leo kageuka kuwa mwalimu wa kiswahili...
Wewe mtoa mada muongo kikwete yupo nigeria huyo unaemuengelea labda n aliemzalisha mama ako
Nenda kasome maana ya ushuzi kwenye kamusi,utatambua kuwa ushuzi hauandikiki,hivyo kilichoandikwa sio ushuzi.Sio arekebishe admin afute kabisa huo ushuzi wake alioandika kusoma na kuandika tabu anaweza kupambanua jambo linalomuhusu rais wa nchi hii ni shida hivi vile vitabu vya kusoma kwa hatua bado vipo?asaidiwe huyu
Kwani haujui jangwani alipatwa na nini kipindi cha kampeni 2005 na 2010.huyu kikwete leo arusha ameisoma magari yamejaa kuliko watu wazima nqona kuna ambulance sijaelewa ni yanini...
Huyo kikwete aliyeko nigeria labda ni ule mzimu wa babu yakoo umemfananisha nae
Hata kumchagua monitor and monistress darasani unapoweka wagombea wawili hata wote wawe competent kiasi gani kuna kushindwa tena kwa karibu au kwa mbali!!! Sembuse Siasa za wizi wa kura? Iko siku!!! Demography is on!!!kata 3 chopa 3 ndiyo aibu.
Ndiyo Rais wako, hachoki safari!!!! Kiboko!!! Yuko Arusha mkuu na si ajabu kusikia kuwa kesho yuko ughaibuni!!! Hivi yule mzungu discovery of undiscovered in Tanzania alikuwa anaitwa nani tena?? VD!!!Jamani, kikwete si yupo Congo sijui Kenya!