GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

pressure inapanda, pressure inashuka.....
mwaka huu kazi ipo. Si tupo tu hapo chini ya jukwaa tukitazama mambo.:shocked:
 
Nyani unakumbuka jinsi Zap Judah alivyopigwa na Kosta Zyu au Rick Hatton alivyopopolewa na Paciao? Duh! Rais kayeyuka ka vile mlenda, tena alishaanza mapema kwa kusita kutamka kitu fulani.

Watadai ni Swaumu na upup mwingi, je hakuwa amepumzika vya kutosha kabla ya kwenda kuhutubia? Je kwa nini hawakubadilisha muda ukizingatia kuwa kitendo hiki kilitokea tena 2005?

Hahaha ule mpambano wa Zab na Kotsya Zyu....nakumbuka Zab alikumbwa na delayed reaction...
 
Madhara ya kutokuwa na vyombo huru vya habari, kamera imegeuzwa kwa halaiki

Halafu maisha yako yote unashinda kwenye viyoyozi vya mashangingi ya Ikulu halafu ghafla unataka kuja Jangwani hujala? Mara ya mwisho huyu Mzee kapigwa na jua mwaka 1988 alipokuwa Naibu Waziri
 
Ebana eeeh huyu jamaa si mzima huyu. Nimeona clip ya jinsi alivyoishiwa nguvu na kuanza kuanguka....something is seriously not right with him...

YouTube - down

Duh, nimejisikia vibaya sana kuona hiyo clip. Halafu alishasenzi kitu cha tofauti maana kabla ya kuanguka ameguna "aiseee"!! ina maana aliona something different. Mungu amrehemu!
 
Labda anapata kizungu zungu kwa ajili ya kuogopa kuongea pumba.manake umati wa watu mkubwa kama ule alafu huna cha maana cha kuongea zaidi ya hadithi za abunuwasi lazima jasho likutoke.
Cha kuongea alikuwanacho. ila waduwanzi walimtolea sana jicho kodo alikuwa tu anawakwepa asije akapofuka bure.
 
Wabongo kwa censorship bwana, rais anaanguka badala ya kurecord event to posterity wapiga picha wanahamisha focus na kuonyesha audience badala ya rais alivyoanguka.

The people of Tanzania need to know what happenned precisely.
.

Kikwete pole sana kwa yaliyokufika jangwani.

katika taarifa za habari usiku huu vyombo vya habari vyote hata vya watu binafsi vimehifadhi tukio la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kikwete. Ni dalili ya uzalendo wa hali ya juu. Kwa wanaoamini katika Mungu basi wahusika wapepunguza dhambi katika nafsi zao. Hiki ni kipindi kigumu kwa wananchi ambapo shetani atatumia tukio hilo kutugombanisha. Mungu nchi nyingi zimemwaga damu wakati wa uchaguzi, Mungu ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.
 
.......Hivi kwa nini anang'ang'ania urais na wakati afya yenyewe spare mkononi?Hii leo ndio kwanza uzinduzi wa kampeni umeanza ataanguka mara ngapi hadi kampeni ziiishe?
 
Jamani inatia huruma ukiona alivyoanguka.

Tuwe serious na jambo hili jamani. JK ana tatizo kubwa zaidi ya swaumu.

Alianza kupoteza speech na eloquonce na baada ya hapo akaanguka.

Hii ni typical black out inayosababishwa na serious defect kwenye nerve fulani.

Tuache ushabiki, we have a disaster in our hands.
 
umecheki eee yaani full usanii kwa kwenda mbele, ndiyo maana naona kama ni style ya kuwahadaa watu wake
Si kweli kwamba ule ni usanii. Mzee aliishiwa kabisa nguvu pale. Hata hivyo alisense kwamba anaishiwa nguvu na akaguna kabisa. Lakini ningekuwa mimi nisingesubiri hadi nianguke ningewahi kiti. Sasa yeye alitaka kuendelea wakati tayari alishazidiwa. Nimesikia huruma sana, mtu mzima kuanguka vile haileti sense kabisa. I am sorry to him. Lakini kura sitampa pamoja na huruma hiyo kwake.
 
Madhara ya kutokuwa na vyombo huru vya habari, kamera imegeuzwa kwa halaiki
Nasikia TV za nyumbani nyingi hazikulionesha tukio hili kwenye taarifa za usiku, ni kumlinda rais? Kwani ni aibu kuonwa na watanzania? Ni rais wa CCM au Rais wa watanzania?

Kuanguka kwa JK kumezidi, something is VERY WRONG somewhere!
 
:focus:

samahani mkuu, ni wewe uliyeandika ama?

mbona umekuwa mkali sana we ni mdhamini wa mambo ya giza kwani??? samahani lakini!!!


Hatuongei habari za nguvu ya giza hapa, mleta mada kaleta pumba hazina mbele wala nyuma...ajali ya JK na wengine ni kawaida tu, kila mtu na afya yake ilivyo anajauwa mwenyewe na hili si tukio la kwanza kumtokezea JK, mahala tofauti, iweje mambo ya papa sijuwi nguru yanakuja hapa, hata hamuoni haya kutudanganya na kuongea pumba hapa!!! hata Dr.Slaa ameanguka ****** tumeambiwa, aje mtu leo atuletee hadhithi kama hizo hapo juu tutamuelewaje?
 
kwa heshima na taadhima, na kutumia busara tu ningeomba ajitoe na kinyanganyiro cha uraisi , period, amasivyo tutakuwa tuna spin tairi, haina mwisho.

Ishara tu zinatosha. na kama pension ataipata, kama uraisi, basi alishakuwa raisi, lakini hajapata kuwa raisi mstaafu, hivyo wakati ni huu, wala haja chelewa, asiwafwate mafisadi, hawa mtaki mema.
 
Sidhani hapa kuna mambo ya mfungo wala nini? Kwanini ili mara kwa mara? Na hii inatokea kwenye public na ni mara ngapi anaanguka pasipo public kujua? Ningekuwa mie ninge step down kuliko kuzalilika namna hoyo, anafaa kupumzika kwa kweli. sehemu aliyofanya inatosha.
 
Kusema ukweli, hili tukio linatia huruma sana. Ni vema CCM wakaliangalia hili upya. Kwa matukio haya, hata JK mwenyewe atakosa ujasiri katika baadhi ya mambo, na hivyo kushindwa kuwa kiongozi mzuri. Kwa kweli ni bora uchaguzi uchelewe, lakini asimamishwe mgombea mwingine. Hizi si dalili nzuri kabisa. Mtu mzima kuanguka vile kwa kweli haileti picha kabisa. Nimesikitika sana.
 
Pole sana JK kwa ugonjwa huu unaokusumbua. Naona ili kuondokana na hili tatizo, ufikirie sasa kutumia kiti na kuhutubia ukiwa umekaa maana haya mambo ya kudondoka dondoka hayaleti picha nzuri kwako hata kidogo.
 
This is sad na siyo mara ya kwanza ina tokea. Tuta ambiwa ni uchovu tena but raisi wetu ata kuwa na tatizo. I hope he get's better soon.
 
nini cha ajabu? huu ni wakati wa Ramadhan kama hujui!

Mkuu je mara zile mbili zingine alizo dondoka nayo ilikuwa ni Ramadhani? Hii ni mara ya tatu ana anguka jukwaani which means siyo coincidence na je ana anguka mara ngapi wakati haonekani? Kama raisi wetu ana tatizo ni bora ahudumiwe sasa watu kama wewe mnaotoka na theory ya kwamba tatizo ni swaumu ndiyo mta mmaliza. I hope madaktari wake na wao hawa fikirii ni Ramadhani au uchovu tu ndiyo chanzo.
 
Back
Top Bottom