Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Haya ngoja .
-wezi wakiingia mkataba.
-mapato ya wizi.
-wakagawana hayo mapato ya wizi.
-mmoja akamzurumu mwizi mwingine je anahaki kudai mapato ya wizi alodhulumiwa?
This is according to u.
Mazee mtu ili aitwe mwizi sharti wizi utake place na iwe proved kwamba mwizi kaiba.
Ili watu wagawane mapato ya wizi sharti wizi utokee na mapto yawepo ili kuyagawana SAME APPLIED kwenye kudhulumiana maana hawawezi kudhulumiana hewa.
Hawa dowans wamezalisha umeme na wakalipwa.
Hizi bilion 94 ni FAINI NA HAZIJALIPWA sasa wamezigawana saa ngapi,wamedhulumiana saa ngapi?
Hawa mahakimu wa mahakama ya kimataifa tuseme ni majuhb ama wamekula mlungula.
i dare anyone to come with evidence WHERE DID DOWANS STOLE OUR MONEY
-wezi wakiingia mkataba.
-mapato ya wizi.
-wakagawana hayo mapato ya wizi.
-mmoja akamzurumu mwizi mwingine je anahaki kudai mapato ya wizi alodhulumiwa?
This is according to u.
Mazee mtu ili aitwe mwizi sharti wizi utake place na iwe proved kwamba mwizi kaiba.
Ili watu wagawane mapato ya wizi sharti wizi utokee na mapto yawepo ili kuyagawana SAME APPLIED kwenye kudhulumiana maana hawawezi kudhulumiana hewa.
Hawa dowans wamezalisha umeme na wakalipwa.
Hizi bilion 94 ni FAINI NA HAZIJALIPWA sasa wamezigawana saa ngapi,wamedhulumiana saa ngapi?
Hawa mahakimu wa mahakama ya kimataifa tuseme ni majuhb ama wamekula mlungula.
i dare anyone to come with evidence WHERE DID DOWANS STOLE OUR MONEY