Kikwete aongoza Mahafali ya 55 ya UDSM - Vijana wanafuraha isiyo na kifani, sasa Serikali ta Mama Samia imewaandalia kazi za kumwaga

Kikwete aongoza Mahafali ya 55 ya UDSM - Vijana wanafuraha isiyo na kifani, sasa Serikali ta Mama Samia imewaandalia kazi za kumwaga

President of China

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
31,546
Reaction score
89,514
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ametunuku Shahada za Awali, Stashahada na Astashahada kwa wahitimu katika Mahafali ya 55 (Duru la Pili) ya chuo hicho kikongwe kuliko vyote nchini.

Jumla ya wahitimu 2,742 walihudhurishwa kwenye mahafali hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Kati ya wahitimu hao, wanawake ni 1,510 sawa na asilimia 55.0, huku wanaume wakiwa 1,232.


View: https://www.instagram.com/reel/DRMtxHsAiqk/
 
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ametunuku Shahada za Awali, Stashahada na Astashahada kwa wahitimu katika Mahafali ya 55 (Duru la Pili) ya chuo hicho kikongwe kuliko vyote nchini.

Jumla ya wahitimu 2,742 walihudhurishwa kwenye mahafali hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.

Kati ya wahitimu hao, wanawake ni 1,510 sawa na asilimia 55.0, huku wanaume wakiwa 1,232.


View: https://www.instagram.com/reel/DRMtxHsAiqk/

Kazi za kumwaga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Msoga ni Jambazi la nchi,linaua na kupora rasilimali za nchi
 
Ile nyimbo ya ukombozi ilipopigwa si uliona graduates walivyofurahi?🤣🤣
 
Back
Top Bottom