Photoshop
Photoshop
Yametimia! Fisadi anapata utakaso?
Hahhaa dah yaani ccm hawatahangaika kabisa kwenye kampeni njia nyeupee, bil 10 tu watu wameuza malengo na mipango iliyotumika kujenga upinzani kwa miaka 22, sasa wanaanza upya kabisa, CCM tawala milele nchi hii imejaa mburula tupu
Kikwete mbona yuko list of shame na mlimpa uraisi, hilo hamulioni mnaona lowassa tu, acheni unafiki.Lowassa: "Siwezi kuhama CCM, ambaye anaona hafai ahame yeye"
Mbowe: "Lowassa ni fisadi na yuko katika list of shame".
Slaa: "Hatupokei makapi ya CCM"
Leo hii they all have same mindset!?
Hahaha...Tanzania nchi yangu nakupenda sana, ila ukombozi wako bado sana!