Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

hivi ninyi mnaojifanya makamanda humu mnamkataa lowasa,,. Kwani lowasa ni adui wa chadema au ccm ndio adui yetu????! Tunapambana kumtoa ccm madarakani na mfumo wa kifalme,,,, alojiwekea,,,.

As long as lowasa anauwezo wa kuifutilia mbali ccm na mfumo wake, akishirikiana nasi ukawa,,,, then hatuna budi kumpigia magoti ajiunge nasi tuweze kuwaondolea wananchi kero za ccm.

sijui kwa nini watu wanashindwa kuelewa fact rahisi kama hii!!! Je hii ina maana makanda hawakuwa wakijua tunapambana na mfumo? Ni wakati ambao safari yetu ya kuitoa sisiem inakaribia ukingoni kwa matumaini... Tumeukaribia sana ushindi!
 
Yaani hii mechi ikianza UKAWA 1000, CCM 0, dak ya 89... washambuliaji hatari

UKAWA....

1: Edward Lowassa..Capt..striker hatari

2: Dr. Slaa, striker hatariii

3: Prof. Lipumba..striker..hatariii

4: Mbowe...striker...hatariii

5: Mbatia...striker hatariiiiii...

6: Maalim Seif .. Striker hatariiii...

7: Jussa..striker ..hatariiii....

8: Lembeli...maweee, striker hatariii sana

9: Wenje...right winger

10: Lissu, analijua Tundu...haaaatariiiii

11: Prof. Safari...ni shiiidaaaaa

12: Mnyika...striker, Moto mkubwa

13: Salum Mwalimu...striker..

14: Kafulila, Suarez..weweeee

15: Mkosamali.. striker...

16:Joshua Nassary...Dogo Janja, Neymar

17: Nchimbi....Middle

18: Msigwa...middle..

19: Bulaya...kipa..

20: Mdee, striker...hatariii

21: Lema, Ibrahimovic...haaaa

...

CCM...

1: Magufuli...Capt..

2: Amina... mshangiliaji..

3: Makinda...Forward..

4: Mary Nagu...Forward..

5: Migiro, beki...

6: Asumpta Mshana, middle

7: Kibajaji...mshangiliaji...

8: Nape Kipa....magoli mengi tu


Yaani....CCM hakuna wachezaji kabisa..
umeua mkuu, ukawa tutacheza style ya mchezo wao kuwamaliza kwenye uwanja wao wenyewe.

Mesiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii......what a goooooool, fantastic touches!!!!
 
Haya ndio mambo ya Dunia hii katika utawala wa Wadunia wanaojipangia mambo yao ilimradi tu usawa, haki na amani vizingatiwe kwa wakati unaofaa hivy basi Lowasa kuhamia CDM ni usawa , haki amani .
 
Lowasa katisha nipo hapa Budget natupiatupia tupopcorn mdomoni...teh...teh....ah no bisi......kwi....kwi....kwi...wapi DC Lizab..?!!!
 
Mke wa mtu unaweza kumuowa akishaachwa na mumewe. Kwa hivyo hata LOWASA amekua safi baada ya kukatwa na CCM laiti angepewa nafasi ya kupeperusha bendera ya MAGAMBA heeeeeeeeeeeeee UKAWA wasingeona cha kukampeni zaidi ya Lowasa + Richmind. Tutaendele kuyaona maajabu
 
Kuna dhana ya kijinga ya kuzani anayekataa Lowasa asigombee urais ni ccm. Huu ni ujinga, kabla ya kuchangia au kumpinga mchangiaji mwenzako pitia histori ya comment zake za nyuma ili ujue ni MTU Wa mlengo gani. Nasema fanyeni ujinga wenu lkn msije sema hatukuwaonya.
 
Kwa ujumla mimi sielewi kabisa, lakini kwa vyovyote vile na katika mazingira yoyote yale ambayo kwa njia moja ama nyingine yatapelekea hiki kitu kuwa kweli, basi pasipo na chembe yoyote ya shaka nitakuwa nimeamini kuanzia sasa kuwa ni kweli Tanzania hatuna vyama vya upinzani bali tuna vyama vinavyoongozwa na watu ambao sio viongozi bali ni wale wenye uroho tu wa madaraka. Haiingii akili, mtu yule yule unarudi nyuma na kisha kula matapishi yako! And frankly speaking, shame on you, CHADEMA!
 
je unaweza kuweka ushahidi wa wazi hapa na kama ukishindwa mod tafadhali mtendeeni haki yake ya kumfungia kwenye jukwaa hili.

Nafikiri chama cha kuepuka ni CCM maana walipoambiwa ni fisadi walikataa na huko ndiko alikokaa miaka yote, tukiacha huyu kwani humo CCM wa aina yake wako wangapi? Mwenye makosa akitubu husamehewa. Sasa hivi hana fedha za kugawa tena maana alizokuwa nazo zote kazigawa huko huko CCM wakati akitangaza nia. Huku hakuna kupeana fedha bali ni kuchapa kazi kwa manufaa ya wananchi
 
Lowassa ni mtu mzima na anajua afanyalo.Naomba asije aga dunia bila kutuambia sakata la Richmond lilikuwaje!?

Usihofu kamanda hawezi akaaga kizembe vile, hilo analijua tokea awali. Ishu kama hizo kacheza nazo sana. Baada ya october 25,kueleweka tutaanza mukulu. Huyu ndio atakuwa mtu wa kwanza kupeleka salamu kwa nyelele.
 
CDM wasije wakasema hatukuwaonya.Hii ni hatari.Huwezi ukawa chama kinachodai kinasimamia uadilifu na uzalendo ukamchukua fisadi kama huyu Lowasa.Mimi sitakuwa sehemu ya uchafu huu.

Kwa ujumla mimi sielewi kabisa, lakini kwa vyovyote vile na katika mazingira yoyote yale ambayo kwa njia moja ama nyingine yatapelekea hiki kitu kuwa kweli, basi pasipo na chembe yoyote ya shaka nitakuwa nimeamini kuanzia sasa kuwa ni kweli Tanzania hatuna vyama vya upinzani bali tuna vyama vinavyoongozwa na watu ambao sio viongozi bali ni wale wenye uroho tu wa madaraka. Haiingii akili, mtu yule yule unarudi nyuma na kisha kula matapishi yako! And frankly speaking, shame on you, CHADEMA!

Umesema ukweli japo unauma sana.Na hata wale wenye NIA ya kusaidia hawana nguvu.I wish kungekuwepo na mgombea binafsi.

Namuangalia Dr.Slaa akitoka nje atakuja kutuambia nini watanzania?Je,tutamuamini?Ninajiuliza kwa sauti hivi ni kweli CDM imekuwa chama cha kifamilia kama wanavyokinanga?Kwamba Mtei akiongea basi wote mnakubali?Nimeshangazwa na hilo.

Ila kama kuna hata mwenye AIBU japo kidogo basi aikubali huo ujinga.

Na kwangu ni NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO kwa Lowassa.

Duh nimeamini cdm ni uchaga damu. Yani wao hela mbele tu. Alafu slaa na mbowe ni wanafiki Wa kutupwa

Aliyetengeneza hii picha mwambieni kasahau kamguu hapo penye duara...

[h=5]Edward Lowassa Na Safari Ya Matumaini 2015[/h]
 
Naangalia picha mara mbili-mbili siamini macho yangu, kweli hii movie imefika patamu sana acha iendelee!
 
Ni mwendo wa viparaa!
watu wanatembea na dicloper mifukoni na presha ikipanda Valiam itahusikaaa!
 
mbatia ametangaza kuwa lowasa rasmi ukawa kweli baniani alisema hogo tamu shinda kate.
 
Lowassa akihudhuria kikao Kamati kuu CHADEMA

View attachment 271482
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akisalimiana na viongozi na wanachama wa CHADEMA

View attachment 271483
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa akiwa Meza Kuu na viogozi wa CHADEMA

malaika2.jpg
 
Nashaur wakat wa kampeni kila mkutano wa kumnad mgombea iwekwe ile audio ya Mwk.. Nyerere ya Watanzania wanataka mabadiliko wasipo yapata ndan ya ccm watayatafuta nje ya ccm.
 
Back
Top Bottom