GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

Inaelekea CCM na watu wake wamesahau kuwa Jangwani ni sehemu iliyobarikiwa na Papa Yahane Paulo II mwaka 1990, na hivyo ni patakatifu zaidi ya hata Ikulu anakokung'ang'ania. Wachawi wengi huanguka pale bila kujua kuwa wanakatiza eneo ambalo si la kuchezea na linalostahili heshima zote. JK kaanguka wakati akiongea maneno ambayo kwangu naweza kukiri ni uwongo, hakuyamalizia na Mungu akaamua kumnyamazisha kwa muda.
Wewe usituhubirie miinjili yako hapa, Kikwete alianguka kule mwanza mwaka ule, kule kumebarikiwa na nani?

Kama hapo Jangwani pamebarikiwa na huyo papa mbona pamekuwa ni "maskani" ya vibaka na wakabaji usiku, au papa hakubariki vibaka wadhurike?


Mimi si CHADEMA na wala si CUF, siegemei upande wowote...
Isipokuwa udini tu unakusumbuwa!
 
Bonyeza kwenye link hapa chini usikilize hotuba ya JK mwanzo hadi mwisho

SEHEMU YA KWANZA



SEHEMU YA PILI

 
Last edited by a moderator:
Labda ndio huo uchovu wa kuwa na majukumu mengi bila ya kupumzika!
 
Ebana eeeh huyu jamaa si mzima huyu. Nimeona clip ya jinsi alivyoishiwa nguvu na kuanza kuanguka....something is seriously not right with him...

YouTube - down

Teh teh teh teh teh, mzee mzima anasema ccm hoyeeeeeee! taratibu kama hataki. kwi kwi kwi kwi, pole Mh Rais, sijui ndi majukumu yamekuwa mengi au ndo umri nao umeenda.
 
Hili la JK kuanguka mara kwa mara ni hatari kwa mustakabali ya nchi yetu.

Naomba iwe ni mjadala muhimu sana hapa jamii forum maana urais unatuhusu watanzania siyo swala la kifamilia.

Saumu imeanza leo, waislamu wanakawaida ya kufunga lakini hatujasikia hili la kuanguka kama JK halafu mtu anakuja na hoja na dhaifu ya kufunga; ni swala la afya ya mgombea wa nafasi ya uraisi. Nafikiri watazania tuhoji swala hili kwa undani wake maana tusipojua ukweli wake tunaweza kudanganywa kuwa JK yuko fiti, anaweza kuongoza. Nafikiri kama mtu ni mgonjwa hafai kupewa nafasi kubwa ya urais maana anaweza kutupeleka kusikofaa.

Tujadili wagombea katika nyanja zao za maisha
 
mzee hiyo clip yako umeload kwa mtindo gani mbona imekuwa na maroroso?? Jaribu kuiweka vizuri
 
Ebana eeeh huyu jamaa si mzima huyu. Nimeona clip ya jinsi alivyoishiwa nguvu na kuanza kuanguka....something is seriously not right with him...

YouTube - down

Wabongo kwa censorship bwana, rais anaanguka badala ya kurecord event to posterity wapiga picha wanahamisha focus na kuonyesha audience badala ya rais alivyoanguka.

The people of Tanzania need to know what happenned precisely.
 
Wewe usituhubirie miinjili yako hapa, Kikwete alianguka kule mwanza mwaka ule, kule kumebarikiwa na nani?

Kama hapo Jangwani pamebarikiwa na huyo papa mbona pamekuwa ni "maskani" ya vibaka na wakabaji usiku, au papa hakubariki vibaka wadhurike?


Isipokuwa udini tu unakusumbuwa!
:focus:

samahani mkuu, ni wewe uliyeandika ama?

mbona umekuwa mkali sana we ni mdhamini wa mambo ya giza kwani??? samahani lakini!!!
 
Wabongo kwa censorship bwana, rais anaanguka badala ya kurecord event to posterity wapiga picha wanahamisha focus na kuonyesha audience badala ya rais alivyoanguka.

The people of Tanzania need to know what happenned precisely.
nafikiri ni moja ya kupashana habari tu tukio kwa tukio, sijaona kibaya kwa upande wangu
 
Ebana eeeh huyu jamaa si mzima huyu. Nimeona clip ya jinsi alivyoishiwa nguvu na kuanza kuanguka....something is seriously not right with him...

YouTube - down

Nyani unakumbuka jinsi Zap Judah alivyopigwa na Kosta Zyu au Rick Hatton alivyopopolewa na Paciao? Duh! Rais kayeyuka ka vile mlenda, tena alishaanza mapema kwa kusita kutamka kitu fulani.

Watadai ni Swaumu na upup mwingi, je hakuwa amepumzika vya kutosha kabla ya kwenda kuhutubia? Je kwa nini hawakubadilisha muda ukizingatia kuwa kitendo hiki kilitokea tena 2005?
 
Wabongo kwa censorship bwana, rais anaanguka badala ya kurecord event to posterity wapiga picha wanahamisha focus na kuonyesha audience badala ya rais alivyoanguka.

The people of Tanzania need to know what happenned precisely.


Woga wa kijinga wa Tasty Clothes!
 
Labda anapata kizungu zungu kwa ajili ya kuogopa kuongea pumba.manake umati wa watu mkubwa kama ule alafu huna cha maana cha kuongea zaidi ya hadithi za abunuwasi lazima jasho likutoke.
 
Nyani unakumbuka jinsi Zap Judah alivyopigwa na Kosta Zyu au Rick Hatton alivyopopolewa na Paciao? Duh! Rais kayeyuka ka vile mlenda, tena alishaanza mapema kwa kusita kutamka kitu fulani.

Watadai ni Swaumu na upup mwingi, je hakuwa amepumzika vya kutosha kabla ya kwenda kuhutubia? Je kwa nini hawakubadilisha muda ukizingatia kuwa kitendo hiki kilitokea tena 2005?
hahahaaaaaaaaaaaa

dont take me there, i am aq boxing fanatic
 
the more you watch it the more you have to be saddened

pole JK
 
Back
Top Bottom