaka aina zote pamoja na mbegu huoza kwanza ndipo zikazaa zaidi.

Kwa hiyo wana wa nchi tujue kabisa kwamba jakaya ni Tumaini lililorejea, japo si lazima iwe kufumba na kufumbua ndipo tuyaone maisha bora kwa kila mtanzania. Mungu alipowatoa wana wa Israel toka utumwani Misri aliwapitisha katika jangwa penye kila aina ya shuruba na mahangaiko kwa muda wa miaka arobaini! ili kufikia nchi ya asali na maziwa-naam, nchi ya ahadi. Mungu hakushindwa kuwapaisha mara moja ili kufika Kanani bali alitaka wana wa Israel wajue kuwa yeye ndiye ALIYE! Wajue kuwa maisha si lelemama bali ni tibwili zito. Ili mwisho wa siku watu wathamini maisha pamoja na kile walicho nacho. Wamthamini na yeye (Mungu) pia.

Hata dhahabu ili iweze kuitwa dhahabu safi ni lazima ipitie kwenye moto wa nyuzi elf kadhaa ili iwe dhahabu. Tusione vyaeelea bali vimeundwa. Ndivyo wasemavyo wahenga.

Kwa hiyo ndugu watanzania tukae tukijua kabisa kuwa masiha wetu-Jakaya yupo kazini kutimiza kile alichoitiwa kutimiza-Maisha bora kwa kila mtanzania. Na haya maisha bora hayataletwa na CCM bali CCM inatumika kama chombo tu cha mchakato kuelekea hayo maisha bora. Hata Musa aliambiwa na Mungu kuwa nchi ya ahadi ni ile paleeeee lakini hutaikanyaga!

Watanzania tujiendae kuifikia nchi ya ahadi. Nchi ya asali na maziwa


Mkuu Raia Fulani, wewe unaweza kuwa Nabii ndani ya JF big up kwa kuona mbali
 
Katumia nguvu ndogo kufikiri ameangalia njia zamafanikio zilizokwisha wekwa na team CCM na baada ya kujua maendeleo hayawezi kuja kama upepo.
 
Daaaa ni message ya 2011 lakini imetimia sasa, kweli kupitia JK ndio LOWASA. ametuwa ukawa na maisha bora yanakwenda kupatikana sasa. ...Ahsante mh Dr Kikwete
Yeah nimeelewa hivyo pia!!!,!Kama sio judi zako Kikwete na lowassa tungepata wapi?????
 
Back
Top Bottom