Pima mwenyewe
JF-Expert Member
- Nov 20, 2012
- 891
- 237
Kwahiyo inatuhusu nini??
Ampeleke mahakamani.
Ampeleke mahakamani ili awasukumie kesi makatibu aliowalazimisha kuunda kamati kisa? Ndiyo maana alipigwa chini. Huyo mtu ni mjanja mno alitumia kiti chake ku shift burden kwa makatibu wakuu hivyo si ajabu mahakamani akachomoka na akaendelea kuaminiwa kumbe ni town boy tu.
Hivi kwa nini yeye naye asimpeleke JK mahakamani au hao makatibu wake? Kwa nini hadi yeye tu ndiyo apelekwe huko mahakamani? Mahakama ya ccm ni kumvua tu uboss