Hakuna shetani mbaya katika maslahi...nasisitiza Lowassa ni mali kwa UKAWA lakini wasimpe agombee urais (Slaa anatosha)
Kuna kitu gani atasema? Msishangilie ngoma bado mbichiLowasa anaenda kusema kila kitu
Wait and see
Mimi nitakua wa mwisho kuchangia
Ni dhahiri sasa anguko la ccm live. Mwaka huu CHADEMA na UKAWA itapita bila Kupingwa majimbo mengi mno. Magufuli anakuwa m/kiti wa kwanza wa ccm asiyekuwa rais. Kiukweli JK alikuwa chaguo la Mungu.
Sote tunakumbuka kuwa kwenye ile list of shame ya slaa ya watu 11 Lowassa alikuwa mmojawapo.
Leo hii Slaa itabidi aanze kwanza kumtoa kwenye ile list na kuwabakiza 10. Kwamba nilikosea kumtaja Lowassa, kwani majina niliyoletea na vijana wangu yalikuwa 10 shetani akaongezea na la Lowassa, ashindwe na alegee kabisa, hahaaaaa!
Ndugu wananchi nawahakikishia Lowassa ni kamanda na mtu msafi kabisa kuliko mnavyofikiria.
Pipoooooooooooooooz!!! Pawaaaaaaaaaaaaaaaa.
CHADEMA nakiona kifo chenu, kama mmeamua kuuza utu wenu kwa vipande vya pesa?
Lowasa ndio rais ajae wa Tanzania.. Watanzania wanampenda sana.
Hali si shawri ndani ya Uongozi wa juu wa CHADEMA kutokana na mambo yanavyoendeshwa kwa sasa hasa kuhusiana na upingaji wake kuhusiana na suala la mgombea uraisi.Yuko mbioni kufanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa na atatimka na viongozi na wanachama kibao wa CHADEMA.Stay tuned.
Hali si shawri ndani ya Uongozi wa juu wa CHADEMA kutokana na mambo yanavyoendeshwa kwa sasa hasa kuhusiana na upingaji wake kuhusiana na suala la mgombea uraisi.Yuko mbioni kufanya maamuzi magumu muda wowote kuanzia sasa na atatimka na viongozi na wanachama kibao wa CHADEMA.Stay tuned.