hapa ninapoandika pembeni yangu kuna vikuruta kutoka CCP hivyo naandika kwa kuhofia kucha zangu...
Mbugi.intarahamweBangi inakusumbua ww
uhudhulie kama uko Arusha hii ni aibu kwa rais kususiwa na wananchi...
viloba vya konyagi viko kazini hajui ata anacho andika
vijana wa arusha wanahuzuni sana baada ya lema kusababisha uchumi wao kushuka
Picha wewe
Wewe mtoa mada muongo kikwete yupo nigeria huyo unaemuengelea labda n aliemzalisha mama ako
hapa ninapoandika pembeni yangu kuna vikuruta kutoka CCP hivyo naandika kwa kuhofia kucha zangu...
Masahihisho yako yanadhihirisha kuwa umepata na kuelewa ujumbe barabara.