Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

malaika2.jpg

Tukio lisilo la kawaida limetoa huko Tanzania....
MALAIKA aanguka nchini TANZANIA na kuifadhiwa sehemu maalum ambapo watu wameanza kumiminika kwenda kumshuhudia
 
Who are you kuishauri Chadema na ukawa??? Kwani waliomo ndani hawajui what the are looking for...Stop pretending mnaipenda sana chadema na ukawa mpaka kuabza kuishauri.
 
Makamanda wote hawana furaha kwani wameingiliwa na mfupa ulio mshinda fisi. ..
 
Ni maigizo hayo,,,wengine ktk chadema mlichokariri ni neno pipoo..we unahuc hao viongozi wa juu pmj na waasisi wa chama hawana akili? Mbn cuf walitia bifu na chadema na ss ni marfk..siasa hakuna hz bifu unazofikilia ht ukikata kadi mia moja hayo ni maigizo na huna madhara ndani ya chama
 
Ni hataree mzee mwenzangu..ccm wanadhani utani wanajaribu kupima mafuriko kwa mguu manina...
 
Lazma tukubali jamani, dr.slaa, prof lipumba hawana nguvu ya kumshnda magufuli akiwa na ccm katika uraisi.

Na hata kama tukisema slaa au lipumba agombee uraisi , hawatashnda huo ndo ukweli. Na magufuli alishajua kashnda, ila kwa ujio huu wa lowasa lazma ccm ikune vichwa, na itawabidi wafanye kazi ya ziada kama kweli lowasa atagombea upinzani!

Kila mtu anamjua lowasa, na tuhuma zilizokuwa zinamsibu, lakini mambo ya siasa hatuwez jua ni nini kilichotokea kihalisia. Wananchi tunampenda lowasa, despite ya yote hayo wanayomsingizia.

Kiukweli 2010, uraisi nilimpa slaa. Na 2015 bada ya EL kukatwa nilipanga kumpa magufuli, lakini kama lowasa atagombea akyamungu, kura yangu anayo.

Siasa ina siri kubwa,

Mkuuu hiyo kura yako unaipoteza maana ATAKATWA mapema sana! Na ndo utakua mwisho wake kisiasa!
 
chadema ndo walioitaja hiyo list wala sio ccm. kwa hiyo chadema ndo waliokuwa na wajibu wa kusimama imara kwa kile wanachokihubiri. lakini wamefeli. chezea masilahi weye! hahaaa, mbona mtaisoma namba mwaka huu.

Mbona kikwete alikuwepo na bado mkampa irais mwaka 2010. Wote walioko kwenye list of shame ccm iliwatetea na kuwapa uongozi, hiyo leo sio hoja, leta hoja nyingine.

List of shame unaijua wewe, watanzania na wana cc karibu milioni waliompa kura Lowassa hawaijui na hata kama wanaijua wanachotaka ni mabadiliko.

Ccm sasa mavi yanagonga chupi na kurudi, matumbo ya kuhara yamewaanza gafla.
 
Lipumba na Slaa wanayo nguvu ya kumkabili Magufuli. Nguvu yao kubwa ipo kwenye madhambi ya CCM kwa wananchi. Magufuli kama Magufuli kweli ana nguvu lakini hilo limwavuli alilojifunika linamtia doa kubwa sana. Naye anajifanya hajui kama wananchi wamekwishachoka kuliona limwavuli hilo
 
Alitabiri leo ww utaleta topic ya kipuuzi humu na kweli imetokea
 
wewe ndiyo akulaani, kwa sababu Lowasa ni daraja ya kiangamiza CCM, bila Lowasa kudelete ccm inakuwa ngumu.

Hawa watu wanazungumzia sana emotional feeling zao kuliko uhalisia, wanafikiri kuitoa CCM madarakani ni vyepesi kwa kuwaimba na kuwaita mafisadi tu inatosha. Kwa miaka zaidi ya 20 CHADEMA imeimba na kuwaita CCM mafisadi je imesaidia kwa mfano recently kuzuia kupitisha miswadi ya gesi?

Hii ni opportunity na haiji mara mbili ya kuweza kuipasua CCM, na kama LOWASSA ana turufu ya kuipasua CCM why not? Kwani wezi wa epa, merememeta, buzwagi, kuuzwa nyumba za serikali, rada, ESCROW, nk nk woote wako CHADEMA

Nakumbuka Yesu alisema ukiona ufalme unafitinika basi ndiyo mwisho wao utaanguka, sasa wanaojitia wana mabadiliko wanashindwa kuona fursa ya kusambaratika kwa wapinzani wao wakuu wanabaki kulialia eti CHADEMA wamekuwa mafisadi nadhani ni ufinyu wa mawazo na maono. Hapa namvulia kofia PASCO ukimsoma vizuri post zake nyingi utamuelewa, BRAVO BROTHER PASCO
 
Lazma tukubali jamani, dr.slaa, prof lipumba hawana nguvu ya kumshnda magufuli akiwa na ccm katika uraisi.

Na hata kama tukisema slaa au lipumba agombee uraisi , hawatashnda huo ndo ukweli. Na magufuli alishajua kashnda, ila kwa ujio huu wa lowasa lazma ccm ikune vichwa, na itawabidi wafanye kazi ya ziada kama kweli lowasa atagombea upinzani!

Kila mtu anamjua lowasa, na tuhuma zilizokuwa zinamsibu, lakini mambo ya siasa hatuwez jua ni nini kilichotokea kihalisia. Wananchi tunampenda lowasa, despite ya yote hayo wanayomsingizia.

Kiukweli 2010, uraisi nilimpa slaa. Na 2015 bada ya EL kukatwa nilipanga kumpa magufuli, lakini kama lowasa atagombea akyamungu, kura yangu anayo.

Siasa ina siri kubwa,

Angalia Azam two
 
Anything can happen!!

1. Nampongeza kwa maamuzi yake magumu.

2. Namsikitikia kuwa amejimaliza kisiasa...Lowassa is gone ! Gone and dead!!

3. CHADEMA ni WANAFIKI WAKUBWA ....na Watashindwa kwny uchaguzi mkuu ikiwa watamsimamisha lowassa kma mgombea urais wa ukawa. Mlianza na Mungu ila kutokana na uroho wa hela , madaraka na kuwahadaa watanzania mtakufa vibaya..tena vibaya mno.

Sitegemei Kama hata Lowassa mliekuwa mnampiga vita kuwa ni fisadi nachafu Leo mnamkumbatia....ni upuuuzii ! Upuuzi mtupu tena..

CCM wamevua chupi chafu ninyi mmeivaa...

Kifo chema Ukawa
 
Kwa fununu watanzania wamekasirika sana juu ya ukigeu geu wa CHADEMA.

Mkuu Mudawote sio fununu... ni kweli wewe na mwenza wako ni watanzania. So fununu zako ni kweli. Ninachoweza kuwashauri watanzania wa namna yako ni kuwa kabla ya kujiita kamanda ulipaswa kujua unapambana na nini.... Mtu au mfumo? Pia ulipaswa ujue hali ngumu waliyonayo watanzania imetokana na mtu au mfumo? Na ulipaswa ujiulize kwa nini ulikuwa hum-support Magufuli? Ni mtu asiyefaa?? Nope! Ni mtu anayefaa aliye katika mfumo usiofaa. Adui sio mtu! Ni mfumo.... ni sisiemu!

Kama kweli ni kamanda sitegemei kukupoteza ktk wakt huu muhimu!
 
Last edited by a moderator:

Mtaongea yote leo, ila ukweli utabaki kuwa ukweli.

Si ninyi ndio mliosema Lowasa Mwizi?

Sasa kama mlishindwa kumpeleka mahakamani, safari hii na yeye atawapeleka mahabusu kabisa.

Hivi umewai kuona wapi adui yako akakusaidia kufichua wezi wanaokuibia?

Hii ndio siasa bwana, unapigiwa mziki ukicheza unalipishwa kiingilio.


Sijakuelewa.
 
Yaani uzuri w CCM ni kubadilika badilika kulingana na hali husika ktk wakati muafaka kama hili ni kweli la Lowassa ,? Ni ushindi wa wazi ktk opresheni ya kuvua gamba na muonekno mpya wa CCM imara inayozidi kukomaa kila leo. Magufuli kamaliza yote!!!!
 
ni mfumo wa ccm ndo hatari. mfumo wa ccm ndo unaowalea wezi na mafisadi. dawa ni kuuondoa huo mfumo na si kudeal na mtu mmojammoja.

pale ccm hata ukipeleka malaika hawezi kubaki safi sababu mfumo wote wa ccm ni mchafu kuanzia juu hadi chini.

embu nipe sababu za kwanini lowassa alipokuwa ccm ulitaka asiibe ili iweje? kwa nini asiibe wakati wenzake wote wanaiba? ambao hawaibi ccm imewapa heshima gani zaidi ya kuwatenga na kuwadhalilisha? kina warioba ambao si wezi wamefanyiwa nini na ccm?

wastaafu waliokuwa wanaitumikia ccm kiuadilifu, na hata watumishi waadilifu ndani ya serikali ya ccm leo hii, wamefanyiwa nini na ccm? ukiwa ccm kuwa mwizi si optional ni lazima.

Ukiwa ccm na ukataka kuacha wizi na uzembe hatua ya kwanza ni kutoka nje ya ccm kama alivyofanya lowassa.

Kama Warioba hajaiba na anadhalilishwa na mfumo wa CCM na heshima yake anayo anaweza kutumika kuwaongoza watanzania katika nini la kufanya kama alivyofanya kwenye katiba, je walioiba na hata wakashiriki kuua watu hasa wale waliokuwa kipingamizi katika wizi wao leo ndio wawe mashujaa wetu? Kama iliwezekana Warioba hakuiba katika mfumo wa wizi ni wazi walioiba pia wana tabia ya wizi si mfumo tu. Kwa kuiba kwao wamesababisha nchi kudumaa, elimu imedumaa, afya imesambaratika, viwanda vimekufa, watanzania wamebaki kuwa watu masikini wajinga wenye kufa kwa maradhi yanayotibika ilhali ikifahamu ni akina nani waliotufikisha hapa kwa majina lakini kwa sababu ya tamaa ya kushika dola na tunadhani pengine wao wanaweza kutusaidia kushika dola tunawaona hao wadhalimu kuwa mashujaa wetu? Kweli watanzania hatuna mashujaa zaidi ya hawa? Sasa mashujaa wa ukweli wenyewe tumewapa tuzo gani? Napata mashaka tunaelekea kujenga jamii ya watu waliokata tamaa kuliko ilivyo sasa na wenye kuamini unaweza kufanya jambo baya, baya sana hata ikibidi kumua binadamu mwenzako ukapata pesa na jamii ikajua na bado ukabaki ukiishi kwa raha mustarehe ili mradi uipake sukari kidogo tu sababu ya wewe kuuua. Tusubiri tuone!
 
Lowassa akihudhuria kikao Kamati kuu CHADEMA

View attachment 271482
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akisalimiana na viongozi na wanachama wa CHADEMA

View attachment 271483
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa akiwa Meza Kuu na viogozi wa CHADEMA

Mbowe: Mazungumzo yameshafanywa hivyo hawezi kuongea na amesema kuhusu picha za Lowassa kuwa kwenye kikao cha CHADEMA zimetengenezwa.
 
Inatia huzuni sana,najiuliza mara mbili mbili sipati jibu.Wametuona watanzania wapuuzi sana.Yaani ninaumia nikikumbuka wanachama walivyojitoa muhanga kuitetea CDM,wamepoteza familia na wengine viungo vyao,leo wanamuweka mtu ambaye hata kuwatetea BUNGENI tu hakuthubutu,leo wanamuona wamaana kuliko hawa wanachama?

J J Mnyika atuambie Bungeni alikuwa anatetea nini?Na sasa anafanya nini?Ngoja nifanye maamuzi magumu sasa.

Watanzanzania wote wenye mapenzi mema sema HAPANAAAAAAAAAAAA kwa Lowassa

Mkuu inauma sana, tena sana... Hii ni aibu kwa kila mpenda Demokrasia na mchukia ufisadi.

Upinzani wa Tanzania utaficha wapi sura yake.?
 
Back
Top Bottom