Dah! Kuda dadeek! Ccm peleka makumbusho sasa.
Kama kweli CHADEMA kwisha kazi. Wamejipeleka kaburini huku wakiona na kutizama. Inatia huruma kwa Watanzania waliokuwa na matumaini kwa chama chao cha CHADEMA. Watakimbilia wapi??? Sitashangaa wakirudi kwa CCM ambao wameonyesha kuanza vita dhidi ya ufisadi kwa kumuengua Lowasa kwenye kugombea urais wa nchi.
We utamfuata?BAVICHA karibuni uwanjani. Naona mambo yameiva.
Leo Lowassa sio fisaditena!
Nashindwa kuelewa akili ya mtz. Kama lowassa fisadi mwambieni kikwete ampeleke mahakamani. Eeh, tuone sasa.
Fisadi kikwte na serikali yake.
Tuanze kwanza mahakamani.
kweli Chadema Mambo yanaharbika,upinzani wa kweli umekwisha.mtuu waliyemtukana then anagombea uraisi kwa chadema.
kweli siasa mchezo mchafu
Shame kwa chadema na mbowe wao
Kajiunga CDM, hao wengine wanaounda UKAWA wamekubali ajiunge nao?
Siwezi kuwa wa kwanza kuchangia;