Kwamba Dr. Slaa anapendwa hili halina ubishi.. kuna makosa ambayo CCM wameyafanya kwenye kampeni hii ambayo sikutarajia kwa chama kikongwe na chenye kujua propaganda kingeweza kuyafanya. Makosa haya yanaweza kuigharimu CCM vibaya sana. Ninaamini matokeo makubwa ya kushangaza yatatoka Tanzania vijijini ambako kuna watu wameendelea kutuambia kuwa "ati wanakijiji hawajui tuwape elimu". Watu ambao watatudisappoint sana nina wasiwasi inabakia Dar! Hawa watu wa Dar ndio tatizo kubwa sana la mabadiliko nchini...
Habari zilizopatikana ndani ya kikao cha siri kati ya vigogo waandamizi wa usalama wa taifa,Kikwete na Kinana wiki iliyopita zimedokeza kwamba JK amepokea report inayoonyesha kura za Dk Slaa atakazopata october 31 2010.
Mpashaji wa habari amebainisha ya kwamba baada ya JK kupewa tathimini hiyo hakuamini alichoambiwa, zaidi aliongea kwa kiingereza maneno mawili '' Is it?''.
Hii ni taarifa fupi iliyotolewa wiki tatu zilizopita ikulu jijini dar es salaam ikiwa ni mpango wa usalama wa taifa kukamilisha awamu ya kwanza ya utafiti wao kwa baadhi ya mikoa ya kanda ya ziwa, kati, pwani na kaskazini. Machache yameibwa kwenye taarifa hiyo:
Mara: Dr Slaa 59.7%
Mwanzar Slaa 58.3%
Kigomar Slaa 52.7%
Singida: Dr slaa 34.7%
Shinyanga: Dr Slaa 43.2%
Kilimanjaro: Dr Slaa 51.7%
Arusha: Dr Slaa 47.1%
Manyara: Dr Slaa 53.8%
Tangar Slaa 46.2%
Dar es Salaam: Dr Slaa 66.4%
Geita: Dr Slaa: 62.7%
Kagera: Dr Slaa 48.2%
Dodoma: Dr slaa 42.4%
Tabora: Dr Slaa 57.6%
Mkuu post yako hakika inachoma mioyo yetu. Naamini behind this wapo UwT manunuzi ambao kwao kuzima maisha ya mtu ni sawa na kuzima mshumaa. hawajui kwamba unapomuua mtanzania mmoja ni sawa unamuua mwanao mchanga kwa kosa la kunyea mkono.
Hapo kwenye bold unaweza kutupatia data japo clue on why and how does that happen? Na kama imetokea Tanzania hii why not to approach The Hague for cleansing this sin?
Kura yangu na familia yangu na wafanyakazi wenzangu tumeshaamua kumnyima mzee wetu mpendwa kikwete, tutampa mtu anayeonesha kutujali zaidi yaani Dr. Slaa.
Issue ya REDET na Synovate waulize wenyewe... lakini ukitumia medula oblangata uliojaliwa na Mungu, ulizia uchaguzi wa serikali za mitaa CCM iliibuka na kura kiasi gani? Alafu jiulize ni kitu gani cha ajabu kimetongea tangu wakati huo mpaka sasa? Jiulize kipi CHADEMA imekuja nacho cha ajabu ambacho kitaweza kubadili matokeo kiasi hicho? Jiulize CCM inaowabunge wangapi? Niulize CCM inatarajia kupata wabunge wangapi? Jiulize wabunge na madiwani wa CCM ambao wametapakaa nchi nzima hawana mchango kwa kura za Rais wao.
Sisi waTanzania watu wa ajabu sana tunaamini mazingaombwe mno....
Hizi observations zinaweza kuwa kweli kwani kama hali ingekuwa swali kwenye kambi ya ccm kusingekuwa na sababu ya kumuongezea ratiba ya kampeni mgombea ambae wanajua afya yake inamgogoro! Mara baada ya Idd Jakaya amepangiwa full ratiba ya kampeni hivyo inaashiria kuwa Dr. Slaa watu wameanza kumkubali hivyo ccm wamepata mchecheto!!
Wait a minute. Usalama wa taifa wanamfanyia kampeni mgombea urais, JK. So campaigning for JK is among responsibilities of TISS. Tanzanians pay salaries of TISS for them to campaign for one political party and not for the interest of whole nation, Why?
Freeman Mbowe 2005 mikutano yake ilikuwa inajaza watu kama hii ya Wilberd Slaana matumizi ya HELKOPTA na la kushangaza Mbowe alikubali kushindwa kwa kishindo tena alihunduria kuapishwa kwa JK wakati CUF na TLP walikataa kukubali matokeo! jee DR. Slaa atakuwa tayari kufuata nyayo za Mwenyekiti wake Mbowe kukubali matokeo ya ushindi wa CCM wa TSUNAMI
CHADEMA munaota ndoto za mchana! hata mwaka 2005 mulikuwa na ndoto hizi hizi za kudai ushindi hewa! sasa ngojeeni 31 october mtakavyo garagazwa! ila tunamuomba Slaa akubali matokeo kama alivyofanya Mbowe 2005!
CHADEMA wacheni FITINA na UMBEA wa kuwasingizia viongozi wa CCM kuwa wananjama za kuwauwa viongozi wenu! huu ni uongo wa wazi kabisa na kama munaushahidi toka kwa USALAMA wenu wa TAIFA si mupeleke tuhuma zenu POLISI? munangoja nini? WACHENI KUWADANGANYA WANANCHI KUWA SLAA ATASHINDA! HUKO VIJIJINI NA MIKOA YA PWANI, KUSINI NA KUSINI MAGHARIBI, MIKOA YA KATI NA ZANZIBAR HAKUNA ANAEMJUWA SLAA ILA HUKO MBULU, UCHAGANI NA BAADHI YA MIKOA YA MAGHARIBI LABDA NDIPO ANAPOWEZA KUAMBULIA KURA CHACHE! TAKWIMU NILIZIWEKA HAPA LAKINI ZIMEFUTWA NA LA KUSHANGAZA NI KUWA FORUM HII INATAKA MAWAZO YA KUMSIFIA SLAA NA CHADEMA NA HUU NI UWOGA! KWANI WANAOAMUA NANI ATAKUWA RAIS SIO JAMII FORUM BALI NI WA TZ! NA WA TZ WENGI WANATEGEMEWA KUMPA KURA ZAO KIKWETE!
SASA KAMA NYINYI HAMTAKI KIKWETE AU LIPUMBA AWE RAIS HAKUNA ANAEWALAZIMISHA LAKINI SIO MULAZIMISHE WATU WOTE WAMPENDE DR.SLAA NA CHADEMA!
MUNASIKIAEEE!!
Mkuu Sikonge,
Una maoni yoyote hapo nilipo-bold?
Wait a minute. Usalama wa taifa wanamfanyia kampeni mgombea urais, JK. So campaigning for JK is among responsibilities of TISS. Tanzanians pay salaries of TISS for them to campaign for one political party and not for the interest of whole nation, Why?
Huwezi kutumia matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kama benchmark ya uchaguzi mkuu. Huu ni utaahira wa hali ya juu. Mengine malizia mwenyewe.
Pamoja na kiswahili chako kibovu nimekuelewa.......CHADEMA wacheni FITINA na UMBEA wa kuwasingizia viongozi wa CCM kuwa wananjama za kuwauwa viongozi wenu! huu ni uongo wa wazi kabisa na kama munaushahidi toka kwa USALAMA wenu wa TAIFA si mupeleke tuhuma zenu POLISI? munangoja nini? WACHENI KUWADANGANYA WANANCHI KUWA SLAA ATASHINDA! HUKO VIJIJINI NA MIKOA YA PWANI, KUSINI NA KUSINI MAGHARIBI, MIKOA YA KATI NA ZANZIBAR HAKUNA ANAEMJUWA SLAA ILA HUKO MBULU, UCHAGANI NA BAADHI YA MIKOA YA MAGHARIBI LABDA NDIPO ANAPOWEZA KUAMBULIA KURA CHACHE! TAKWIMU NILIZIWEKA HAPA LAKINI ZIMEFUTWA NA LA KUSHANGAZA NI KUWA FORUM HII INATAKA MAWAZO YA KUMSIFIA SLAA NA CHADEMA NA HUU NI UWOGA! KWANI WANAOAMUA NANI ATAKUWA RAIS SIO JAMII FORUM BALI NI WA TZ! NA WA TZ WENGI WANATEGEMEWA KUMPA KURA ZAO KIKWETE!
SASA KAMA NYINYI HAMTAKI KIKWETE AU LIPUMBA AWE RAIS HAKUNA ANAEWALAZIMISHA LAKINI SIO MULAZIMISHE WATU WOTE WAMPENDE DR.SLAA NA CHADEMA!
MUNASIKIAEEE!!
Mkuu, utashi wako uko wrong! Serikali za mitaa ndiyo kuna wapiga kura wote. Taswira ya nchi yoyote inaanzia mitaani. Statistics zote unazosikia hizi za REDET etc zinatoka huko na si kwingine. Kwa hiyo haikuwa vema kabisa kumwambia jamaa ulivyomwambia, unless amekukwaza na chadema yenu.
Ha ha haaa! My dustbin is several meters away from me, lucky you!
hahahaaaa!....nitaitumia hii kwenye signature yangu.Ha ha haaa! My dustbin is several meters away from me, lucky you!
Mwenye kuamini hizo statistics kwa kweli hana tofauti na aliyeamini kwamba CCJ ni chama tishio.....