Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

kweli Chadema Mambo yanaharbika,upinzani wa kweli umekwisha.mtuu waliyemtukana then anagombea uraisi kwa chadema.
kweli siasa mchezo mchafu
Shame kwa chadema na mbowe wao
 
Hakuna chama kina itwa ukawa na hawa watu wa chadema ni lazima wajuwe dhambi walio iyona inaitafuna ccm sasa wao inaenda kuwaangamiza kabisa binafsi nasubiri wamtangaze nikatupe likadi lao la chadema upumbavu huu
 
Kama angekuwa fisadi angethubutu kutoka?, sii ndio serikali itammaliza kabisa na makesi lukuki
 
Kajiunga CDM, hao wengine wanaounda UKAWA wamekubali ajiunge nao?
 
Utashangaa sana Lowasa ndio kaishakuwa mgombea wa chadema, chama ambacho kipo zaidi ya miaka 20 lakini leo kimekosa mgombea kabisa hadi kudaka mkwanja wa jamaa na kumpa usukani! Ha ha ha ha siasa za chadea pasua kichwa!

Pole vita haina macho
 
Inawezekana Lowasa alionewa NA Ccm kwenye Richmond ni ngumu mwizi kuwaface wanaomtuhumu otherwise anaomba msamaha....
 
Hii picha ya kutengeneza,. Hiyo picha mbona kama ya JK..
 
Hapa nasoma mnayoandika wenzangu tu sisemi chochote,ntakuja badae!
 
Back
Top Bottom