SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,836
- 1,846
wewe tahira, nguo zote maana yake nini?...
jana kwa makusudi niligoma kupisha msafara wake pale mt meru.
wewe tahira, nguo zote maana yake nini?...
asante kamanda usisahau kuwa kuna jua pia...cha msingi wamepata meseji ndiyo maana mapovu yanawatoka...Mkuu Msalani si unajua tena smartphones na touch keyboard mkuu. Halafu unaandika kwa haraka haraka maana watu wa mabomu watakuwepo, tigo nao, usalama nao, FFU nao!!! Usisahau askari kanzu!!! Ni nani asiyetaka uhai wake?
A town wabunge wavutaji, wapiga kura wavutaji. huwa mnajilipua wenyewe ili muonewe huruma.hapa Arusha tuliwatandika 4 - 0 halafu tukawatandika 1 - 0....hayo mengine tafuta pa kuyapeleka hii ni A Town...
sasa kugoma kupisha msafara ni ujanja au ufara?jana kwa makusudi niligoma kupisha msafara wake pale mt meru.
A town wabunge wavutaji, wapiga kura wavutaji. huwa mnajilipua wenyewe ili muonewe huruma.
sasa kugoma kupisha msafara ni ujanja au ufara?
wewe tahira, nguo zote maana yake nini?...
watakungoa kucha na meno bila ganzi....
Halafu hakuna kitu kichwani. Hahahaaaaaaaa msomi
vipi umetokea wapi wewe au ni Intarahamwe mpya...
kayika maazimisho ya siku ya manesi raisi wa Tanzania anaeongoza duniani kwa kutembekea nchi mbalimbali kuliko rais yoyote leo amevuna aibu ya mwaka baada ya watoto washule kujazana uwanjani bada ya watu wazima aliotalajia kuwahutubia na cha kushangaza watu walikuwa busy na shighuli zao bila kujali kuna mhe. Dr. Dr. Dr Kikwete akihutubia watu uwanjani hapo...ni katika maazimisho ya manesi
maoni yangu kikwete hata ukigombea ukilanja kwenye moja ya shule za msingi hapa Arusha utakuwa mshidi wa tatu...watu wa Arusha hawataki kusikia habari za chama chako na serikali yako na uelewe hata hao watoto waliojazana uwanjani ni kwa kuwa wamelazomishwa halafu waliambiwa kutakuwa na zekomedi baada ya rais kumaliza kuhutubia..
jana jioni katika hatakati za kuokoa jahazi mkuu wa mkoa alisambaza meseji hizi...
MH. NIMEAGIZWA NA MKUU WA MKOA JIONI HII KWAMBA ANAWAALIKA KWENYE SHEREHE ZA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI KITAIFA NI HAPA ARUSHA MGENI RASMI NI MH.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.KUFIKA UWANJA WA SHEIKH AMRI ABED SAA MBILI NA NUSU ASUBUHI KESHO
Miye nilisema umnavuta sasa wewe mwenyewe amemalizia bangi ina maana ni kweli ndiyo mheshimiwa wa A town midomo yake imekauka na macho yake yamekuwa madogo vile?ccm wanajidunga sindano za sembe na kuvuta sembe mpaka mwenyekiti wao sasa una shangaa nini A City kuvuta bangi...kuhusu kujilipua kama tumejilipua na serikali ya wavuta sembe iko kimya wakati imeapa kulinda usalama wa watanzania bado unasema tuna serikali au tuna viongozi type ya mr bean...
Hao watoto wakirudi manyumbani wachapwe mboko za kutosha, that is an absolute abuse to our glory land!!
Watoto kwenda kumsikiliza Rais msanii na tapeli ni sawa na kwenda kwenye banda la video!!