Kikwete Mbeya: Mgongano na wananchi na mwitikio wa serikali

Akitaka akagombee urais Marekani,Zimbabwe,Sudan,au akawe rais wa Real Madrd.

Yes,Hasira zinaanza kulipuka taratibu.Watakiona cha mtemakuni,kama hataki aachie mamlaka!

Let him pay the price, kayataka mwenyewe anadhani watz bado wanataka mchezo, watu wamechoka na maisha magumu, kina lowassa wanagonganishana glass za nvinyo huku wakimbinya mapumb.... yake kwa furaha hali anaweza kuwakataza wasimbinye

WITO... jamani tunahitaji kujitolea hili kuinyang'anya tz toka kwa mafisadi.. wanasheria tunaomba mjitolee kuwasaidia watu hawa wanaoshikiliwa na vibaraka wao huko mbea
 
Hhahaha hiyo ndio Mbeya ambayo alikuwa anaisikiaa na alikuwa ana ignore kwenda........
 
Mbona hata zomea zomea nasikia inaendelea huko MBY lakini watu hawaweki wazi kabisa sijui wanaogopa kufungiwa?
Na lazima ajutie ubia wa urais.
 
Aisee hii kali walevi wapige mawe msafara wa Mhe. rais! hii haijawahi kutokea. By the way, muungwana anapata ujumbe stahili siyo zile jumbe za Rweyemamu salva eti "atang'olewaje Rais mwenye mafanikio makubwa... anayependwa na wananchi... anayeng'ara duniani kote na kuigwa na Marais wengine! wapi bana!

Tell them bwana,kwa hiyo kwa sasa muungwana anaanza kukosa amani katika nchi yake mwenyewe,hii hatari.
 
Siifurahishwi na hili jambo hata kidogo japo linatoa message ya moja kwa moja kwa mhusika kwamba wananchi hata wale ambao tulizoea kuwaona wakishangilia hata visivyostahili kisa vinasemwa na kiongozi wa juu wa nchi wamefika mahali wanaanza kutambua.Wananchi wa kawaida wanaoishi vijijini ambao kwao kupanda kwa gharama ya maisha wanaiona kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta ya taa ambayo wanatumia katika vibatari vyao(ikumbukwe bei hii imepanda maradufu tokea kuingia kwa awamu ya JK).

Bei za pembejeo za kilimo ziko juu,hivyo kuwafanya wakulima wengi kutotumia mbolea na hivyo kufanya uzalishaji wao kuwa mdogo.

Badala ya kutumia nguvu kubwa katika kukabiliana na wananchi hawa wenye uchungu,nafikiri ilikuwa ni vyema muungwana kutuma watu wa usalama wachunguze ni nini hasa madai/matatizo ya wananchi hawa yanayopelekea wawe na chuki kiasi hicho kwa kiongozi wao wa nchi.Hiyo itamsaidia kufahamu vipaumbele vyake viwe nini kwasasa na pengine inaweza kumfanya akaahirisha ziara zake za amerika kusini na marekani anazotarajia kuzifanya hv karibuni.

Nasema hili liwe fundisho kwa viongozi wetu kwamba wananchi wa Tanzania wasasa wameamka na si wajinga tena.
 
Huyu Mwakipesile anajifanya mungu mtu?. Wananchi wa mkoa wa mbeya hawakutaki kwanini wasiseme?. Mwakipesile na kundi lake waachilieni vijana hao mara moja ama na wewe watoto wako hawatakwenda shule ama popote pale.

Ni matokeo ya kulelewa hivyo, kama boss wao JAKAYA KIKWETE hayuko serious kwanini kwa kupesile asitumie mwanya huo???
 
....nasikiliza kibao cha super rainbow....

.....walisemaaaaa dalili za mvua ni mawinguuuuuuuuuu

..walionipenda wanigeukaaaa........""

NDIO ....maumivu ya kichwa huanza pole pole.....

MARA YA KWANZA TANGU TUPATE UHURU ....RAIS KUPIGWA MAWEE.....NINASIKITIKA HASA UKIZINGATIA NAFASI NA UTUKUFU WA CHEO CHA URAIS...LAKINI INAELEKEA SASA WANANCHI WAMEMCHOKA RAIS...NA AHADI ZAKE....FIKIRIA ANA MIAKA SABA MBELE ...ITAKUWAJE...MAYAI VIZA !!!

NAFIKIRI ANAWEZA KUFIKIRIA KURUDI DAR AJE AKUTANE NA WALIMU NA EAC GETINI...SASA ATAKIMBILIA WAPI MAREKANI AU MEXICO!!!

HII NI WIKI MBAYA KWA MARAIS ..RAIS WA WALIMU KAPIGWA MAWE NA RAIS WA JAMHURII KAPIGWA MAWEE...AISEEE VERY SAD!!!!..DUA LA WALIMU NINI.....
 
Sio vizuri kujisifia, mchango wa JF katika haya mabadiliko ya FIKRA tunayoyashuhudia Tarime, Mbeya na kwingineko ni mkubwa tu ingawa unaweza usionekane wazi.
 
mbona hata zomea zomea nasikia inaendelea huko mby lakini watu hawaweki wazi kabisa sijui wanaogopa kufungiwa?
Na lazima ajutie ubia wa urais.

........kaka ujuwe nilisema hapo mwanzo kuwa taarifa za ndani nilizokuwa nazo ni kuwa ziara ya rais mbeya ilitawaliwa na kukataliwa na wananchi...kuzomewa ..fisadi!..ets ..na nguvu kubwa sana ilitumika kuwaweka sawa waandishi wanaoongozana naye ili siri isivuje....hata hili la kupigwa ni bahati tu limevuja....tusingeambiwa!!...sasa hata hii habari ya leo utashangaa kuwa ni gazeti moja tu lililotoa....mengine hayakutoa...nadhani dada sakina ..mharrir wa ipp amefanya ujasiri wa ajabu....au salva aliamini kuwa asingeandika na hakuona haja ya kuongea naye.....

Na dhambi ilivyombaya yale mawe yaliyopigwa yamewaumiza baadhi ya waandishi wa habari ..ambao wanafuatana na msafara ..na baadhi ya wapambe wake........wakome kuficha habari!
 
Kwa nini msafara wasafiri usiku?Halafu wanadanganya waliotupa mawe eti ni walevi,
Maana nasikia hadi gari la Salma Kikwete limevunjwa kioo na baadhi ya waandishi wamejeruhiwa
Samahani wana JF marekebisho kidogo nimefuatilia zaidi, walio umizwa ni watu wliokuwa kwenye msafara na waandishi na Salma amekoswa koswa gali lake limejeruhiwa
 
Samahani wana JF marekebisho kidogo nimefuatilia zaidi, walio umizwa ni watu wliokuwa kwenye msafara na waandishi na Salma amekoswa koswa gali lake limejeruhiwa



Sasa hii ina maana gani,kwamba sio Rais aliyepigwa na ni mama Salma ndiye aliyekubwa na mkasa huu au vipi.....?
Embu kuwa wazi hapa.
 
Hili ndilo Taifa tunalolitaka,Kama mtu hataki kuwajibika basi Civil disobedience ndiyo njia ya kupambana na Madikteta na Manyang'au wa Nchi na raslimali zake.kama anataka au ili kukwepa hii dhahama aachie madaraka tu.Hatuna muda wa kumbembeleza ati,akamate mafisadi.

On a Serious Note; STEP DOWN MR.PRESIDENT. STEP DOWN NOOOW!
 
Ili kuzima aibu hii subilini wataandaa maandamano ya kumpongeza kwa kufanya ziara MBY ataandaa Mwakipesile na hii itacover mambo kibao...
 
Sipendi unafiki wa watu wanao dhani kwamba raisi kazomewa na kupigwa mawe kwa vile tu ni watu wa Mbeya ambao siku zote wana bifu naye,

Sincerely mimi siyo mtu wa Mbeya, lakini kwa hali halisi ilivyo sasa, maisha yanavo nipelekesha kila kukicha kila kitu bei juu, wakati mshahara ule ule, halafu namuona JK hana habari yeye kazi yake kuzurula tu nchi za wengine na kuwalinda mafisadi na kupachika pachika vyeo kwa swahiba zake tu.

Kujifanya haoni shida zetu wananchi akija ongea na Taifa anakimbilia vitu visivyo tuhusu mara hoo.. benki za marekani! sisi hizo benki huko hadi zituguse si leo, tunacho taka awajibishe wezi na kuwabana wanao kwapua mali asiri zetu ili nasi tuzifaidi na zitupunguzie ugumu wa maisha

Ukweli ni kwamba tuna hasira sana wananchi, unatuharibia nchi! nami nikipata nafasi naweza kurushia japo mchanga!
 
Kama na hili ni la kweli,bado hizi ni habari kwao.Wanachotakiwa kufanya ni kujumlisha tuu.Tarime + Mgomo wa walimu+ Muungwana kufanyiwa fujo +............... kwa sababu najua bado watanzania hawajaamua kuweka alama ya sawasawa,bado wanaendelea kujumlisha.Tutafika tuuu.

Usisahau WAZEE WA EAST AFRICA ambao tangu Jumatatu wako Hazina na wamefikia hatua ya kublock gates za kuingia kwenye jengo. Kwa viongozi makini hizi ni ishara mbaya sana, they need to think deeply on the prevailing situation
 
Sasa hii ina maana gani,kwamba sio Rais aliyepigwa na ni mama Salma ndiye aliyekubwa na mkasa huu au vipi.....?
Embu kuwa wazi hapa.
Msafara wa raisi ndio umevamiwa na kurushiwa mawe katika kurusha gari la raisi lilikingwa na magali ya wana usalama na mkewe yuko naye kwenye ziara hiyo kwa hiyo hayo mawe yaliyo rushwa hayaja lipiga gali la raisi ila wamepigwa baadhi ya watu wliokuwa kwenye msafara ndiyo maana nimesema gali alilo kuwemo Salim limejeruhiwa, maana yake mawe yalikuwa yanarshwa hovyo hovyo. Nadhani sasa umenielewa
 
Sijajibiwa swali.
Nataka kujua je Mama Salma nae alikua kwenye msafara wa Rais mpaka yeye na watu walio karibu na gari alilokuwamo kuharibiwa???
Tfadhani embu nijurisheni niko mbali na hilo gazeti lililotoa hizo habari na nachelea kudandia gari kwa mbele.
 
Back
Top Bottom