Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

haya ndo maamuzi magumu, yale mengine yoote ulikuwa ubabaishaji tu
 
picha hii ni batili. kuna kamanda hapo kwa picha anaonekana, namba yake ninayo, nimempigia, kasema hajawahi kukaa karibu na mzee Ngoyai namna ile tangu azaliwe.

Mods pigeni pini huyu member alieleta huu uzi.
 
lowasa kucheleeeeeeeeee,nchi itawaka moto hiii naona nondo zimeanza kuyeyuka jamani kuweni makini
 
Hakuna chama kina itwa ukawa na hawa watu wa chadema ni lazima wajuwe dhambi walio iyona inaitafuna ccm sasa wao inaenda kuwaangamiza kabisa binafsi nasubiri wamtangaze nikatupe likadi lao la chadema upumbavu huu

Wewe ni CCM sio CDM
 
Kama kuna shetani nyumbani kwangu na linatesa wanangu lakini ili litoke nahitaji jini kumtoa basi lazima nitamwambia jini karibu tumtoe shetani.
CCM ni lazima itoke, kama lazima tutumie jini ndio itatoka basi sawa tuu wacha tutumie kisha jini tutaliombea liwe jini mahaba.

Waliwahi kufuga Nyoka huko kusini ili zile Panya
 
Kama kweli CHADEMA kwisha kazi. Wamejipeleka kaburini huku wakiona na kutizama. Inatia huruma kwa Watanzania waliokuwa na matumaini kwa chama chao cha CHADEMA. Watakimbilia wapi??? Sitashangaa wakirudi kwa CCM ambao wameonyesha kuanza vita dhidi ya ufisadi kwa kumuengua Lowasa kwenye kugombea urais wa nchi.

Tunajua watatupa kadi lakini si nyingi sana kama zitakazo tupya kutoka ccm wenye Chadema ni akili kubwa.
 
Hivi una hitaji kuwa mtaalam kugundua hiyo picha ni ya kutengeneza?

Teh Teh hebu Muangalie lowasa na watu walio pande zote mbili...Teh Teh.
Bavicha kwa kujifurahisha
.View attachment 271458

Pamoja na kwamba wewe ni ccm, nakubaliana na wewe kuwa hii picha ni photoshop. Naona watu wameamua kuwatia jambajamba Lumumba, chezea technology weweee. Ukiwa Engineer wa computer ni rahisi kujua kuwa hii ni edited!
 
Kama kweli CHADEMA kwisha kazi. Wamejipeleka kaburini huku wakiona na kutizama. Inatia huruma kwa Watanzania waliokuwa na matumaini kwa chama chao cha CHADEMA. Watakimbilia wapi??? Sitashangaa wakirudi kwa CCM ambao wameonyesha kuanza vita dhidi ya ufisadi kwa kumuengua Lowasa kwenye kugombea urais wa nchi.

Kwa hiyo unachotaka kutuambia kashfa zote za ufisadi zilizopata kutokea toka EPA, MEREMETA, Deep green finance, rada,RICHMOND, ESCROW , kuuza nyumba za serikali, zoote hizo zimekwisha kwa kumtosa Lowassa? You are deluded!
 
lengo la kila chama ni kukamata dola, hilo ndiyo lengo kuu. kwahiyo hawawezi kuwa na permanent enemies hawa cdm bali ni permanent interests. kwenye hili ni muhimu watumie popularity ya eddo. hata kama watakosa urais. itawafaidisha sanaaa kwenye ubunge. naiona tanzania yenye wabunge wanaokaribiana kiasilimia bungeni. this will be a healthy political situation. tufike sehemu kisiwepo chama kimoja chenye over two-third na kuhalalisha uhalamia wao kama wanavyofanya ccm sasa. ka ni mzalendo wa kweli unapenda tufikie hapo
 
Back
Top Bottom