Hapa ndio nimeamini kuwa uchaguzi wangu wa kuwa mwana cdm ulikuwa ni sahihi kabisa kwani sasa cdm kinakuwa chama kikubwa sana cha upinzani nchini Tanzania,karibu sana mh,lowasaLazma tukubali jamani, dr.slaa, prof lipumba hawana nguvu ya kumshnda magufuli akiwa na ccm katika uraisi.
Na hata kama tukisema slaa au lipumba agombee uraisi , hawatashnda huo ndo ukweli. Na magufuli alishajua kashnda, ila kwa ujio huu wa lowasa lazma ccm ikune vichwa, na itawabidi wafanye kazi ya ziada kama kweli lowasa atagombea upinzani!
Kila mtu anamjua lowasa, na tuhuma zilizokuwa zinamsibu, lakini mambo ya siasa hatuwez jua ni nini kilichotokea kihalisia. Wananchi tunampenda lowasa, despite ya yote hayo wanayomsingizia.
Kiukweli 2010, uraisi nilimpa slaa. Na 2015 bada ya EL kukatwa nilipanga kumpa magufuli, lakini kama lowasa atagombea akyamungu, kura yangu anayo.
Siasa ina siri kubwa,
CCM kwa nini mnalia sana kwa lowassa kuhamia CDM?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Inatia huzuni sana,najiuliza mara mbili mbili sipati jibu.Wametuona watanzania wapuuzi sana.Yaani ninaumia nikikumbuka wanachama walivyojitoa muhanga kuitetea CDM,wamepoteza familia na wengine viungo vyao,leo wanamuweka mtu ambaye hata kuwatetea BUNGENI tu hakuthubutu,leo wanamuona wamaana kuliko hawa wanachama?
J J Mnyika atuambie Bungeni alikuwa anatetea nini?Na sasa anafanya nini?Ngoja nifanye maamuzi magumu sasa.
Watanzanzania wote wenye mapenzi mema sema HAPANAAAAAAAAAAAA kwa Lowassa
Inatia huzuni sana,najiuliza mara mbili mbili sipati jibu.Wametuona watanzania wapuuzi sana.Yaani ninaumia nikikumbuka wanachama walivyojitoa muhanga kuitetea CDM,wamepoteza familia na wengine viungo vyao,leo wanamuweka mtu ambaye hata kuwatetea BUNGENI tu hakuthubutu,leo wanamuona wamaana kuliko hawa wanachama?
J J Mnyika atuambie Bungeni alikuwa anatetea nini?Na sasa anafanya nini?Ngoja nifanye maamuzi magumu sasa.
Watanzanzania wote wenye mapenzi mema sema HAPANAAAAAAAAAAAA kwa Lowassa
Tulia wewe lowasa hajaja ili kugombea urais alichosema anagombea ubunge huko monduli kwa tiketi ya cdm urais slaa anatosha
Hivi,Kwa nini viongozi wa chadema wanatuabisha kiasi hiki?....Hivi mbowe na slaa wanafikiri wakimkaribisha lowasa watachukua dola?....Hata mapokezi yao yatakuwa ya hovyo kuanzia kanda ya ziwa mpaka kusini!...Amini.CDM Itapotea kwenye ramani ya kisiasa tanzania
CCM kwa nini mnalia sana kwa lowassa kuhamia CDM?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Pamoja na kwamba wewe ni ccm, nakubaliana na wewe kuwa hii picha ni photoshop. Naona watu wameamua kuwatia jambajamba Lumumba, chezea technology weweee. Ukiwa Engineer wa computer ni rahisi kujua kuwa hii ni edited!
ukweli ni huulowassa angekua ni fisadi hasinge weza ondoka ccm ndugu, mtulie tu dawa iwaingie,
ukweli ni huuRamli chonganishi hii! Kwani CCM waliposhindwa kuwavua magamba walitoa sababu gani? Kwanini CCM hawakumfikisha mahakamani mhusika kama walivyomfunga Mramba na mwenzake?