Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,220
- 52
Nimehamasika sana na haya matukio, wamemfungia Kubenea kwa nini sasa ilihali taarifa alizozitoa zina fanana na haya matukio????
WITO: matukio haya yawe kama Propeller kwetu kwa ajili ya kuhamasisha na kuelimisha wananchi kwa ajili ya uchaguzi 2010 tuko kwenye pos nzuri na wakati mzuri kabisa.....
WITO: matukio haya yawe kama Propeller kwetu kwa ajili ya kuhamasisha na kuelimisha wananchi kwa ajili ya uchaguzi 2010 tuko kwenye pos nzuri na wakati mzuri kabisa.....