BAVICHA karibuni uwanjani. Naona mambo yameiva.
Leo Lowassa sio fisaditena!
Mkuu upo? sijakusikia kitambo! tangu mh akatwe.
BAVICHA karibuni uwanjani. Naona mambo yameiva.
Leo Lowassa sio fisaditena!
Kwa hiyo na yeye atangana kwenye safari ya matumaini?
kwa na hilo mnalolipitisha kung'ang'ania urais eti hata kama ni kwa siku 2, si ni LICCM sasa nani anayejambajamba hapa kama sio huyo aliyeiuza chadema kwa bil.10 ! Cc: Lizaboni ,
Kama kweli CHADEMA kwisha kazi. Wamejipeleka kaburini huku wakiona na kutizama. Inatia huruma kwa Watanzania waliokuwa na matumaini kwa chama chao cha CHADEMA. Watakimbilia wapi??? Sitashangaa wakirudi kwa CCM ambao wameonyesha kuanza vita dhidi ya ufisadi kwa kumuengua Lowasa kwenye kugombea urais wa nchi.
Duh! Huu sasa ni uzandiki wa hali ya juu. Anyway sanduku la kura litaamuani maajabu sana huku mitaani. Kila mtu anashangilia jambo hili, nimepita mkutano mmoja wa ccm kura za maoni eti nao wanashangilia lowasa kugombea ukawa. Kweli ccm itabaki?
Nini Kamanda Edward Lowassa; hata aje Shetani Mkuu, Lucifer, as long as the strategy ni kuiondoa CCM, Chadema au chama kingine chochote kimpe support. Say no to CCM by all means.
Kwa huyu fisadi kugombea urais hakuna anayemuogopa. Tutamtandika mpaka akomeNyie mtulie tu ccm mwaka huu mshalikoroga mnapata kiwewe sasa
Ramli chonganishi hii! Kwani CCM waliposhindwa kuwavua magamba walitoa sababu gani? Kwanini CCM hawakumfikisha mahakamani mhusika kama walivyomfunga Mramba na mwenzake?Sote tunakumbuka kuwa kwenye ile list of shame ya slaa ya watu 11 Lowassa alikuwa mmojawapo.
Leo hii Slaa itabidi aanze kwanza kumtoa kwenye ile list na kuwabakiza 10. Kwamba nilikosea kumtaja Lowassa, kwani majina niliyoletea na vijana wangu yalikuwa 10 shetani akaongezea na la Lowassa, ashindwe na alegee kabisa, hahaaaaa!
Ndugu wananchi nawahakikishia Lowassa ni kamanda na mtu msafi kabisa kuliko mnavyofikiria.
Pipoooooooooooooooz!!! Pawaaaaaaaaaaaaaaaa.
lowassa akiweka ushahidi kamba hakuusika unadhan itakuwaje!
Hawana mgombea mwingine zaidi ya huyo fisadiPicha tuu inakataa , jamani Jaman ukawa mmekosa mgombea msisafirie nyota ya lowasa
lowassa akiweka ushahidi kamba hakuusika unadhan itakuwaje!
Bilioni 10 alizohongwa Mbowe zinafanya kaziAcha pesa iitwe pesa.Lowassa ndani ya mwezi mmoja amekaribishwa mpaka chumbani.makada wamepigwa na butwaa. Mtei na Mbowe deal done !!!
ni maajabu sana huku mitaani. Kila mtu anashangilia jambo hili, nimepita mkutano mmoja wa ccm kura za maoni eti nao wanashangilia lowasa kugombea ukawa. Kweli ccm itabaki?
Ushahidi autoe wapi?lowassa akiweka ushahidi kamba hakuusika unadhan itakuwaje!
Sio kweli