Kikwete ni Masiha

Kikwete ni Masiha

wewe umeshindwa kupotray mawazo yako, lakini mimi nadhani una maanisha JK ni Kafara ili nchi yetu itoke katika huu utumwa. Hawezi kuwa masihi maana mwisho wa siku masihi ana pata heshima ya kuwakomboa watu. Kupitia JK CCM itaanguka na mapinduzi yatapaikana. lakini hata pata credit kwa mateso ambayo watu hivi sasa wanayapata kwa sababu yake.
Angekuwa Masihi angewaisafisha nchi kwa ufisadi hata kama mafisadi wangemshambulia bado mungu angekuwa pamoja naye kuliko kushiriki matendo yao kama anavyofanya sasa.

Sikubaliani na wewe katika hili kafikiri upya mzee.
 
Naam, yaliyotabiriwa hayako mbali sana. Mchakato wa katiba ni mwanzo wa Tanzania mpya. Tukae tukisubiri, na tusiache kuliombea Taifa letu kufikia huko kwema
 
Naam, yaliyotabiriwa hayako mbali sana. Mchakato wa katiba ni mwanzo wa Tanzania mpya. Tukae tukisubiri, na tusiache kuliombea Taifa letu kufikia huko kwema
Raia Fulani,
Wewe ni kiona mbali. Nadhani wengi hawajakuelewa.
 
Kikwte mesiah? U mean ako sawa na Jesus Christ? Dah! May b u hav gotten ua own meaning of that word mesiah!
 
Jaribuni kutuliza mawazo na kusoma tena kwa uzuri ndio mjue ninamaaisha nini. Nimesema si CCM itatupatia maisha bora bali CCM kupitia jk ni chombo tu cha kutufanya watanzania tuamke. Mdau mmoja hapo juu katumia lugha ya kawaida ya kusema ni ajent. True, ila nina sababu za kutuia jina la masiha

mi nimekuelewa ila watu sasa hivi naona kama wanataka kupnda tu mbona hii thread imekaa vizuri, sema watu wanakurupuka, maana mawazo yako ni kuhusu mustakabali mzima wa sasa na baadae yaani kuonekana kikwete hayuko makini huenda ndio faida kubwa sana kwa ukombozi wa tazania baadae.
 
Mmh! Kwamba na yeye nchi ya maziwa na asali hataiona kama MUSA! Ila atatufikisha huko!! Daah! Nimeshindwa kuwaza!! Kikwete huyuhuyu!? Ambaye kukaa tz wk nzma ni taabu kwake!! Huko nje tunajuaje kama haendi kuuza nchi!! Niaminivyo mim wamagharibi si wema kwetu! Lakin huyu masihi wa RAIA FULAN ni kipenzi chao! Usiseme kuwa anawahubiria habari njema kama Yesu alivyofanya kwa watoza ushuru!! Hapana!,kwan anawapa madin yetu bureee, wanyama kama twiga bureee, aridhi bureee, n.k!! Huyu ndo masiha kweli???
 
Mmh! Kwamba na yeye nchi ya maziwa na asali hataiona kama MUSA! Ila atatufikisha huko!! Daah! Nimeshindwa kuwaza!! Kikwete huyuhuyu!? Ambaye kukaa tz wk nzma ni taabu kwake!! Huko nje tunajuaje kama haendi kuuza nchi!! Niaminivyo mim wamagharibi si wema kwetu! Lakin huyu masihi wa RAIA FULAN ni kipenzi chao! Usiseme kuwa anawahubiria habari njema kama Yesu alivyofanya kwa watoza ushuru!! Hapana!,kwan anawapa madin yetu bureee, wanyama kama twiga bureee, aridhi bureee, n.k!! Huyu ndo masiha kweli???

utaelewa tu. Na kuhusu kuingia nchi ya ahadi hataingia kaama rais bali mwananchi wa kawaida tu
 
mi nimekuelewa ila watu sasa hivi naona kama wanataka kupnda tu mbona hii thread imekaa vizuri, sema watu wanakurupuka, maana mawazo yako ni kuhusu mustakabali mzima wa sasa na baadae yaani kuonekana kikwete hayuko makini huenda ndio faida kubwa sana kwa ukombozi wa tazania baadae.

kweli mkuu. Inawezekana hayuko makini kwa kujua ama kutokujua, lakini mwisho wa siku yote a na b ni faida kwetu wananchi
 
Uko serious na unaloliandika au una tudhihaki Watanzania.Kama you are serious nakusamehe bure mana hujui utendalo.Kama una tudhihaki naomba uache utani wako.Matumbo yanauma kwa yale yanayotokea Tanzania.
 
ingekuwa ni Uislamu, maandamano yangefanywa nchi nzima! Amelaaniwa mtu alitumiaye jina la Mwokozi ovyo. Kuwa na busara, hilo ni jina takatifu na si la kumpa mtu mtu tu kama Kikwete. Ushindwe
 
Yawezekana mkiwa sekondari hamkusoma fasihi andishi vizuri. Katika kuchambua kitabu mngekutana na maneno kama satire, irony, etc. Kuna kitabu kiliandikwa na Henrik Ibsen, nadhani ni 'play' kinaitwa 'an enemy of the people'. Hakika katika uchambuzi mngechemsha. Si kila kitu kinasomeka kama kilivyo. Your mind has to be supple sometimes to understand some inner and hidden issues
 
Yawezekana mkiwa sekondari hamkusoma fasihi andishi vizuri. Katika kuchambua kitabu mngekutana na maneno kama satire, irony, etc. Kuna kitabu kiliandikwa na Henrik Ibsen, nadhani ni 'play' kinaitwa 'an enemy of the people'. Hakika katika uchambuzi mngechemsha. Si kila kitu kinasomeka kama kilivyo. Your mind has to be supple sometimes to understand some inner and hidden issues

usilete literature kwenye imani. Unajua kilichoikuta CCM kusini? Kwa kutumia 'utatu' kwenye kampeni. Shindwa
 
usilete literature kwenye imani. Unajua kilichoikuta CCM kusini? Kwa kutumia 'utatu' kwenye kampeni. Shindwa

hata wangetumia umoja wangesambaratishwa tu maana ilishaandikwa kuwa watatoweshwa tu siku moja. Hata wewe nakuhamasisha uendelee kuamini kuwa jk ni 'masihi'
 
Inawezekana halijui hilo. Na kama analijua basi ni genious. Ametumwa kuleta mabadiliko katika taifa hili. Kupitia yeye tutaona mengi yakifumka na mengi yakikaa sawa baadae japo 'wino' wa kutosha waweza patikana.

Bagenda nae hakukosea pale alipoandika kuwa Jakaya ni tumaini lililorejea. Matumaini yana namna nyingi ya kuwafikia walengwa. Hata Yona alitaka kumkimbia Mungu alipopewa kazi ya kwenda Ninawi lakini alifika huko via the hard way-alikaa tumboni mwa samaki kwa siku 3!

Ukimya wa Jakaya ni dalili tosha kuwa nguvu ya umma imeachiwa kufanya kazi. Mtauliza iweje achakachue matokeo ya urais ili aendelee kuwepo madarakani. Wakati fulani hata Yesu aliwahi kusema kabla ya mateso kuwa. 'Baba ikiwezekana kikombe hiki nikiepuke, ila si kwa mapenzi yangu bali yako'. Mungu ili lengo lake litimie ilimbidi mapenzi yake yatimie.

Mifano hii inafanana ila inapishana. Yesu alitaka kuyaepuka mateso lakini Jakaya hakutaka kuiachia ikulu, japo wakati unakuja atafanya hivyo. Ni lazima kupitia yeye nchi hii itakaa sawa. Patakuwa na rabsha hapa kati lakini mwisho wa siku mambo yatakaa sawa. Ndio maana tukapewa mfano wa punje ya ngano, kwamba ili ngano izae ni lazima ioze kwanza. Hata Ngugi wa Thiong'o aliwahi kuandika kuhusu A Grain of Wheat. Lakini si ngano pekee huoza ili ipate kuzaa. Ngano ni mfano wa msingi. Nafaka aina zote pamoja na mbegu huoza kwanza ndipo zikazaa zaidi.

Kwa hiyo wana wa nchi tujue kabisa kwamba jakaya ni Tumaini lililorejea, japo si lazima iwe kufumba na kufumbua ndipo tuyaone maisha bora kwa kila mtanzania. Mungu alipowatoa wana wa Israel toka utumwani Misri aliwapitisha katika jangwa penye kila aina ya shuruba na mahangaiko kwa muda wa miaka arobaini! ili kufikia nchi ya asali na maziwa-naam, nchi ya ahadi. Mungu hakushindwa kuwapaisha mara moja ili kufika Kanani bali alitaka wana wa Israel wajue kuwa yeye ndiye ALIYE! Wajue kuwa maisha si lelemama bali ni tibwili zito. Ili mwisho wa siku watu wathamini maisha pamoja na kile walicho nacho. Wamthamini na yeye (Mungu) pia.

Hata dhahabu ili iweze kuitwa dhahabu safi ni lazima ipitie kwenye moto wa nyuzi elf kadhaa ili iwe dhahabu. Tusione vyaeelea bali vimeundwa. Ndivyo wasemavyo wahenga.

Kwa hiyo ndugu watanzania tukae tukijua kabisa kuwa masiha wetu-Jakaya yupo kazini kutimiza kile alichoitiwa kutimiza-Maisha bora kwa kila mtanzania. Na haya maisha bora hayataletwa na CCM bali CCM inatumika kama chombo tu cha mchakato kuelekea hayo maisha bora. Hata Musa aliambiwa na Mungu kuwa nchi ya ahadi ni ile paleeeee lakini hutaikanyaga!

Watanzania tujiendae kuifikia nchi ya ahadi. Nchi ya asali na maziwa
NI KWELI KIKWETE ANASTAHILI PONGEZI INGAWA PIA KUNA ANAYOKOSEA,LAKINI UKWELI ULIOWAZI TUKIACHA TOFAUTI ZETU ZA VYAMA VYA SIASA,Kikwete anastahili pongezi ni kweli muda mwingine huwa anateleza hata watu kukosa imani naye lakini ni mwanadamu anahitaji pongezi kwa mtu yeyote mwenye akili timam
 
Inawezekana halijui hilo. Na kama analijua basi ni genious. Ametumwa kuleta mabadiliko katika taifa hili. Kupitia yeye tutaona mengi yakifumka na mengi yakikaa sawa baadae japo 'wino' wa kutosha waweza patikana.

Bagenda nae hakukosea pale alipoandika kuwa Jakaya ni tumaini lililorejea. Matumaini yana namna nyingi ya kuwafikia walengwa. Hata Yona alitaka kumkimbia Mungu alipopewa kazi ya kwenda Ninawi lakini alifika huko via the hard way-alikaa tumboni mwa samaki kwa siku 3!

Ukimya wa Jakaya ni dalili tosha kuwa nguvu ya umma imeachiwa kufanya kazi. Mtauliza iweje achakachue matokeo ya urais ili aendelee kuwepo madarakani. Wakati fulani hata Yesu aliwahi kusema kabla ya mateso kuwa. 'Baba ikiwezekana kikombe hiki nikiepuke, ila si kwa mapenzi yangu bali yako'. Mungu ili lengo lake litimie ilimbidi mapenzi yake yatimie.

Mifano hii inafanana ila inapishana. Yesu alitaka kuyaepuka mateso lakini Jakaya hakutaka kuiachia ikulu, japo wakati unakuja atafanya hivyo. Ni lazima kupitia yeye nchi hii itakaa sawa. Patakuwa na rabsha hapa kati lakini mwisho wa siku mambo yatakaa sawa. Ndio maana tukapewa mfano wa punje ya ngano, kwamba ili ngano izae ni lazima ioze kwanza. Hata Ngugi wa Thiong'o aliwahi kuandika kuhusu A Grain of Wheat. Lakini si ngano pekee huoza ili ipate kuzaa. Ngano ni mfano wa msingi. Nafaka aina zote pamoja na mbegu huoza kwanza ndipo zikazaa zaidi.

Kwa hiyo wana wa nchi tujue kabisa kwamba jakaya ni Tumaini lililorejea, japo si lazima iwe kufumba na kufumbua ndipo tuyaone maisha bora kwa kila mtanzania. Mungu alipowatoa wana wa Israel toka utumwani Misri aliwapitisha katika jangwa penye kila aina ya shuruba na mahangaiko kwa muda wa miaka arobaini! ili kufikia nchi ya asali na maziwa-naam, nchi ya ahadi. Mungu hakushindwa kuwapaisha mara moja ili kufika Kanani bali alitaka wana wa Israel wajue kuwa yeye ndiye ALIYE! Wajue kuwa maisha si lelemama bali ni tibwili zito. Ili mwisho wa siku watu wathamini maisha pamoja na kile walicho nacho. Wamthamini na yeye (Mungu) pia.

Hata dhahabu ili iweze kuitwa dhahabu safi ni lazima ipitie kwenye moto wa nyuzi elf kadhaa ili iwe dhahabu. Tusione vyaeelea bali vimeundwa. Ndivyo wasemavyo wahenga.

Kwa hiyo ndugu watanzania tukae tukijua kabisa kuwa masiha wetu-Jakaya yupo kazini kutimiza kile alichoitiwa kutimiza-Maisha bora kwa kila mtanzania. Na haya maisha bora hayataletwa na CCM bali CCM inatumika kama chombo tu cha mchakato kuelekea hayo maisha bora. Hata Musa aliambiwa na Mungu kuwa nchi ya ahadi ni ile paleeeee lakini hutaikanyaga!

Watanzania tujiendae kuifikia nchi ya ahadi. Nchi ya asali na maziwa

KAFIRI MKUBWA WEWE DHIDI YA UKRISTO.Ni dhambi kubwa sana kumfananishe Binadamu na Masiha(Yesu Kristo).Huenda nia yako ilikuwa kumsifia au Kumtetea rais,lakini kwanini umfananishe na Masiha au Kristo?.Kwahiyo Wakristo wanamwabudu Kikwete kwa akili yako chafu?.Umevuka mipaka ndugu.NAOMBA MODS WAKUFUNGIE MILELE
 
thread hii imeanzishwa kupima hasira zetu wanajamvi haina tija.
 
Back
Top Bottom