Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Kikwete: Lowassa ndiye mhusika wa Richmond

Status
Not open for further replies.
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.

NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.

EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.

Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..

Sidhani ka amesema alishiriki kuileta Richmond!! Acha kupotosha uma kwa manufaa yako binafsi ya kutafuta kiki
 
Kwa hiyo yeye kama Rais alichukua uamuzi gani. Miaka 8 imepita ndio anasema leo?
ndo ujue kuwa tulikuwa na kiongozi kilaaaaaaazzzaaaaaaaaaa kweli kweli na hana huruma na tanzaniaaaaa
 
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .

Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .
Huyo JK ni msanii kama 'kampani' zake za akina Diamond.

Hivi kashfa ya Richmond ilitokea mwaka 2008, hivi ni kwa nini hajayaongea hayo kwa miaka 8 iliyopita, badala yake amengoja leo siku 1 kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika?!

Swali la pili kwa JK, ikiwa nchi yetu inaendeshwa kwa utawala wa sheria kwa maana ya wahalifu wote kufikishwa kwenye vyombo vya sheria, ni kwa nini kwa ufisadi mkubwa kama huo wa Richmond alishindwa kumburuza Lowassa mahakamani?

Swali lingine, hivi kama aliwaburuza akina Mramba na Daniel Yona mahakamani hadi mahakama hizo zikawakuta na hatia na zikawafunga kwa makosa 'madogo' ukilinganisha na ya Richmond, ni kitu gani kilimzuia kumfungulia Lowassa mashitaka kwa kosa hilo la kuliingiza Taifa kwenye hasara kubwa ya mabilioni ya shilingi?

Kwa maelezo ya JK ya leo ni ushahidi tosha wa mazingira ya kuwa muhusika mkuu wa Richmond ni yeye mwenyewe JK kama ambavyo Lowassa amewahi kudai mara nyingi.
 
Ulichoquote na alichoongea mbona viko tofauti.
Unless kama imeandikwa ulivyoelewa.
Anyway akili nywele kila mtu Ana zake
 
Hahahaaa bila aibu kwl na hakuchukua hatua yoyote ile hehehee sitaki tena maraisi toka ccm
 
nimeamini hatukuwa na rais kwa muda wa miaka kumi. ilikuwaje yeye akaendelea kuilipa richmond? maana leo inaitwa simbion. jk umechelewa...
 
Jk alichokifanya hapa ni kuzidi kuuthibitishia umma kuwa yeye ndiye muhusika wa Richmond na anazidi kuthibitisha kauli ya mtu aliyesema Jk ni dhaifu kwani angekuwa siyodhaifu angeweza kumshughurikia waziri mkuu alipounda tume ya kufanya manunuzi ya kwake mwenyewe.
 
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.

NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.

EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.

Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..

Kweli wewe Chizi


Kikwete kasema mwenye richmond alimuwajibisha,alimwambia JIUZULU
 
kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye richmond,baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .

Tuondoleen upumbavu wenu hapa. Aliyekuw amkuu wa nchi ni Lowasa au Kikwete? Nani alikuwa juu ya mwingine?

Baada ya kubaini kwamba Lowasa ndiye tatizo, bungeni aliwajibika, serikai ya kikwete ilifanya nini ili kumfikisha kwenye vyombo vya sheria?

Kikwete aache uanafiki. Tabia hizi hatutaki kuziona tena kwenye ikulu yetu.

Kikwete alipaswa kuhakikisha uchunguzi unafanyika na ingebainika Lowasa ana kesi ya kujibu, alitakiwa kufikishwa mahakamani na serikali ili haki kwa taifa itendeke. Alifanya hili?

Kikwete huyu huyu ndiye aliyekwenda kumnadi Lowasa Mondulikwamba ni jembe yaliyomkuta ni ajali ya kisiasa. Alipokuwa nasema haya alikuwa kwenye ulimwengu na mwili gani huyu?

Aliulizwa mhusika wa Richmond akaasema hamjui. Leo huu ujinga anataka kumwambia nani atakayemwondoa yeye kwenye huu ufisadi?

Miaka nana imepita lowaa akisifiwa kila mara na kikwete na chama chake. Hadi anapewa na form za kugombea uraisi. Hii biashara ninadhani inatosha kwa hao watoto wa shule mnaowasomba na malori kujaza viwanja. Watu wazima hapa.

Ninaomba kikwete aishie zake kwa namna anavyostahili. Narudia maneno ya Kingunge. Akitaka kuondoka kistaarabu, akabidhi nchi kwa atakayeshinda. Haya mngine anajifedhehesha na kujimalizia hata kaheshima kake alikosalia nako kama kapo.

Tumechoka. Tunahitaji Tanzania sahihi, siyo hii ya rasi wa ajabu ajabu.
 
Kikwete aweka wazi kuwa waziri mkuu kipindi hicho ndio muhusika mkuu kwenye Richmond, baraza la mawaziri pamoja na yeye walihusika nawalikubaliana kuwa kuna upungufu wa umeme na mitambo ikanunuliwe lakini hakuhusika kampuni gani ya kwenda kuleta hiyo mitambo .

Alisisitiza sheria za manunuzi zifuatwe lakini waziri mkuu wa wakati huo hakufata na aliunda tume ya manunuzi ya kwake mwenyewe .

Zilipendwa. Maamuzi mangapi ya kijinga yamefanyika chini ya uongozi wake. Danganyika tena kwa maisha ya miezi miwili uipigie CCM kura uone habari yake. Hakuna mwenye kichwa cha kuwakomboa watanzania wako kimaslai zaidi
 
RAIS aliposema ni kweli kwamba ALISHIRIKI kila hatua ya maamuzi ya Richmond. Na kwamba waliolikoroga ni jopo la makatibu wakuu walio teua kampuni wasio na uhakika nayo. Kasema Yeye hakujua hiyo kampuni Wala waziri wake mkuu. Makatibu ndio walio likoroga. Sentensi hizi zinaufunga leo na forever mjadala Huu wa kuchafuana.

NDIO maana Edo alisema Mwenye ushahidi aende mahakamani na hakuna Mwenye ushahidi hadi sekunde hii.

EDO IS SO CLEAN. sometime hadi machozi yanantoka, EDO katukanywa, kanyanyaswa, kavumilia yote .. this is pure Tanzanian President.

Kuna mimbwambwa huku mitandaoni haijui A Wala Z ya Richmond, imemezeshwa CD za kumtukana EDO, Sasa na Diama waufyate, Raisi keshafunga mjadala wa Richmond, EDO HAHUSIKI..

Mkuu ndo tabia zao wale waswahili wa pale MSOGA.
 
Leo ndo kajibu ili apate kuraa...!??atuambie kule monduli kauli yake ya ajali ya kisiasa alimanisha nn..dah watanzania tunaonekana kama hatuna akili walah

Yeye kasema hivo na hajasema hivo ili umpigie kura Makifuli, ilikuwa ni taarifa kwa wanachama wa ccm na ambao walikuwa hawajui-kwa wewe unayesema kuwa kachelewa pia ni mtazamo wako na uelewa wako.
 
Wenzenu wamepewa u Katibu mkuu wa wizara na u Rac
 
Huyo JK ni msanii wa kama wale 'kampani' zake akina Diamond.

Hivi kashfa ya Richmond ilitokea mwaka 2008, hivi ni kwa nini hajayaongea hayo kwa miaka 8 iliyopita, badala yake amengoja leo siku 1 kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika?!
Duniani kuna mambo mengi sana.Wengine vifua vyao wamejaza WIVU na CHUKI all the way.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom