dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Haya yalisemwa na Filikunjombe, Halima Mdee, Zitto hasa yalilenga viongozi vijana ndani ya CCM specifically Makamba kutotia saini ni dhahili aliyajua haya
Kwamba kwa vyovyotw anajiona kama. Serikali na atakuja tiwa fitina akipata nyazifa aliyo kuwa anaililia mda wote.
Alianzisha na Zitto mwisho akakimbia baada ya kutonywa na usalama wa CCM kuwa itakuwa waziri nawe utawekwa kitimoto.
Na dalili tosha za kulindana kuwa na hata makamba akuharibu hakuna wa kumwajibisha coz ye hakuwawajibisha walipokosa.
Ndani ya ccm ni kulindana kwanza wananchi baadae
Kwamba kwa vyovyotw anajiona kama. Serikali na atakuja tiwa fitina akipata nyazifa aliyo kuwa anaililia mda wote.
Alianzisha na Zitto mwisho akakimbia baada ya kutonywa na usalama wa CCM kuwa itakuwa waziri nawe utawekwa kitimoto.
Na dalili tosha za kulindana kuwa na hata makamba akuharibu hakuna wa kumwajibisha coz ye hakuwawajibisha walipokosa.
Ndani ya ccm ni kulindana kwanza wananchi baadae