Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 260
Katika maadhimisho ya miaka 34 ya ccm jk alitoa hotuba inayogusa mambo mbalimbali,
1.Dowans,anasema eti hata yeye anashangazwa na hilo swala la dowans,kwa amiri jeshi mkuu,mwenye mamlaka kamili anatoa kauli ya ajabu,badala ya kueleza mikakati ya kuzuia uhaini na ubakaji uchumi,ni dhahiri amekosa uhalali wa kuwa rais
2.Mauaji ya arusha,et yalisababishwa na chama flani kwa malengo ya kisiasa,ikiwa hana uelewa wa kujua chanzo cha vurugu arusha,kuwa ni uchakachuaji wa meya,na ni vita kati ya haki na udhalimu,jambo ambalo kila mtu analijua,Jk kushindwa kuujua ukweli huu umekosa uhalali wa kuwa rais
Jk simamia haki na ukweli
saa ya ukombozi ni sasa
Kama ni kweli kaongea hivyo basi nchi hii haina kiongozi. Tuvumilie tu tupate kiongozi muafaka ifikapo 2015.