mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,634
- 8,296
Loopholes zinatafutwa hapo !!Siungi mkono hayo maazimio. Mimi kama mwana CCM na mtaalamu, nilitegemea azimio la mwanza liwe kufanya forensic audit, then ndiyo hiyo report itumike kuwashitaki wahusika. Hii ni kwa sababu report ya CAG ni too general, na inawezekana tu mhusika alikosa muda wa kumuonesha CAG au document iko misplaced au tu eti hela ya kujenga shule ilijenga nyumba ya mwalimu au dakitari. So tusiwe washabiki.