Kikwete ajisafisha Dowans

watanzania huyo ndie kiwete wetu. tanania tulimhitaji raisi tukamkosa raisi tukampata kikwete. ikulu tumemkabithi kikwete akishirikiana na washirikina wake kupig ramli
 
''Mimi hata baraza la mawaziri linanijua, huwa ni msema ovyo'' Maneno hayakatasema JK wakati akihutubia wanasisiem kule Dodoma.
Nimestuka sana!! Hivi huyu jamaa tulimto wapi jameni?
Halafu anasema hana uwezo kama wa Mungu wa kufanya mvua inyeshe bwawa la Mtera ili tupate umeme. Kweli huyu i msema ovyo!! Anasahau kuwa poor planning ya matumizi ya maji ndiyo sababu ya mabwawa kukauka hata kwa ukosefu wa mvua wa wiki mbili tu!!
Oneni haya nyie mliomchagua!!! Mi simo....
 

Majibu haya hapo. Kama si mchanganyikiwa nini? Aliongea nini kwa donors...
 
Last edited by a moderator:

Majibu haya hapo. Kama si mchanganyikiwa nini? Aliongea nini kwa donors...


kazi tunayo jamani...ndio maana tunazidi kudumaa, kama viongozi wenyewe ndio hawa!!! kazi ipo!!!
 
Last edited by a moderator:
Duh!!! nashindwa hatanianzie wapi kuchangia hivi jamani Rais kama taasisi, labda watu watusaidie ni Taasisi zipi zinapaswa kulaumiwa katika ili swala la Rais kuachiwa kuongea mambo ambayo yanamtia aibu kiasi hichi!! maana Rais amekuwa alipewa hutuba za kumdhalilisha mara zote na hivyo kuonekana ni mtu wa ovyo wakati kuna watu wanalipwa kwa ajili ya kazi hizo, Ruhanjo anafanya nini na TISS kwanini hawa-wajibishwi kama hawataki kujiuzuru; aibu inapozidi kiasi hiki ni aibu pia kwa Taifa letu sote, tunaonekana wote ni wapumbavu kumbe la hasha, ebu angali haya mambo: -

  1. CC-CCM Chini ya Uwenyekiti wa Rais mara baada ya kikao Mr. Chiligati alitangaza kuwa wamekubaliana Serikali ifanye haraka ilipe hilo deni; baadae Wabunge wa CCM wakakutana na Waziri Mkuu akatangaza Wabunge wamesema hapana, Dowans hailipiki! Wanafanya jitihada kuzuia malipo! Hii ni nini maana hao wabunge wengi wao wanaingia CC kwanini hawakufanya hivyo tokea awali ndani ya kikao cha CC, hivi siyo kumdhalilisha Kikwete hapo kweli!!, kuenyesha kuwa hawezi kusimamia vikao vikatoka na maamuzi ambayo yana Maslahi kwa Watanzania.

  2. Hotuba hii ni vichekesho au katoka nayo kwake watendaji wa Umma hawakuiona maana pia yawezekana, Nyerere aliwai kutwambia kuna viongozi wakikaa kwenye vikao kujadili mambo ya Umma baadae kesho akitoka kwake kuonana na Mkewe anakuja na majibu tofauti kabisa na yale mliokubaliana jana; Hivi kweli Rais Kikwete Hamjui Rostam Jamani!!! kama ni kweli hamjui kuwa ndio Mmiliki wa Dowans anasubiri nini kumjua Mmiliki wa Dowans, nini maana ya Ikulu!! Kweli pamoja na Dola yote na Mizinga 21 aliyopigiwa huyu jamaa anasema hamjui Mmiliki wa Dowans, tumempa TISS, JWTZ, POLISI, MAGEREZA, PCCB nk hanashindwa nini leo katika hotuba kama hiyo kutangaza kuwa Jamani watanzani Mmiliki wa Dowans ni fulani, bado anasema hamjui anafanya nini Ikulu huyu Bwana Mkubwa!!anasema hamjui Kama ni kweli pamoja na hata kesi kwenda ICC bado Kikwete hamjui mmiliki wa Dowans basi aondoke Ikulu haiwezi amepwaya hajui hata maana ya Rais.

  3. Rais anadiliki kutangazia umma kuwa Richmond ilikuwa hewa, "Kwanza Hongera za Dr. Mwakyembe kwa hili" lakini Jamani Rais ana msaada gani kwetu sisi Watanzania kama anajua Richmond ilikuwa hewa na bado hajachua hatua yoyote kwa watu walioileta hiyo Richmonduli, anasubiri nini??? au yeye sio Rais, nguvu za Rais zipo wapi Jamani!!!! Kama anaweza kujua kitu hatari kwa mustakabali wa Taifa na bado akatulia tu!! hii tafsi yake nini???

Nimekuwa nikicheka mara nyingi juu ya kutokufahamu kwa Kikwete, lakini hii ya leo imenisikisha sana, nani atawajibisha wahujumu wa uchumi na wahalifu wakubwa kama Rais anajua Richmond ilikuwa hewa walioilete wapo, wanakula kuku wanaitwa Waziri mkuu Mstaafu, analindwa na fedha za Umma anakula Pension ya Umma, Waziri wa Nishati wa sasa ndie alikuwa Naibu wakati hiyo hewa inaletwa iweje aendelee kuwa katika ofisi za Umma!!?? Rais Zinduka acha kulala, wakati mwingine uwa nafurahi nahisi labda anasaidia Upinzani ije ishinde kilaini, sijui kama ndivyo hivyo!!
 
Yaani anasoma neno kwa neno, maana yake hotuba hiyo kaandaliwa na mwingine.
Ndio maana tunataka Marais madokta, maprofesa wanajua to represent, is wanajeshi wastaafu.
Anafanya kama hajawahi kurepresent tesis
 
Ukisikia takataka ndo hili jamaa! kwanza Richmond/Dowans anasema ni feki then anasema Serikali haitalipa Watalipa Tanesco.....
I would love to see Tunisia in my Country ASAP...
 
Yaani anasoma neno kwa neno, maana yake hotuba hiyo kaandaliwa na mwingine.
Ndio maana tunataka Marais madokta, maprofesa wanajua to represent, is wanajeshi wastaafu.
Anafanya kama hajawahi kurepresent tesis

Hajawahi ndio! Hiyo thesis alipresent wapi?

Mkuu ni present,sio kurepresent. A thesis is presented infront of a panel of academicians,na sio inakua represented!
 
rais kuongea maneno ya namna hii ni mpumbafu na ujinga wa hali ya juu...asifanye watu watoto hapa na majibu yake ya hovyohovyo...kwanza nani kamuuliza mpaka anaanza kufafanua ...stupid
we chezo usifanye chezo la kumtusi rais kiasi hicho,kumbuka domo liliponza kichwa,uliona wapi duniani mtu anamtusi rais kama ulivofanya wewe leo,shaur yako,dola ina mkono mrefusanasana,ni ushaur tu kwafaida yako.
 
kinaconisikitisha ni yeye kama rais kuendelea kuomboleza badala ya kutoa maamuzi ya kueleweka. kama rais wa tz(ccm) analalamika tu na cc wananchi tufanyeje!
 
nashkuru kwakufatilia hii party ya wanakijani...nilicho kiskia zaidi ni *wao*wao*wao*wakati ckuku yenyewe haiwausu hao *wao*kweli rais we2.,mwalimu we2 dr.peter anastahilii apimwe akili..kuwachanganya hawamigomba nitalanta..
 
Acheni kumuandama mheshimiwa rais,ameshawaambia,bado nini?? Au mmeamua kuendeleza ajenda ya udini?
 

Du sasa punguani wameanza, hivi ulitaka nani akakae Ikulu ataiondoa hali hii ya uchumi? Juzi mwenzako wameshikana mikono wakati wa siku ya Sheria, wanamtambua wwunasema hatuna Rais tena unatumia herufi ndogo wakati tumempa kura haya pasuka kama unauwezo weka mtu wako.
Afrika sasa hali ni mbaya kz mnataka mkaajiriwe bado vyuoni mkasomeshwe uzalendo wa JKT hamna unajiita haki kwanza basi andamana
km Tunisia au Misri hali ni ngumu acha matusi subiri 2015 simenti itakuwa sh. 5,000/=
Hata misiri wapo pro mabaaraak lakini hataweza kushindana na umma. Hutaweza kushindana na umma wa watanzania wanaotaka mabadiliko. Tumechoka tunataka utu wetu na sheshima yetu na haki ya kuishi. Maisha tunaoishi ni sawa na wafungwa watu hawewezi hatakushiba kisa bei ya chakula iko juu.
Cheza na wenye shibe ila si sisi wenye njaa huku wengine mkitumbua kwa jasho letu. Hatunachakupoteza ila uhai wetu ambao tayari umeshatishiwa. Hatukotayari kuvumilia dhuruma hii ndani ya nchi yetu wenyewe. Mungu ameyaona machozi ya moyoni ya watanzania na sasa yuko tayari kutuokoa. Peoples powerrrrrrrrrrrrrrr.
 
sidhani kama katika bara la africa leo kuna rais dhaifu kama wa kwetu. ni kama hatuna rais
 
Kuna mahali huwa nafika nasema nadhani kuna jambo lingine limejificha nyuma ya hizi chuki kwa Kikwete.:coffee:
 


Rais wa JMT amejisafisha kuwa si mliki wala hawalindi marafiki zake katika sakata la DOWANS. Ameeleza kila kitu kuhusu mchakato wa Richmond hadi Dowans. Aisee naona sasa jamaa ameshutuka amefafanua mpaka basi, ameweka bayana Richmond ni kampuni ya mfukoni na kugusia maamuzi ya CC ya CCM.
Walioona taarifa hiyo jamani tuijadili kidogo.
Source TBC1 Time 02:19

Raisi wetu Bwana mbana ni mwepesi wa kusahau? Maamuzi ya cc ambayo yeye mwenyewe alikaa yalikuwa ni kwamba Dowans walipwe maana Tanesco wenywewe ndio walio katisha mkataba.
Uamuzi wa Wabunge wa CCM ndio uliotoa uamuzi tofauti baada ya watu nje ya ccm kupiga kelele kwa saana, na Sitta na Mwakyembe kusimamia msimamo wao.
Ok yeye anasema hana cha kusema maaana Pinda na Chiligati wamemsemea, Mbona hazungumzi Alivyo sema ngeleja? kwani yeye hajamsemea Raisi??? na Je Werema alivyo sema haja msemea Raisi? mbona hizi kauli anazikimbia?
Ok hawajui wala hawa fahamu, je uamuzi wa kuwaleta si ulikuwa wa baraza la mawaziri ambao yeye mwenyewe alikuwepo? mbona kikao hiki hakikubali?
Watu walilalamika kuhusu uteuzi huo je hakusikia na kubatili? leo suruali imekuwa ndogo yeye anaikata anasema wala hakuiona.
Ok imekuja Dowans vikao kasimamia yeye , mawaziri kawateu yeye, bado anasema hawajui watu hawa? kuna IPTL atasema hawajui watu hawa? na mtu akikuchagulia tusi atakutupia tu? Oh mimi si semi uongo lakini yeye anasema ukweli.
Kuna issue ya uteuzi wa Mkurugenzi wa ATC, atasema hamjui mtu huyu? akafanya madudu ATC , magazeti yakaandika, yeye atasema hausiki na maamuzi hayo, na wala hamjui aliye fanya hivyo, wakati huo huo ana waziri wa wizara husika na vikao vya baraza la mawaziri na TISS, lakini bado atatuambia kwamba hajui wala hamjui mwizi wetu. Huyu ndio Kanali JK Mrisho
 
Last edited by a moderator:
The weak president ever! Mtandao unatucost...lesson learnt,next time mgombea uraisi akiwa na mtandao ni wa kumuogopa kama ukoma!
 
kwenye hotuba ya jk ya ccm kuadhimisha b'day, ambayo ilikua imejaa maombolezo badala ya suluhisho la matatizo yanayotukabili, jk alisikika akilalamika kwamba ningekua wingu la mvua ningeenda mtera nikajaze bwawa. Ni ajabu kwa kauli kama hiyo kutoka kwa kiongozi yeyote aliye makini (anyway jk si mmoja wao). pia alidai kama mkitaka kujua kama yeye ni mkweli kawaulizeni ndugu zake (including mama salma). MWISHO ALIMALIZIA KWA KUTAMANI CCM KUWA NA VIJANA NA KUKIRI KUWA CCM KUNA KITU INAMISS (mvuto) NDIO MAANA IKO ILIVYO "kuna kitu tunakosa ndio maana tuko hivi"

ama kweli hatuna rais tuna Rice
 
Back
Top Bottom