Rais Samia amuaga rais wa Romania

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amemuaga Rais wa Romania, Mheshimiwa Klaus Iohannis baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi nchini leo tarehe 19 Novemba 2023 Ikulu jijini Dar es salaam.

Pamoja na Rais Samia viongozi mbalimbali waandamizi wa Serikali wameshiriki kumuaga kiongozi huyo ambao ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb.).

Viongozi wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila pamoja na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama.
403808753_3183578965278397_7276968104240130860_n.jpg

403124552_887033919696087_2939969563618591218_n.jpg
403525648_987070262396498_6177473490564077045_n.jpg

402883902_365192916034067_3423004002278235789_n.jpg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amemuaga Rais wa Romania, Mheshimiwa Klaus Iohannis baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi nchini leo tarehe 19 Novemba 2023 Ikulu jijini Dar es salaam.

Pamoja na Rais Samia viongozi mbalimbali waandamizi wa Serikali wameshiriki kumuaga kiongozi huyo ambao ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb.).

Viongozi wengine ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila pamoja na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama.
View attachment 2818610
View attachment 2818611View attachment 2818612
View attachment 2818614
Ila waafrika wabaya jmn hebu money Chalamila na Jirani yake walivyo na muonekano wa hovyo!
 
Back
Top Bottom