Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 763
GPA 2.1 unategemea kitu gani?
Rev hii ya ukweli? tusije tuka kopi kumbe siyo!!
GPA 2.1 unategemea kitu gani?
we chezo usifanye chezo la kumtusi rais kiasi hicho,kumbuka domo liliponza kichwa,uliona wapi duniani mtu anamtusi rais kama ulivofanya wewe leo,shaur yako,dola ina mkono mrefusanasana,ni ushaur tu kwafaida yako.
Hivi wakuu kwanini hamumtendei haki Rais. Mmesema hajazungumza kuhusu Dowans mkaandika hapa thread kibao, Dr Slaa nae akata Rais azungumze. Sasa amezungumza mnaanza tena Rais hajasema ukweli, hivi nyie mnaotaka Rais azungumze mnataka aseme nini hasa!!!! hamjiatambui kuwa wanaJF tunaonekana watu wa kulalamika na kutoridhika na jambo lolote Rais wa Jamhuri wa muungano analolifanya kwa ufupi mnaonekana watu wenye wivu usio na maana. Hembu tujadili vp tusiwalipe Dowans.
Kama alivyokuja mmoja hapa hoja nzima ya JK inaanguka na kusimama hapa:
Ningefurahi sana angetuambia huo mkataba uliuzwa lini? Au kama kuna mtu atamuuliza hilo. Maana kununua umeme haiwezi kuwa ndio uhalali wa mkataba; niliuliza huko nyuma je wezi wakiingia mkataba kuiba mahali na kugawana na mmoja akavunja mkataba huo wanaweza kwenda mahakamani kudai haki?
Kuna mahali huwa nafika nasema nadhani kuna jambo lingine limejificha nyuma ya hizi chuki kwa Kikwete.:coffee:
Ajue mmiliki kwani yeye BRELA?mbona bac anakazi ajue wamiliki wa makampuni yote TZ ?common gv him a break.
According to u guys the owner is RA as EAST AFRICA paper said..So what?isnt he allowed to own a company if so BY WITCH LAW?.
Haya tuseme ndio mmiliki ni vije bac tunamkaba hapa kwa kudandia mkataba toka kampuni feki na tanesco wakakubali ama alihonga WHAT EVIDENCE DO YOU HAVE HERE IF IS SO.
Ooho it is that dowans acguired unlawfull contracter from richmond..ok WHAT MAKE IT UNLAWFULL.
I have lot of maswali dont see any answer here
hivi kweli tanzania uchumi unadidimia sababu hamna umeme kama si upumbavu ni nini, maana naamini serikali ikitaka umeme uwepo permanently inaweza maana hela zipo, makaa ya mawe yapo tele, kihansi inafanyakazi 'below 50%', gesi iko fully, iptl, na tunaweza kununua generators lakini kwa sababu serikali imejaaa watu wa kufikiria kujinemeesha na kuanzia raisi hadi chini suala la national interests hamna na ndiyo maana tuko gizani tu na serikali imeridhika na wamebakia porojo tu, nasisi wananchi tupiga makofi tu''Mimi hata baraza la mawaziri linanijua, huwa ni msema ovyo'' Maneno hayakatasema JK wakati akihutubia wanasisiem kule Dodoma.
Nimestuka sana!! Hivi huyu jamaa tulimto wapi jameni?
Halafu anasema hana uwezo kama wa Mungu wa kufanya mvua inyeshe bwawa la Mtera ili tupate umeme. Kweli huyu i msema ovyo!! Anasahau kuwa poor planning ya matumizi ya maji ndiyo sababu ya mabwawa kukauka hata kwa ukosefu wa mvua wa wiki mbili tu!!
Oneni haya nyie mliomchagua!!! Mi simo....
Majibu haya hapo. Kama si mchanganyikiwa nini? Aliongea nini kwa donors...