kikwete avuna aibu Sheikh Amri Abeid Stadium -Arusha

kikwete avuna aibu Sheikh Amri Abeid Stadium -Arusha

Miye nilisema umnavuta sasa wewe mwenyewe amemalizia bangi ina maana ni kweli ndiyo mheshimiwa wa A town midomo yake imekauka na macho yake yamekuwa madogo vile?


wengine bangi ni mboga...
 
Ulivyokimbilia kuandika sijui hata kama umevaa nguo zote, loooh,
leta picha tuone huu uongo wako.

Usingekuwa siyo mbibi ningekuomba unibebee mkojo wangu upate akili. Basi tu huna bahati sasa
 
kayika maazimisho ya siku ya manesi raisi wa Tanzania anaeongoza duniani kwa kutembekea nchi mbalimbali kuliko rais yoyote leo amevuna aibu ya mwaka baada ya watoto washule kujazana uwanjani bada ya watu wazima aliotalajia kuwahutubia na cha kushangaza watu walikuwa busy na shighuli zao bila kujali kuna mhe. Dr. Dr. Dr Kikwete akihutubia watu uwanjani hapo...ni katika maazimisho ya manesi

maoni yangu kikwete hata ukigombea ukilanja kwenye moja ya shule za msingi hapa Arusha utakuwa mshidi wa tatu...watu wa Arusha hawataki kusikia habari za chama chako na serikali yako na uelewe hata hao watoto waliojazana uwanjani ni kwa kuwa wamelazomishwa halafu waliambiwa kutakuwa na zekomedi baada ya rais kumaliza kuhutubia..
jana jioni katika hatakati za kuokoa jahazi mkuu wa mkoa alisambaza meseji hizi...

MH. NIMEAGIZWA NA MKUU WA MKOA JIONI HII KWAMBA ANAWAALIKA KWENYE SHEREHE ZA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KITAIFA NI HAPA ARUSHA MGENI RASMI NI MH.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.KUFIKA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABED SAA MBILI NA NUSU ASUBUHI KESHO

hii ID umemuazima mnywa viroba gani? mbona kuna kila dalili zote kuwa umevurugwa?? unatumia kiungo gani kufikiri??
 
Ubwege kitu kibaya sana katika mapito upitayo na utaendelea baki na fitna za kikanda + udini + ukabila = maporomoko ya uchumi na kukosekana kwa AMANI.

Wewe ulivyobagua ndugu za mke wako unadhani wote ni kama wewe?
 
Mkuu,hivi unajua maana ya Dr.?

mkuu kweli baada ya kikwete kupewa nyingi huku nikiona kichwa... nimeshindwa kuelewa na baada ya wenye dr kwenye bunge la katiba kuongea pumba kuliko hata wawakilishi wa wakulima ndiyo kabisa labda unifafanulie maana ya dr hasa za kikwete maana nsjua ziko zaidi ya tano usisahau ya lyatonga mrema na ya maji marefu..
 
Hiyo ni kama nyani kususia mti na wakati usiku ndipo atakapolala, hata pasingekwenda mtu hata mmoja haimpunguzii yeye chochote kila kitu kishapangwa tokea mwanzo.
 
Maisha Bora kwa Kila Mtanzania, Arusha watu wanajitambua nakuwadanganya ni ngumu sana mimi ndio nasema Arusha ni chadema tu. Peoplesss
 
hapa ninapoandika pembeni yangu kuna vikuruta kutoka CCP hivyo naandika kwa kuhofia kucha zangu...

Unajiita KAMANDA halafu unaogopa Police, Umesahau ule msemo wenu"DHAMBI MBAYA KULIKO ZOTE NI UOGA"
 
kayika maazimisho ya siku ya manesi raisi wa Tanzania anaeongoza duniani kwa kutembekea nchi mbalimbali kuliko rais yoyote leo amevuna aibu ya mwaka baada ya watoto washule kujazana uwanjani bada ya watu wazima aliotalajia kuwahutubia na cha kushangaza watu walikuwa busy na shighuli zao bila kujali kuna mhe. Dr. Dr. Dr Kikwete akihutubia watu uwanjani hapo...ni katika maazimisho ya manesi

maoni yangu kikwete hata ukigombea ukilanja kwenye moja ya shule za msingi hapa Arusha utakuwa mshidi wa tatu...watu wa Arusha hawataki kusikia habari za chama chako na serikali yako na uelewe hata hao watoto waliojazana uwanjani ni kwa kuwa wamelazomishwa halafu waliambiwa kutakuwa na zekomedi baada ya rais kumaliza kuhutubia..
jana jioni katika hatakati za kuokoa jahazi mkuu wa mkoa alisambaza meseji hizi...

MH. NIMEAGIZWA NA MKUU WA MKOA JIONI HII KWAMBA ANAWAALIKA KWENYE SHEREHE ZA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KITAIFA NI HAPA ARUSHA MGENI RASMI NI MH.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.KUFIKA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABED SAA MBILI NA NUSU ASUBUHI KESHO

Duuhh, Aibu kubwa,
Kumbe mbwembwe zote hizo hujui kuandika mkuu??? Huwa nakuona mjanja kweli kumbe ni box tupu.
Hii inatufundisha nini kwa sisi wenye elimu??? Aibu kubwa kaka rudi shule kwanza alafu uje.

Mandla.
 
Mkuu Msalani si unajua tena smartphones na touch keyboard mkuu. Halafu unaandika kwa haraka haraka maana watu wa mabomu watakuwepo, tigo nao, usalama nao, FFU nao!!! Usisahau askari kanzu!!! Ni nani asiyetaka uhai wake?
Muache kujiita makamanda wakati mnaogopa hata makuruta kutoka CCP.
 
Rais Kikwete, hata akiwa anapita barabarani maelfu ya wananchi hujitokeza kumlaki.
Watanzania wengi wanampenda Rais wao.
 
Back
Top Bottom