Kikwete akae na Kagame wazungumze wayamalize...

kagame ni mafia na katili kuliko tunavyomjua na ata kikwete anaweza kumuua juu kwa juu bila kutumia majeshi huyo jamaa ni hatari sana nawashauri tissccm wanaopita humu wawe makini sana kagame ni hatari na tayari kashasema atamuadabisha basi mkulu be very carefully.
 
Watu type yoko ndiyo wale anachukuliwa mkewe anaenda kumuomba radhi mgoni wake.

Ubabe bila uwezo utaambulia Aibu.Hata kama umepewa Ajira Kishkaji sio lazima utoe Ushauri wa kumfurahisha Mwajiri wako.
 
Chokochoko kati ya Tanzania na Rwanda zinazidi kuongezeka
Tunawahitaji majirani zetu zaidi ya tunavyowahitaji wachina na wamarekani
Jana tulikuwa tunajibizana na Malawi, leo Rwanda; Kesho itakuwa Kenya, na keshokutwa Uganda...
Hatutafika mahali...

Kama vile Kikwete alivyomshauri Kagame, kwa roho safi na kwa nia njema kabisa kuwa akae na FDLR waongee, nami basi napenda kumshauri Kikwete, kwa roho safi na kwa nia njema, akae na Kagame waongee, wayamalize, tuendelee kuwa na ujirani mwema...

mkuu inaonyesha ww nisehem yatatizo,naunatumika kutengeneza propaganda za Rwanda,hivi mh.kikwete anakosa gani kwa ushauri alio utoa?acha ujinga,kama ww unagombana namkewako kila siku,majirani wakakushauri utawajiaju? ama unaweza kkubali ama kukataa ushauri wao.
 
Ubabe bila uwezo utaambulia Aibu.Hata kama umepewa Ajira Kishkaji sio lazima utoe Ushauri wa kumfurahisha Mwajiri wako.

Ubabe gani unamaanisha Kutoa ushauri? Kwani mtu akikupa ushauri lazima uufuate, kama unaona haukufai unauacha tu.
Unamaanisha hatuna uwezo gani, wakupigana au?
 
kagame ana uwezo wa kumfanya jk lolote bila kugundulika that guy is one of the mos warlords in the world
 
Chokochoko kati ya Tanzania na Rwanda zinazidi kuongezeka
Tunawahitaji majirani zetu zaidi ya tunavyowahitaji wachina na wamarekani
Jana tulikuwa tunajibizana na Malawi, leo Rwanda; Kesho itakuwa Kenya, na keshokutwa Uganda...
Hatutafika mahali...

Kama vile Kikwete alivyomshauri Kagame, kwa roho safi na kwa nia njema kabisa kuwa akae na FDLR waongee, nami basi napenda kumshauri Kikwete, kwa roho safi na kwa nia njema, akae na Kagame waongee, wayamalize, tuendelee kuwa na ujirani mwema...


dharau za wanyarwanda,dhidi ya kiongozi wetu.wajinga hawakumbuki mzigo wa wakimbizi na uvunjivu wa sheria za nchi zilizotokana na wakimbizi hao toka rwanda.huku wakiharibu uoto wa asili na viumbe hai walioishi kwenye mapori ya nyakanazi ,mtabira,makere na eneo zima la uvinza.mkoani kigoma.NAUNGA MKONO KAULI YA RAISI WETU,AKAE KIMYA WALA ASIONGEE NA WAJINGA KAMA KAGAME.TANZANIA HATUTARAJII KUPOKEA TENA LUNDO LA WAKIMBIZI TOKA HUKO.
 
Kwelii JK simpendi bt kwa hili hapana aysee he is ryt ILA AACHE KUINGILIA YASIYOMUHUSU.....then kama ugomv bac uwe wa JK na KAGAME na sio TANZANIA NA RWANDA.
 
waongee nn?.JK amemkosea nn Paul,....to mke it short my president can never talk to that idiot
Chokochoko kati ya Tanzania na Rwanda zinazidi kuongezeka
Tunawahitaji majirani zetu zaidi ya tunavyowahitaji wachina na wamarekani
Jana tulikuwa tunajibizana na Malawi, leo Rwanda; Kesho itakuwa Kenya, na keshokutwa Uganda...
Hatutafika mahali...

Kama vile Kikwete alivyomshauri Kagame, kwa roho safi na kwa nia njema kabisa kuwa akae na FDLR waongee, nami basi napenda kumshauri Kikwete, kwa roho safi na kwa nia njema, akae na Kagame waongee, wayamalize, tuendelee kuwa na ujirani mwema...
 
Hiki ni vituko kabisa JK hana haja ya kukaa na PK wazungumze wewe mkuu TUKO wewe unadhani agenda ya hicho kikao iwe nini???kupatana kuhusu nini???PK ana chuki binafsi kwa ku OVERREACT kile alichosema JK,na hii inaonyesha alikuwa na bifu na JK sema alikuwa anasubiri JK alianzishe.atakacho kifanya sana sana ni kushirikiana na M23 kuwateka wanajeshi wetu walioko DRC ili kutufedhehesha Makamanda walioko DRC yapaswa wawe makini na mbinu hii.
 
Mkuu vitu vingine pima hata wewe kabla hujaleta jukwaani wakae wayamalize yepi.

Kunakosa gani ambalo jk kafanya mpaka akae na kagame kagame anauwa watu na kupora mali za congo halafu ukae nini.

Mkuu acha kabisa kuleta hoja za namna hiyo kagame mjinga sana hamna hoja hata moja itayofanya jk na kagame kukutana.

kagame mikono yake inanuka damu ni muuaji daraja la kwanza halafu leo ukae naye ba! Bwana wewe.

Tunaweza tukamtukana Kagame kwa matusi yote tunayojua, lakini ni kiongozi wa Rwanda, anayewakilisha warwanda, na tupende tusipende, warwanda ni majirani zetu. Kumtukana Kagame ni kuwatukana wanyarwanda waliomchagua. Hatugombei ardhi, hatugombei mali wala raslimali, but utakubaliana nami kuwa atmosphere kati ya raisi Kikwete na Kagame sio shwari.
Ni vizuri tukaacha matusi kwa wanyarwanda, tukadumiasha ujirani mwema...
 
Hiki ni vituko kabisa JK hana haja ya kukaa na PK wazungumze wewe mkuu TUKO wewe unadhani agenda ya hicho kikao iwe nini???kupatana kuhusu nini???PK ana chuki binafsi kwa ku OVERREACT kile alichosema JK,na hii inaonyesha alikuwa na bifu na JK sema alikuwa anasubiri JK alianzishe.atakacho kifanya sana sana ni kushirikiana na M23 kuwateka wanajeshi wetu walioko DRC ili kutufedhehesha Makamanda walioko DRC yapaswa wawe makini na mbinu hii.

well said.
 
Issue ni kwamba je huyo KAGAME yupo tayari kukaa na Kikwete kulizungumza hili? Na kama tutaendelea kuwa na vikosi huko Congo basi usitegemee kama huyu mtu atataka mazungumzo.

Sidhani kama Kagame atakataa kukutana na kuzungumza na Kikwete. Anajua fika maana ya ujirani mwema na Tanzania, na hawezi akaupuuza hata kidogo. Kuhusu kuwepo kwa majeshi huko Congo, hilo litakuwa mojawapo ya suala la kuongea...
 
Tunaweza tukamtukana Kagame kwa matusi yote tunayojua, lakini ni kiongozi wa Rwanda, anayewakilisha warwanda, na tupende tusipende, warwanda ni majirani zetu. Kumtukana Kagame ni kuwatukana wanyarwanda waliomchagua. Hatugombei ardhi, hatugombei mali wala raslimali, but utakubaliana nami kuwa atmosphere kati ya raisi Kikwete na Kagame sio shwari.
Ni vizuri tukaacha matusi kwa wanyarwanda, tukadumiasha ujirani mwema...

matusi wanayotutukana wanyarwanda na kagame huyaoni? au ndiyo yale yale mkuki kwa nguruwe mtamu lakini kwa binadamu mchungu.
 
Sidhani kama Kagame atakataa kukutana na kuzungumza na Kikwete. Anajua fika maana ya ujirani mwema na Tanzania, na hawezi akaupuuza hata kidogo. Kuhusu kuwepo kwa majeshi huko Congo, hilo litakuwa mojawapo ya suala la kuongea...

wewe ni msemaji wa watusi, kagame au m 23? maana hueleweki.
 
Waasi waliua wanyarwanda, na Kagame aliua watu gani? Hakuna haja ya JK kufanya mazungumzo na PK, isipokuwa PK mwenyewe aombe yawepo mazungumzo.

Umuhimu wa mahusiano kati ya watanzania na wanyarwanda ni bilateral... Kikwete anaweza kuwa hahitaji urafiki na Kagame, nae Kagame pia anaweza kuwa hahitaji urafiki na Kikwete. Lakini wananchi wa nchi hizi mbili wanahitajiana...
 
Back
Top Bottom