Amon Mahamba
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 399
- 64
Kwani kaelekea wapi?
Hizi Habari njema sana Nazishushia na Safari lager
Ama kweli fedha fedheha! Leo mnabadili misemo tu! Ila kumbukeni watanzania wa leo sio wajinga kiasi mnachofikiri nyie chadema. "You can fool some people for sometime but you cant fool all the people all the time" ulaghai wa chadema na Mbowe sasa uko dhahiri.
Siyo yeye peke yake ambaye hana chupa! Wa kwanza kulia ana chupa yake?Nina wasiwasi na hii picha
ukiangalia vizur wau wote wana chupa ya maji ya k/njaro na glass...lakin ni lowasa pekee ambaye hana chupa ya maji ana glass pekeyake....kwanini wamwekee glass pekee bila chupa???????
Teh teh teh ....
Kisa cha kunyong'onyea nini??Nimenying'onyea sana.
CCM hawawezi kukabidhi nchi kwa wapinzani, kuna hitajika kuchanganya nguvu ya watu wa ndani ya ccm ili kushinda uchaguzi. Wafuasi wa CDM wanatakiwa wachague jini lenye unafuu, CCM iendelee kutawala ama kumtumia mtu wao kuing'oa madarakani ambapo nao wanasaidia kuleta mabadiliko kwani na wao watakuwa madarakani.
EL akitoka ataacha wafuasi wake wengine ndani ya ccm/system ambao watasaidia kuindoa ccm. CHADEMA ina wafuasi wengi na ukijumlisha wafuasi wa EL kwa namna walivyo mpokea wakati wa kutafuta wadhamini, ccm hawaponi mwaka huu. Ni kweli EL si msafi lakini anaweza leta mabadliko akiwa na CDM kuliko kuwaacha ccm waendelee kutawala.