Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kawaida yangu ni kusoma comment zote ndipo nichangie,ila UZI huu UNAKIMBIA si kawaida,nimeshindwa kuzisoma zote.SICHANGII kwa sasa.
 
Adui namba moja wa taifa hili kwa sasa hivi ni CCM. Tuondokane naye kwanza hayo mengine baadaye.

He!!! Kumbe tatizo sio ufisadi na mafisadi,,,, tatizo kumbe ccm???
Kwa hiyo fisadi akitoka ccm kuja kufanya ufisadi chadema ruksa???

R. I. P CDM
 
Hayo yatakuwa ni maamusi magumu sana kwa SLAA naye, ila ningekuwa SLAA ningeng'atuka siasa kuliko kupanda basi moja na fisadi wa Mwembeyanga.

Unatakiwa tu kujua kwenye siasa hakuna adui wa kudumu, wote waliotajwa kwenye list of shame n wanaccm na mliwapa uongozi, leo hii mnamuona lowassa tu, acheni unafiki.

Nikupe mfano, kwenye mieleka ile ya wwe huwa kuna macha zinaitwa triple threat match au one man stand.

Hapo mnaweka ulingoni watu kuanzia watatu ila mshindi lazima awe mmoja, sasa wote mlioko ulingoni ni maadui, ila adui wawili wanaweza kuteam up na kushirikiana ili kumuondoa adui mmoja mkubwa mwenye nguvu, whawa maadui wawili wakishirikiana na kuweka nguvu zao pamoja ndio wanaweza kumtoa yule mmoja mkubwa. Hiki ndio kinafanyika, hapa kuna triple threat match,ccm,ukawa/chadema na Lowassa. Hapa big threat n ccm kwa hiyo hawa maaduo wengine ili mmoja wapo ashinde lazima wakubali kuunganisha nguvu.

Hizo ni falsafa ndogo sana kwenye maisha ila huwa hamtaki kuzielewa.
 
Hivi,Kwa nini viongozi wa chadema wanatuabisha kiasi hiki?....Hivi mbowe na slaa wanafikiri wakimkaribisha lowasa watachukua dola?....Hata mapokezi yao yatakuwa ya hovyo kuanzia kanda ya ziwa mpaka kusini!...Amini.CDM Itapotea kwenye ramani ya kisiasa tanzania
 
Habari zilizonifikia hivi punde....wakati wowote lowasa anatangazwa mgombea urais kwa tiketi ya ukawa
 
This perception is totaly WRONG. lengo ni kuiondoa CCM ama kuikomboa Tanzania toka mikono ya WACHAFU, WALAFI, MAFISADI, WAFIA TUMBO???

Labda kama Lowasa anaingia CDM kama mwanachama wa kawaida na siyo kama mgombea uraisi.

Hayo yote uliyotaja ni chanda na pete kwa CCM. CCM ikiondoka, more than 90% ya matatizo ya taifa hili automatically yatakuwa yamekwisha. Sasa 10% iliyobaki makamanda wataimaliza ndani ya muda mfupi. Leo hii Kenya wanaikaribia SA kwa uchumi imara sisi hapa tunapiga ujinga? Sure! Iondoke kwanza itarudi baadaye ikijirekebisha.
 
Kweli wanasiasa hawaaminiki. Angelikuwa CCM wangelimponda fisadi. Kahamia CDM hawalioni hilo. Kweli uchaguzi wa mwaka huu kazi tunayo.
 
hahahahahahha

Kampeni zitanoga sana

Kwa ninavyojua Magufuli atafunikwa sana....He is a good guy kwenye chama kisicho na mvuto..Chama kitamuangusha

Ni kweli mkuu,hawawezi kuzuia mafuriko kwa mikono
 
Siasa kweli ni uzuzu. Chadema mkimpokea huyu jamaa, nitakuwa nina hakika kuwa kweli UCHAGA na U-NORTH ni shida nchi. Pamoja na kumtusi na kumkejeli kipindi chote hiki bado mnamuona lulu?!
 
UKAWA ni moto wa gas, stay tuned mbona mtalia sana tu mwaka huu.
 
Ninaimani na slaa na wengine wote na sio lowasa hatakama ni msafi lakini wakati huu hatufai kuwa rais, alipaswa kuwa mwazi wakati wa richmond na mauchafu mengine yaliyofanyika wakati wake.
 
Ukiangalia vizuri picha hii nyuma ya lowasa kuna mtu, lakini haonekani ktk uhalisia kwa hiyo hii inaashiria kwamba mambo bado hii ni photo shop

View attachment 271512
angalia chini viatu huyo mtu mbona haonekani?
 
Back
Top Bottom